Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.

Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.

DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA
Mbona mgumu kuelewa hoja aisee!
 
Kwa mujibu wa katiba hakuna mwananchi mwenye ardhi. Hii ardhi yote ya Tanzania iko chini ya Rais na endapo kutagundulika ardhi yako inafaa kutumika kwa manufaa ya taifa itabidi uondoke kwa hiari na kupewa fidia au uondolewe kilazima endapo utakaidi. Kwahiyo serikali kuwapa waislamu ardhi kujenga msikiti ni jambo sahihi lisilokuwa na shida yoyote. Hata watu binafsi pia hupewa ardhi endapo wanataka kufanya jambo lenye maslahi kwa jamii. Kwa mfano Bakresa alipewa ardhi na hayati JPM kwa ajili ya kujenga viwanda. Itoshe kusema kwamba mleta uzi ana matatizo ya akili.
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Kama mdau mwengine alivyokujibu hayo ni maeneo ya waisilamu kihalali kabisa.

Ni kama mtu aje kwenu achukue Ardhi yenu kisha akujengenee Duka hali ya kuwa ardhi nyengine anayo yeye.

Halafu atokee mbwiga mmoja aseme we unapendelewa kwanini umejengewa duka wakati in reality umedhulumiwa mali zako.
 
Toa mifano hai Sheikh! Maana ukiona makanisa yapo jirani na taasisi za serikali mfano shule, vyuo, nk basi utambue fika ni hiyo serikali ndiyo iliyofuata hayo makanisa.
Ardhi yote ya Tz ni mali ya serikali hakuna mtu au taasisi yeyote inayo miliki ardhi.
 
Msikiti kama unavyoona huduma nyingine nchi yetu ina uhuru wa kuabudu kwa hiyo muislam asipate kisingizio eti sijaswali kisa masjid ipo mbal na eneo la kazi halaf tambua serikal siku ya kuabudu wakristu serikal imefanya hiyo siku kuwa ya mapumziko kwa hiyo hata wakristo wasipate kuongopa kuwa walibanwa na kazi
Vile vile itahamasisha watu kumrejea mungu maana bila kujua sasa mungu na iman za dini zinapigwa vita sana na mabeberu
 
Ardhi yote ya Tz ni mali ya serikali hakuna mtu au taasisi yeyote inayo miliki ardhi.
Ndivyo ulivyofundishwa? Nenda kavamie kiwanja cha mtu useme ni mali ya serikali.
Ardhi ya Tanzania ni mali ya Watanzania husika wanaoimiliki.
 
Ndivyo ulivyofundishwa? Nenda kavamie kiwanja cha mtu useme ni mali ya serikali.
Ardhi ya Tanzania ni mali ya Watanzania husika wanaoimiliki.
Mm sina hayo mamlaka kwa sababu mm sio serikali ila serikali ikipataka sehemu yeyote ndani ya nchi hii ww unaye jiita mwenye ardhi utahama upende usipende.
 
Nyie dar si wahmiaji tu?
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Shobo zenu za kutaka kuingia miji ya watu ndiyo hii! Rudin kwenu magazo huko mkaendeleze ushoga wenu huu mji muuache
 
Serikali ikiongozwa na muislamu nchi huwa ya kiislamu tangu enzi za mzee ruksa
Kushindwa ikiongozwa na mkristo kuna Rais mdini kumzidi nyerere? Mkapa na magufuli? Acheni ushoga nyie wakatoliki na wakristo
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Uwelewa wako mdogo na chuki ya udini inakutafuna uzuli utaishia kuumia moyoni tu mwisho utaugua ugonjwa wa mayo kwa upumbavu wako,wakati serikali inabomoa kujenga stendi ya mewenge ulikuwe msikiti ulivunjwa lazi serikali ifidie msikiti huo kwa sababu huo msikiti ulikuwepo kitambo waulize wenyeji usilete ushamba wako hapa ulichanganyika na chuki ya ukafiri hata feri hivio hivio huo msikiti leo ndio umeona kabla ya mfalme wa Korea kujenga soko la feri huo msikiti ulikuwepo tena kabla ya uhuru wavuvi wapemba na wandegereko na Makonde wakiswali hapo waulize wenyeji Kabula ya kuleta ukafiri wako hapa
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Unateseka ukiwa wapi
 
Sio hilo tuu, lingine serikali huomba mataifa ya nje kujenga misikiti, sijawahi ona ikiomba msaada wa wakristo kujengewa makanisa
Serikali gani hiyo labda yule mshenzi tu alie kuwa anauma na kupuliza kama panya alihamisha kingi na kupeleka kanisani wakina bakwata wakajengewa msikiti misikiti inasimamiwa na waisilamu na kujenga pia ukiona kafiri anajenga tambua kuna jambo tena baya kwa isilamu
 
Waislamu wako busy kujenga misikiti maeneo ya umma na Wakristo wako busy na ujenzi wa mashule na vyuo vikuu. Ni maswala tu ya kipaumbele
Sisi tuta zidi kuimalisha misikiti hili tupate sehemu ya kuabdia nyiyi chsngeni mjenge viuo lakini wanao faidika sio nyiyi bali ni wachungaji na watoto wao mwenzgu wewe utaishia kusifia tu
 
Hayo makanisa yamejengwa kwenye maeneo ya serikali?
Huyo alie sema misikiti imejengwa katika eneo la serikali ajui anacho kisema mfano mwenge ujenzi wa stendi walibomoa msikiti ulikuwepo kitambo tena ujenzi huo umeanza wakati Magufuli leo heti selikali inajenga misikiti haya feri msikiti huo upo tangu na kabla ya uhuru wakiswali wavuvi hata hiyo ikulu ilijengwa kwenye eneo la waisilamu zama hizo leo kafiri kaona hiyo misikiti kadhani inajengwa kwe maeneo ya umma pia anae ijenga ni mama samia chuki ni ugonjwa mbaya siku ukienda dar fika mwenge kaulize huo na fika feri pia
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Jemima Mrembo matumizi mabaya ya neno mrembo
 
Back
Top Bottom