Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #61
Mkuu DASM , siku zote humu jf, mimi ni mkweli Daima kwa kuusema ukweli uliopo no matter what. Nimeandika mengi kuhusu muungano, hili ni moja ya mabandiko hayo.wewe unasema Elimu ya Uraia ni muhimu.Ni muhimu kweli ili watu wafunguke akili.. Nafikiri ni mtu mpumbavu tuu anayekubaliana na muundo wa huu Muungano. Marehemu Mch Christopher Mtikila ndio pekee aliweza kuudadavua huu Muungano unavyoiathiri Tanganyika. Nafikiri Mzee Pascal Mayala unazo akili na unaelewa vizuri Sana kuhusu hii ishu ya Muungano Ila unataka kubase upande.
Wanabodi,Wanabodi,
Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.
Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!
Pasco
Moja au TatuWanabodi,
Leo sikukuu ya Muungano, nafanya mapitio ya baadhi ya mabandiko ya muungano.
Japo waasisi wa muungano wetu huu adhimu ni Nyerere na Karume, muungano ni kama ndoa, kuna mtu ana proposes, mwingine anakubali, ndoa inafungwa. Kwenye muungano wetu huu adhimu, aliye proposes ni Nyerere, Karume akakubali. Nia ya Nyerere ni kwenda kwenye serikali moja. Wito kwa viongozi wetu, kama nia ya kweli ni kudumisha muungano, twende kwenye serikali moja. Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuyaishi maono yake!. Nawatakia Muungano Mwema.
Paskali
Leo ni Sikukuu ya Muungano, nachukua fursa hii kuutafakari Muungano wetu adhimu, kupitia hoja mbalimbali za kimuungano.Wanabodi,
Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano huu wa serikalimbili, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.
Pasco
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFUWanabodi,
Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.
Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!
Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kumfukuza Yusuph Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.
Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano huu wa serikalimbili, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.
kwenye hili nimeshauri Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein
Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.
- Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!.
- Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?
- Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!
- Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" na Kudanganywa ni "Articles of Union"!.
- Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
- Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
- 'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'- Karume Jnr
- Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!"
- Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili ndio utauvunja Muungano
Pasco