Iweje Rais ateue walimu Ukuu wa Wilaya ikiwa Sheria inataka watumishi wa umma wasiwe wanachama wa vyama vya siasa

Iweje Rais ateue walimu Ukuu wa Wilaya ikiwa Sheria inataka watumishi wa umma wasiwe wanachama wa vyama vya siasa

Kumbe hujui kitu DC sio cheo cha kisiasa? Rudi darasani.

Mkurugenzi wa Wilaya ndio sio mwanasiasa

Nafasi za siasa ni zile zinazogombaniwa na kupigiwa kura.

Nafasi za utendaji na usimamizi serikalini sio za kisiasa. Mbona hii ni common knowledge tu.

Shida hapa ni kwamba kwenye hizi teuzi za Ma RC/DC maraisi wetu wanateua sana makada.

Lakini kiuhalisia DC ni mtumishi wa umma na serikali.
 
Mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati lukuki za CCM ndani ya wilaya yake.

Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihu
sishe na siasa.

Polisi na hata wanajeshi pia.

Inakuwaje? Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?
hujafanya kazi kwenye utumishi wa umma una bwabwaja tu ili mradi uandike chochote. ili uwe mkuu wa idara lazima uwe na kadi ya ccm wakurugenzi hivyo hivyo. kwa taaarifa yako huwezi kupewa nafasi kubwa kama ya kuwa rais wa CWT kama siyo mwana ccm/kitengo. wambiie wakwambie. msipende kubwabwaja mambo msiyoyajua
 
Wawakilishi wa raisi kwenye serikali ni mawaziri tu (hao tu ndio wanatakiwa kuwa wanasiasa).

Wengine wote ni civil servants ambao wanatakiwa kuwa neutral, labda una changanya kwa sababu katiba yetu imempa raisi mamlaka ya kuteua kila sehemu na wanajaza makada.

Kumbe ata siasa zenyewe uelewi wala how the government works.
Unajua maana civil servant?
 
hujafanya kazi kwenye utumishi wa umma una bwabwaja tu ili mradi uandike chochote. ili uwe mkuu wa idara lazima uwe na kadi ya ccm wakurugenzi hivyo. wambiie wakwambie
Sheria za nchi zinasemaje? Mavi wewe . Pimbi mkubwa.
 
Mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati lukuki za CCM ndani ya wilaya yake.

Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihu
sishe na siasa.

Polisi na hata wanajeshi pia.

Inakuwaje? Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?
Maana yake wanatemeshwa ajira kamanda
 
One who works in the civil service

Ok umeshinda sina muda wa kupoteza na mtu ambae hujui ata abc za serikali.

Haya umeshinda
Mtumishi wa umma anaomba anjira na anaajiriwa na tume ya utumishi wa umma. We fala hujui kuwa Dc ni mteule wa rais?
 
Mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati lukuki za CCM ndani ya wilaya yake. Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihu sishe na siasa. Polisi na hata wanajeshi pia. Inakuwaje? Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?
Kwani viongozi wa CWT wanakuwa bado wanaendelea kuwa watumishi wa sirikari?
 
Mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati lukuki za CCM ndani ya wilaya yake.

Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihu
sishe na siasa.

Polisi na hata wanajeshi pia.

Inakuwaje? Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?
Sio nafasi ya kisiasa hiyo. Ila hata kama wewe ni mfuasi wa Mbowe unadhani siku Mbowe akiwa Rais atamteua mkuu wa wilaya ambaye hajui itikadi na sera za CHADEMA? Pia kasome Ibara ya 46 ya katiba ya Tanzania ujue madaraka ya Rais.
 
Mtumishi wa umma anaomba anjira na anaajiriwa na tume ya utumishi wa umma. We fala hujui kuwa Dc ni mteule wa rais?
Raisi pia anateua
Katibu mkuu kiongozi
Makatibu wa kuu wa wizara
Mkuu wa usalama
IGP
mkuu wa majeshi
Jaji mkuu
Ma RC
And so and so

Sasa wote hao ni wanasiasa?

Nenda kujifunze kuhusu serikali kwanza ni nani.

Mkuu unaanza kutia aibu sasa kwa mtu unaeshinda jukwaa la siasa uelewi ata serikali ni kitu gani.

Kukusaidia tu maana ya serikali ni raisi na baraza la mawaziri tu.

Wengine wote ni civil servants jukumu lao ni kutekeleza ilani ya chama tawala leo CCM, kesho ikija chama kingine itakuwa ilani yao.

DC ni overseer/manager wa shughuli za serikali at local level na mkurugenzi ni mtendaji mkuu/operational manager. Wote hao ni civil servants tu wanaotekeleza ilani ya chama tawala but not politician.

Wanasiasa ni wabunge,
Madiwani
Na wenyeviti wa mitaa tu
 
Mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati lukuki za CCM ndani ya wilaya yake.

Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihu
sishe na siasa.

Polisi na hata wanajeshi pia.

Inakuwaje? Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?
KATIBA KATIBA iwe muarobaini wa huu uchafuzi!!
 
Mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati lukuki za CCM ndani ya wilaya yake.

Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihu
sishe na siasa.

Polisi na hata wanajeshi pia.

Inakuwaje? Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?
Tatizo la viongozi walioingia madarakani kwa wizi wa kura hawajali sheria wala katiba ya nchi
 
Nilikuwa najiandaa kuileta hii humu. Hongera.
Makosa waliyafanya mapema kuwafanya kwa lazima RC na DC wanasiasa badala ya watumishi wa umma.
Tena lazima uwe mwanasiasa wa ccm katika mfumo huu wa vyama vingi
Tatizo Ccm wanateua wanasiasa kushika nyadhifa ambazo hazikupaswa kuwa za kisiasa.

Katiba mpya ni muhimu.
JokaKuu Pascal Mayalla
 
Sio kweli.

Usipotoshe!

Mtumishi anaruhusiwa kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa isipokuwa awapo kazini hapaswi kutoa huduma kwa ubaguzi wa aina yoyote ile.
 
Back
Top Bottom