Zee la kitaa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 403
- 211
Na wewe umeandika ama umeleta porojo. Kwani hiyo reli haijengwi. Unataka asifie migomo ama kutoshiriki uchaguzi?Nimemshangaa huyu jamaa anasifia hadi anapitiliza na anaweka na uongo tupo iyumbu hapa anaimba anasema kwa uzalendo wa MH SANA anajenga flyover kutoka DAR hadi MWANZA aisee huu unafiki wa watanzania ni wakiwango cha 100G maana kwa kujua watu wanapenda sifa basi wanasifia hadi uongo.
Ukweli utakuweka huru wakati wote.
Mimi nipo hapa karibu na walio wengi namsikiliza mahenge, naye akitoa misifa hapa, naona ili mkubwa wangu huyu akupende sifia sana sna hata uongoUkpo pande ipi, Mbona sikuoni. Hiyo sikuisikia
Acha ulofa tuliwaambia mna akili ndogo mnakataa, kasema reli au flyover?? Sahihisha hapo kwanza maana inaonekana unataka kupotosha hata hiki.Na wewe umeandika ama umeleta porojo. Kwani hiyo reli haijengwi. Unataka asifie migomo ama kutoshiriki uchaguzi?
Nipo pande hiyo hiyo, kwani wewe umevaliaje? Mimi nimevaa T-shirt na suruali nyeusi.Mimi nipo hapa karibu na walio wengi namsikiliza mahenge, naye akitoa misifa hapa, naona ili mkubwa wangu huyu akupende sifia sana sna hata uongo ,
Hatuna wivu tena hatuna wivu kabisa na kama una akili timamu utajua kuwa sina wivu maana yawezekana wewe nawe ni juha uko radhi kuutoa utu wako ilimradi tu ujipendekeze kwa mtu, sifia jambo lililo sahihi na sio kusifia uongo kwa unafiki sina wivu mimi maana sipati faida yeyote nikiwa na wivu na sina cha kupoteza hata nisipo kuwa na wivu pia ila tuwe wakweli.WIVU HAUTAWAACHA SALAMA WALAHI
Yeah! Hata mie pia nimevaa T-shirt na suruali nyeusi ingawa weusi wake unafifia kutokana na vumbi la hapaNipo pande hiyo hiyo, kwani wewe umevaliaje?, Mimi nimevaa T-shirt na suluali nyeusi.
Mbona sioni mtu mwenye kushabiiana na Avartar yako maana wengi ni vibonge wa haja, Miss Bantu ama uendani na Avartar yako?>Yeah! Hata mie pia nimevaa T-shirt na suruali nyeusi ingawa weusi wake unafifia kutokana na vumbi la hapa
Kwa mtindo huu bhasi atazindua hata choo cha halimashauri, vyoo vya stand mpya, nyumba za mama ntilie na nk, pia sio Dodoma tu, labda huishi Tanzania, huyu alienda kuzindua daraja la furahisha🙂)Mkuu unachangia kwa mihemko isiyokuwa na sababu.
Kwa mujibu wa katiba mtu mwenye uwezo pekee wa kumsamehe mfungwa ni RAIS na sio waziri.
Pili aliye shinikiza kwa vitendo Dodoma kuwa makao makuu ni RAIS.
Kwa hiyo kwenda kufungua miradi inayoharakisha azima yake ya serikali kuwa Dodoma,ubaya wake ni nini?
Nimemshangaa Mrisho Mpoto anasifia hadi anapitiliza na anaweka na uongo tupo iyumbu hapa anaimba anasema kwa uzalendo wa MH SANA anajenga flyover kutoka DAR hadi MWANZA aisee huu unafiki wa watanzania ni wakiwango cha 100G maana kwa kujua watu wanapenda sifa basi wanasifia hadi uongo.
Ukweli utakuweka huru wakati wote.
Tengua kauli hyo we falaKwa Magufuli kila goti litapigwa
Na kweli maana!Hao akina mpoto huwa wanawasifia matajiri mpaka wanawanunulia magari, sasa wameshamjulia huyo jamaa ni mwendo wa kumsifia. Usishangae akasema ndege zetu zimeachwa ila zinafanya safari zake huko huko nje hapa kinachokuja ni fedha za kigeni tu.
waongezee mia mia kila mfuko- magufuliNaunga mkono Rais kuzinduwa nyumba hizi.
Lakini azikaguwe na awaulize bei za hizo nyumba ninaamini atazimia.
Tunamsubiri azinduwe na zile za Pspf kule Buyuni Chanika, ule ni wizi na ujambazi wanafanyiwa Watanzania, nyumba ya millioni 20 Mtanzania anakamuliwa millioni 80, na ukikopa riba inafika millioni 200.
Mheshimiwa Rais ukiweza kuwashughulikia hawa wahuni na mimi niandalie kadi ya kujiunga na ccm ya Magufuli.
Bod upo? Unaona jamaa anavypigwa makofi bila chenga. Duh! Tuwe tunamwomba MUNGU anatupa maneno ya kuongea jamani. Duh!Yeah! Hata mie pia nimevaa T-shirt na suruali nyeusi ingawa weusi wake unafifia kutokana na vumbi la hapa