Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Kuna soko š¤£Mbeya kuna Ferry?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna soko š¤£Mbeya kuna Ferry?
Huyo dar hapajui wakirito wa wapo lakini wachache sana dar kuna wazalamo wamakonde wandegereko wadigo wabondei Wapemba waruguru haya makabila ndio yenye watu wengi dar wengi wao ni waisilamuMatatizo ya Akili yapo, Yaan Dar iwe na Wakristo wengi kuliko Waislam kwa akili yako?
Taja alipo jenga kama utaweza zaidi ukafiri tu unakusumbuaMwinyi ndio alianzisha mambo yabkujenga misikiti kwenye open space za umma
Wewe unajiamini vipi huna kitu ndugu hacha kujikweza bhanaWaislamu ni dhaifu sana
Hawajiamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkisha changishana kujenga hayo mashule sisi waislam , wakristo na wapagani wenye pesa zetu tunaleta watoto wetu wanasomea kwenye hizo shule, alafu nyinyi wakristo makapuku mlio changa kuzijenga hizo shule watoto wenu wanaenda kusomea kayumba.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
Waisilamu watu maarufu sana ndio maana kila kafiri akitaka kujadili anatujadiriHao waislam ni dhaifu lakini wanawa pelekesha mpaka haiwezi pita siku hamjawaanzishia uzi wa kuwajadili.
Leo tu zimesha anzishwa nyuzi 3 kuwajadili waislam.
Waarabu hapa wameigiaje?wewe uzuli wako ni upi?mshenzi ni mshenzi tuWaarabu ni watu washenzi sana katika dunia hii
Bora ya kuvaa kobazi kuliko kuvaa kidani shingoni chenye kinyago cha Mungu yesuNa kuvaa makobazi
Wecha weye hata wewe na mtoa mada tofaoti yenu nn?Mimi mkristo kuongezeka kwa hiyo misikiti naona ni jema ni uelewa tu wa mtoa mada kutokujua umuhimu na mchango wa hizo nyumba za ibada
Tatizo lako akili ndogo unataka kubishana na wenye akili kubwa[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Ndivyo ulivyofundishwa? Nenda kavamie kiwanja cha mtu useme ni mali ya serikali.
Ardhi ya Tanzania ni mali ya Watanzania husika wanaoimiliki.
Tabata yote misikiti imejengwa kwenye open spaceTaja alipo jenga kama utaweza zaidi ukafiri tu unakusumbua
We tabatabata upajui unahamia juzi tu misikiti yote ya tabata unaijua wewe au ushenzi tu unakusumbuaTabata yote misikiti imejengwa kwenye open space
Miaka zaidi ya 30 nipo Tabata, sehemu zote tulizokuwa tunacheza mpira zimejengwa misikiti, mfano mzuri ni pale Chama mbele ya ofisi za CCM nanuke mwingine pale kwenye kona kilimani karibu na shule ya msingi, sasa hivi watoto wanacheza mpira barabaraniWe tabatabata upajui unahamia juzi tu misikiti yote ya tabata unaijua wewe au ushenzi tu unakusumbua
Ninyi wakristo mbona makanisa yenu yanaomba kujengewa shule na hospitali, kwa nini Wa9swlamu wasiombe kujengewa misikiti. Kila dhehebu lina vipaumbele vyake, kwa nini ninyi wakristu muombe kujengewa shule na hospitali Waislamu wakijengewa misikiti mnaona nyodo.Sio hilo tuu, lingine serikali huomba mataifa ya nje kujenga misikiti, sijawahi ona ikiomba msaada wa wakristo kujengewa makanisa
Jibu zuri sana kwa wenye kutafakari. Kama haitoshi hata jina Dar er Salaam linathibitisha hivyo.Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.
Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.
DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA
AahaaaaWaislamu wako busy kujenga misikiti maeneo ya umma na Wakristo wako busy na ujenzi wa mashule na vyuo vikuu. Ni maswala tu ya kipaumbele
Unatukana kutokana na malezi ya kidini uliyolelewa nayoMshenzi tu huna lolote nenda kawe kanisa lilimege zaidi akali 10 pekasi
Miaka 30 lakini bado mshamba tu nyumba za tabata robo 3 zimejengwa holela hata hapo unapo ishi hata makanisa ya yamejengwa holela tu kwa chuki yako umeona hiyo misikiti 2 tu makanisa ukuyaona hovioMiaka zaidi ya 30 nipo Tabata, sehemu zote tulizokuwa tunacheza mpira zimejengwa misikiti, mfano mzuri ni pale Chama mbele ya ofisi za CCM nanuke mwingine pale kwenye kona kilimani karibu na shule ya msingi, sasa hivi watoto wanacheza mpira barabarani