Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Kwani Kasema uongo? Waarabu ni watu katili sanaView attachment 2702801
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
Kwani Kasema uongo? Waarabu ni watu katili sana
Jabir yupi?
Mwisho umemaliza kwa kuandika?Kwa hiyo nani siyo oyeeeee?Unakataa ubaguzi huku mwili mzima umekujaa ubaguzi!View attachment 2702801
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
View attachment 2702801
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
Hv unaelewa nin hoja za wakosoaji? samiya anawalipa hao akina Jabir ili kupindisha dhamira ya wakosoaji , hawa ndo viongoz wanatuingiza kweny machafuko sabab za tamaa zao , hoja ya Lissu , Mbowe , Dr.Slaa , viongoz wa dini kote waislam na wakristu , maprofesa na mawakili , huyo rais wenu hajajib hata mara moja na uzur ni hoja kuu tatu muda wa mkataba , uhalali wetu kuvunja au kuwaadhibu wasipotimiza makubaliano yetu pia maslai yetu ndan ya mkataba huob, huku wanakwepa wanakimbilia udini na ubaguz ambao wao wamewalipa watu kututoa kweny reli , viongoz wetu ndo chanzo cha hv vita vyetu unaona afrika wala sio wazunguView attachment 2702801
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
Walikufanyia ukatili gani?Kwani Kasema uongo? Waarabu ni watu katili sana
Tatizo lako unawaona waarabu kwenye TV.Fanya nao kazi ndo utaelewa rangi zao halisi. herí Mchina au mhindi lakini SIYO MwaarabuWalikufanyia ukatili gani?
Waarabu walivyojazana Tanzania hii useme nawaona kwenye TV?Tatizo lako unawaona waarabu kwenye TV.Fanya nao kazi ndo utaelewa rangi zao halisi. herí Mchina au mhindi lakini SIYO Mwaarabu
Mwisho umemaliza kwa kuandika?Kwa hiyo nani siyo oyeeeee?Unakataa ubaguzi huku mwili mzima umekujaa ubaguzi!
Hakuna ulipoandika.Ila,mwandiko wako unatoa harufu kali ya ubaguzi na kutukuza jamii fulani.Wapi nimeweka neno ubaguzi?
Waarabu walivyojazana Tanzania hii useme nawaona kwenye TV?
Wewe umefanya nao kazi wapi?
TJabir yupi?
Tumeambiwa kanisani kwamba mwarabu akipewa bandari ataligeuza nchi kuwa ya kupinga kristo....kwahiyo tuwakatae!
Kuliko Wanyakyusa wanaochuna ngozi Ndugu yake ili awe TajiriKwani Kasema uongo? Waarabu ni watu katili sana
halafu wakijibiwa kwa style wanayotumia wanajifanya kusikitika kinafikiNi kafiri mmoja hivi anatumia jina la jabiri kuwasema vibaya waarabu na waislamu kwa ujumla
Aisee !!!!Kuliko Wanyakyusa wanaochuna ngozi Ndugu yake ili awe Tajiri
Waarabu ni makatili kuliko Wasukuma wanaoua Mtu aliemzalia Mzazi wake kwa kuwa tu rangi ya macho imekuwa nyekundu kutokana na Moshi wa kuni wa kumkuza Mzazi aliemzaa huyo muuaji?