Iwapo Nape anamaanisha Magufuli ni GodFather wa PolePole atastahili kuomba radhi mapema

Mazuri yoote ya MAGUFULI mfano UWAJIBIKAJI,msimamo yanafutwa na machache ya kikinga
wasiojulikana kuteka,kutesa,kupoteza watu Ni hapo TU yanafuta mema yote
 
Mtajuana wenyewe, dadeeeeki huu ni mwanzo tu
 
Magufuli hakuwa kiongozi muadilifu, labda kama hujui maana ya uadilifu.
 
Ataomba kwenye chama ...chama hakimuogopi mtu

Sema ataomba msamaha kwenye vyombo vya dola maana çcm sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichovaa koti la chama cha siasa.
 
Sema ataomba msamaha kwenye vyombo vya dola maana çcm sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichovaa koti la chama cha siasa.
acha ijivunie kwani ilipambana kuleta uhuru
 
Ni wapi alipotaja majina huyo Nape?acheni kuendeshwa kihisia nyie waChato
 
Nadhani anatafutiwa timing tu na akiliwa kichwa ataliwa jumla kuliko Chalamila.
 
Gaidi wenu alihusika sana yaani aliteka ili Magufuli aonekane mbaya
Kumbe Magufuli madaraka yake yalikuwa kama ya Mwenyekiti wa kitongoji. Unamdanganya Nani au unajidanganya mwenyewe?? Muuaji ataendelea kutambulika kwa jina hilo maana mlimsifu kwamba anaua wanaokwamisha maendeleo.
 
Ila kwa sababu ya kiburi chao atadharau
 

Jingalao; Kuna sababu Kwa nini Nape alitumia g ndogo Kwenye neno godfather Na sio G - Kubwa.
 
Hio siko mkihoji ndo mtaajua kua covid 19, haikua niporojo watu walikufa kweli
 
sasa naelewa kwanini alitaka kutandikwa risasi siku ile.

huyu jamaa mpuuzi sana.
 
Mpaka Nape anajimwambafy hadharani vile ujue mipango ishasukwa ya kuwalinda. Hao kina slow slow ni kama mende tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…