Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ndipo pa kushangaa hapo
Mzee Tupatupa
Mkuu Watu8, usemayo ni kweli, kuna mahali niliwahi kuandika humu kuwa nchi inakabidhiwa by verting not by voting, jee kama ni kweli huko Zanzibar, kila siku huwa CUF inashinda, lakini haikabidhiwi nchi kutoka na huu huu wasiwasi wa CUF kuuvunja muungano!, jee nini kitafanya hii October ndio wakabidhiwe?!.Sitarajii kuona CUF wakiuimarisha Muungano endapo watapata dhamana ya kuiongoza serikali ya Mapinduzi...
Na pia lazima tukubali kuwa CCM ya Zanzibar si CCM ya Bara...
Ndani kabisa ya mioyo yao wanaCCM wa Zanzibar sio wote ambao ni waumini wa muungano...
Nadhani nafasi pekee ambapo CCM Zanzibar itavunjika vipande ni pale tu ambapo CUF watashinda huko na wakaja na hoja ya kuvunja muungano...
Mkuu [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=30348"]tycoon[/URL], usemayo ni kweli, kuna mahali niliwahi kuandika humu kuwa nchi inakabidhiwa by verting not by voting, jee kama ni kweli huko Zanzibar, kila siku huwa CUF inashinda, lakini haikabidhiwi nchi kutoka na huu huu wasiwasi wa CUF kuuvunja muungano!, jee nini kitafanya hii October ndio wakabidhiwe?!.Naona CUF wakichukua dola ya SMZ
Mkuu Mwiba, hebu na tuasume usemayo ni kweli, kuwa baada ya miezi michache, CCM inanyongwa huko Zanzibar, kuna hili swali huwa nawauliza lakini mnakwepa kulijibu, ikitokea ni kweli CUF ndio imeshinda Zanzibar, inategemewa ni nani ndie atakayeutangaza huo ushindi wa CUF?!, na ni nani atakayeikabidhi hiyo nchi kwa CUF?!. Kwa lunga nyingine ni nani anayeshikilia maajaliwa ya CUF kukabidhiwa nchi ya Zanzibar, huku inaeleweka fika kuwa kuna hatari kwa mustaka bali wa muungano?!.Nchi hizi mbili zitaletewa matatizo na CCM na si vinginevyo, kuna watu wanaiabudu CCM kwa kuwa wanaamini bila ya CCM maisha yao yatafikia ukomo na utawajuwa watu hawa kwa kuona ni kwa jinsi gani wanatumika ,na pia utagundua namna wanavyopewa uluwa na kuvishwa kilemba cha ukoka mfano Sameli Sita,tunaelewa ni kwa jinsi gani Sita alitumika kuvukisha katiba si yeye bali ni nokoa ndio kazi aliyoifanya na leo ametunukiwa fazila.
Kuhusu katiba kwa Zanzibar katiba haipo na wala haitapita ,hilo halina shaka. tusiandikie mate imebaki miezi michache sana CCM kunyongwa huko Zanzibar.
Muungano utadumu bila kujali ni chama gani kitashinda. Tunatakiwa kufikiria nje ya 'box' ili kuuendeleza muungano wetu. Unaweza usiwe wa aina tuliyoiona nayo (serikali mbili) lakini nina hakika hakuna atakayetaka uvunjike. Tatizo kubwa ni kwamba tumeaminishwa kwamba muungano ni lazima huwe wa serikali mbili na lazima ziwe chini ya chama kimoja - ambacho Ukiangalia kwa matendo siyo kimoja bali viwili!Mkuu Mwiba, hebu na tuasume usemayo ni kweli, kuwa baada ya miezi michache, CCM inanyongwa huko Zanzibar, kuna hili swali huwa nawauliza lakini mnakwepa kulijibu, ikitokea ni kweli CUF ndio imeshinda Zanzibar, inategemewa ni nani ndie atakayeutangaza huo ushindi wa CUF?!, na ni nani atakayeikabidhi hiyo nchi kwa CUF?!. Kwa lunga nyingine ni nani anayeshikilia maajaliwa ya CUF kukabidhiwa nchi ya Zanzibar, huku inaeleweka fika kuwa kuna hatari kwa mustaka bali wa muungano?!.
Pasco.
Ndiye Mzee pekee shuhuda wa Muungano aliyebaki na kuendelea kuishi Zanzibar. Ndiye Mzee pekee wa CCM aliyejaa hekima,heshima,msimamo,mvuto na kusikilizwa kule Zanzibar. Mzee Hassan Nassoro Moyo ni mtu wa watu. Hakika,ni moyo wa CCM kule Zanzibar. Ni alama ya Enzi na Enzi. Mwanzilishi na mjenzi wa chama kule Zanzibar. Habari za kuvuliwa uanachama wake nazichukulia kama ni utani tu wa kisiasa na zitakanushwa au kubatilishwa hima.
Mzee Moyo ni mtu wa kipekee. Mzee Moyo anasema,tangu Enzi za Hayati Mwalimu Nyerere, kile anachokiamini kwa ustawi wa chama. Mzee Moyo hang'ati maneno.Ingekuwa kuvuliwa uanachama angevuliwa na Mwalimu. Muungano ni hoja kamahoja zingine. Unazungumziwa na kufikiwa maafikiano. Si jambo la ajabu. Vinajadiliwa vitabu vya Mungu,seuse Muungano wa Tanzania?
CCM,kama bado inajipenda kule Zanzibar, isithubutu kumvua uanachama Mzee Moyo. Sisi ni chama cha kidemokrasia. Tunajadiliana na kuelewana. Tunavumiliana na kukosoana. Si ndiyo? Sera za kufukuzana tuwaachie CHADEMA!!! Sisi hatuziwezi kwakuwa hatuko tayari kwa madhara yake. Labda tujaribu kufukuza mafisadi ndani ya chama,yaani kujivua gamba.
Kuna mambo ya kujaribu, hili lakumvua uanachama Mzee Moyo halifai. Halafu, mbona wa huku Tanzania Bara hawashughulikiwi kama wale wa Zanzibar? Is it a double standard in our beloved party??
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mawazo ya wazungu waseme ni kama bado unatawaliwa vile! Kwa nini wzungu waseme?Siasa za Zanzibar ni tofauti sana, CUF wataendelea kushinda na kupigwa buti na wazungu watakaa kimya sijui CCM walikwisha waambia nini kibaya kuhusu CUF
Wengi wanadhani sababu zilizotolewa ni kweli, ukweli ni kuwa sisi tulisema humu kuwa October CCM, itapigwa chini Zanzibar!, Octobe ndio hii, CCM imeshindwa Zanzibar!, hatua ya kuufuta uchaguzi ni hofu ya CUF wanaweza kuuvunja huu muungano wetu adhimu!.Wanabodi,
Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!
Pasco
Wengi wanadhani sababu zilizotolewa ni kweli, ukweli ni kuwa sisi tulisema humu kuwa October CCM, itapigwa chini Zanzibar!, Octobe ndio hii, CCM imeshindwa Zanzibar!, hatua ya kuufuta uchaguzi ni hofu ya CUF wanaweza kuuvunja huu muungano wetu adhimu!.
Is this justifiable?
Pasco
............Wanabodi,
Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.
Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!
Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kufukuza Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.
Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.
Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.
[h=3]Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ?!...
[/h][h=3]Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano?!.
[/h][h=3]Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria?!.
[/h][h=3]Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" badala ya "Articles of Union!".
[/h][h=3]Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa Zanzibar!.
[/h][h=3]Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu!.
[/h][h=3]'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume
[/h][h=3]Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then Twende Kwenye Nchi Moja Serikali Moja!.
[/h][h=3]Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili Ndio Utavunja Muungano!.
[/h] Pasco
Kwa utawala wa huyu Amiri Jeshi Mkuu aliyepo, hili sasa linawezekana!.Wanabodi
Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano huu , ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.
Pasco