Iwapo Nape anamaanisha Magufuli ni GodFather wa PolePole atastahili kuomba radhi mapema

Nape atulie na asitafute kiki ya kusaka uwaziri
 
Asilimia kubwa ya sana jf....ni wale walitumbuliwa na Jpm that's y wanamclash sana legendary magufuli
Basi waliotumbuliwa na huyo mwendakuzimu ni "smart" mara 100 zaidi ya mtumbuaji.
Basi JF ina watu wanaojitambua zaidi ya wale waliopo maofisini.
 
HAKIKA TUTAHOJI JAPO TUKIUNGANISHA DOTI TUNAELEWA.

NAMUUNGA MKONO MTOA POST UKITAKA KUWA SALAMA USIMTAJE JPM WETU BADO TUNAMUOMBOLEZA TUNA UCHUNGU MKUU.

HAKUNA AMBAE HATAKUFA NI SWALA YA MUDA TU.
 
Gaidi wenu alihusika sana yaani aliteka ili Magufuli aonekane mbaya
Basi Magufuli hakuwa rais zaidi ya "sanamu".
Mbowe ateke halafu rais wa nchi,tena wa chama "twawala" ambaye ni amiri jeshi mkuu, akae kimyaa tuuu, na amuache Mbowe ambaye ni kiongozi wa chama kikuu "sumbufu" cha upinzani, akiwa yupo mtaani!!!????
Leo nimeamini mwendakuzimu alitapanya hela ya umna kwa kuajiri "vichaa" wenzake ili tu aabudiwe.
 
Andika barua ukamtoe

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Anasemwa mungu itakua jpm,, we unafikiri kutishiwa mguu wa kuku bila kosa, mchezo?
 
Magufuli hachafukiki.
Humu penyewetu walishachemsha na ugreat wao wote.
 
Yule lazima alikua kichomi,,, deep cover
 
HAKIKA TUTAHOJI JAPO TUKIUNGANISHA DOTI TUNAELEWA.

NAMUUNGA MKONO MTOA POST UKITAKA KUWA SALAMA USIMTAJE JPM WETU BADO TUNAMUOMBOLEZA TUNA UCHUNGU MKUU.

HAKUNA AMBAE HATAKUFA NI SWALA YA MUDA TU.
Uzuri saa hizi hamuwezi kuua ua ovyo tena kwahiyo watanzania wako salama sana sasa, Rip lwajabe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…