Hata mi nimefurahishwa sana na mikakati yao ya kujitanua......ila kwa nini mikakati hiyo inalenga mikoa ya pwani peke yake?Lindi, MtWARA,Pwani, Tanga na Morogoro why?
Jamani mtu yeyote mwenye plan ya kuangalia hiyo mikoa tajwa, mwacheni tu akaendeleze coz kuko nyuma mno.....