Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
- Thread starter
- #21
halafu wakijibiwa kwa style wanayotumia wanajifanya kusikitika kinafiki
Wanakera sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu wakijibiwa kwa style wanayotumia wanajifanya kusikitika kinafiki
Unajitia ujinga ujinga. Waulize wafanyakazi wa ndani wanaokimbilia uarabuni. Especially Kenyans. Waarabu ni Mbwa wale tena Kenge KabisaKuliko Wanyakyusa wanaochuna ngozi Ndugu yake ili awe Tajiri
Waarabu ni makatili kuliko Wasukuma wanaoua Mtu aliemzalia Mzazi wake kwa kuwa tu rangi ya macho imekuwa nyekundu kutokana na Moshi wa kuni wa kumkuza Mzazi aliemzaa huyo muuaji?
Hivi hawa mababu zetu waliuzwa sehemu gani na wakina nani walikuwa wateja?Kuna mtu mbaguzi na mdini kama huyo mwarabu, vipi ulifurahishwa na ule ukatili wake wa kuwauza mababu zetu kama bidhaa, vipi mabinti zetu wanaofanya kazi za ndani huko visa vya manyanyaso wanavyofanyiwa kwa sababu ya rangi yao, usitake kujitoa ufahamu...
Mwarabu yeye ndo alikuwa anakamata na kusafirisha kupeleka huko America na kwingineko kwa ajili ya kazi za kutumikishwa hasa mashambani, unajua wamarekani weusi ni matokeo ya biashara ya utumwa.Hivi hawa mababu zetu waliuzwa sehemu gani na wakina nani walikuwa wateja?
OyeeeView attachment 2702801
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
Pole sana,kama walikugeuza ndio dunia.Lakini wacha huo mchezo.Kwani Kasema uongo? Waarabu ni watu katili sana
Huyo ni mtu wa tatu kuuliwa ndani ya wiki tu,huko mkanyageni wanawake wawili.View attachment 2702960
Zinduka na acha kufuata mkumbo kwa wasio wapenda waarabu na waislamu kwa ujumla
Labda walimgeuza,mpe Pole,aache tu huo.mchezo.Ni kafiri mmoja hivi anatumia jina la jabiri kuwasema vibaya waarabu na waislamu kwa ujumla
Babu zetu ndio waliwauza kwa waarabu.Na kama wanateswa huko kwenye kazi za ndani,wamelazimishwa wakafanye hizo kazi?Kuna mtu mbaguzi na mdini kama huyo mwarabu, vipi ulifurahishwa na ule ukatili wake wa kuwauza mababu zetu kama bidhaa, vipi mabinti zetu wanaofanya kazi za ndani huko visa vya manyanyaso wanavyofanyiwa kwa sababu ya rangi yao, usitake kujitoa ufahamu...
Walikulazimisha ufanye nao kazi,au ulikwenda mwenyewe.Tatizo lako unawaona waarabu kwenye TV.Fanya nao kazi ndo utaelewa rangi zao halisi. herí Mchina au mhindi lakini SIYO Mwaarabu
Alilazimishwa akafanye kazi kwao?Umuibie tajiri wako,halafu wataka akuache tu umuibie?Waarabu walivyojazana Tanzania hii useme nawaona kwenye TV?
Wewe umefanya nao kazi wapi?
Walilaximishwa kwenda kufanyakazi huko,wewe mbwa kenge?Unajitia ujinga ujinga. Waulize wafanyakazi wa ndani wanaokimbilia uarabuni. Especially Kenyans. Waarabu ni Mbwa wale tena Kenge Kabisa
Sisi wenyewe tukiuza na wenyewe kwa wenyewe,wa kuwalaumu ni babu zetu wa kiafrika.Hivi hawa mababu zetu waliuzwa sehemu gani na wakina nani walikuwa wateja?
Huyo muarabu alikuwa na nguvu gani ya kumshinda mwafrika?Tumia akili,mababu zetu wa kiafrika ndio waliokuwa wakiwauza wenzao.Mgeni atoke arabuni aje tu,akukamate!?Ni mababu wetu wa kiafrika waliokuwa wajanja,waliwauza wenzao,hawa mababu ndio wakulaumiwa.Mwarabu yeye ndo alikuwa anakamata na kusafirisha kupeleka huko America na kwingineko kwa ajili ya kazi za kutumikishwa hasa mashambani, unajua wamarekani weusi ni matokeo ya biashara ya utumwa.
Nyie mkiwa wachache. Mnatia huruma sana, njoo kwenye dini ya haki ila mkiwa wengi ni hatari sana.Wewe lazima utakuwa gaidi.Mwizi,kila anayemuona hufikiria ni mwizi kama yeye.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wagalatia ni watu wa chuki sanaView attachment 2702801
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
Kwahiyo hata huyu mteja alichangia biashara hii kukuaMwarabu yeye ndo alikuwa anakamata na kusafirisha kupeleka huko America na kwingineko kwa ajili ya kazi za kutumikishwa hasa mashambani, unajua wamarekani weusi ni matokeo ya biashara ya utumwa.
Unaona SASA unavyotapika utumboWalilaximishwa kwenda kufanyakazi huko,wewe mbwa kenge?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tatizo lako unawaona waarabu kwenye TV.Fanya nao kazi ndo utaelewa rangi zao halisi. herí Mchina au mhindi lakini SIYO Mwaarabu