Jabiri kuwa makini na kauli zako za kidini/kibaguzi

Jabiri kuwa makini na kauli zako za kidini/kibaguzi

Kuna mtu mbaguzi na mdini kama huyo mwarabu, vipi ulifurahishwa na ule ukatili wake wa kuwauza mababu zetu kama bidhaa, vipi mabinti zetu wanaofanya kazi za ndani huko visa vya manyanyaso wanavyofanyiwa kwa sababu ya rangi yao, usitake kujitoa ufahamu...​

Wakati anauzwa babu yako ulikuwepo?
 
Hakuna ulipoandika.Ila,mwandiko wako unatoa harufu kali ya ubaguzi na kutukuza jamii fulani.

Nipo kwenye haki bila kujali dini ya mtu, rangi ama kabila, na siwezi kuona ndugu yangu katika imani akidhalilishwa na kuzushiwa uongo na mtu asie na dini nami ninyamaze, hilo ondoa akilini mwako mzee, nitamtetea na kuwa upande wake. Haki bin haki


Bhujiku ng'waka
 
Nipo kwenye haki bila kujali dini ya mtu, rangi ama kabila, na siwezi kuona ndugu yangu katika imani akidhalilishwa na kuzushiwa uongo na mtu asie na dini nami ninyamaze, hilo ondoa akilini mwako mzee, nitamtetea na kuwa upande wake. Haki bin haki


Bhujiku ng'waka
Hiyo "ndugu yangu katika imani" bado unaitumia kwa makengeza.
 
Hv unaelewa nin hoja za wakosoaji? samiya anawalipa hao akina Jabir ili kupindisha dhamira ya wakosoaji , hawa ndo viongoz wanatuingiza kweny machafuko sabab za tamaa zao , hoja ya Lissu , Mbowe , Dr.Slaa , viongoz wa dini kote waislam na wakristu , maprofesa na mawakili , huyo rais wenu hajajib hata mara moja na uzur ni hoja kuu tatu muda wa mkataba , uhalali wetu kuvunja au kuwaadhibu wasipotimiza makubaliano yetu pia maslai yetu ndan ya mkataba huob, huku wanakwepa wanakimbilia udini na ubaguz ambao wao wamewalipa watu kututoa kweny reli , viongoz wetu ndo chanzo cha hv vita vyetu unaona afrika wala sio wazungu

Thibitisha unachokisema!
 
Ubaguzi huwezi kukoma,huyo Mungu kama alitaka watu wasibaguane basi angefanya Dunia nzima iwe na dini mmoja
 
Huyo ambaye si wa Imani yako ukiona haki yake inaporwa utanyamaza?

Sitonyamaza inshaaAllah, ndio maana nipo kwenye haki. Muislamu amdhulumu asie Muislamu si sahihi, na kwa asie muislamu kufanya hivyo pia si sahihi. Ni dhambi
 
View attachment 2702801

Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka

Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.

Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
Mimi ni mgalatia konki aliyekubuhu. Lakini katika hii ishu ya bandari niko na mana. Na ninamuunga mkono iuzwe kwa hawa waarabu.
 
Unajitia ujinga ujinga. Waulize wafanyakazi wa ndani wanaokimbilia uarabuni. Especially Kenyans. Waarabu ni Mbwa wale tena Kenge Kabisa

Unawatukana waarabu mbwa, ila wewe kufananishwa na watu flani kima unavimba na kuona unabaguliwa! Chuki zako zitakupeleka pabaya, wewe kama huwapendi waarabu basi mimi na waislamu wenzangu tunawapenda sana. Na sio tu waarabu, tunawapenda wote bila kujali imani, rangi au kabila la mtu. Uisilamu umetufundisha tupendane na sio kuchukiana mzee baba
 
Pole kwa maumivu unayopitia mkuu, huwajui waarabu zaidi nnavyowajua mimi, hivyo ni heri ukapisha huu mjadala. Ahsante

Bhujiku ng'waka
😀😀😀😀
Sawa mwarabu mweusi wa Oman. Ndugu zake na Mwaarabu
Hongera mkuu mwarabu mweusi
 
Unawatukana waarabu mbwa, ila wewe kufananishwa na watu flani kima unavimba na kuona unabaguliwa! Chuki zako zitakupeleka pabaya, wewe kama huwapendi waarabu basi mimi na waislamu wenzangu tunawapenda sana hawa ndugu zetu. Na sio tu waarabu, tunawapenda wote bila kujali imani, rangi au kabila. Uisilamu umetufundisha tupendane na sio kuchukiana.
😁😁😁😁😁😁😁😁
Ushakuwa Mwaarabu tayari.
Kawaulize wale waafrika waliokuwa Tunisia. Waarabu hawafai. Mnajipendekeza ila wenyewe hawataki mtaharibu uwarabu wao mkienda kule.
Ni salama sana kuishi nchi za makafikiri kuliko waarabu.
Kuna visa ya kwenda Afghanistan kwa waarabu wenzako
 
😁😁😁😁😁😁😁😁
Ushakuwa Mwaarabu tayari.
Kawaulize wale waafrika waliokuwa Tunisia. Waarabu hawafai. Mnajipendekeza ila wenyewe hawataki mtaharibu uwarabu wao mkienda kule.
Ni salama sana kuishi nchi za makafikiri kuliko waarabu.
Kuna visa ya kwenda Afghanistan kwa waarabu wenzako

Haya bwana johnny, nakuona bado huelewi, na unaendelea kuongea bila ushahidi wowote

Bhujiku ng'waka
 
Back
Top Bottom