Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
- Thread starter
-
- #41
Kuna mtu mbaguzi na mdini kama huyo mwarabu, vipi ulifurahishwa na ule ukatili wake wa kuwauza mababu zetu kama bidhaa, vipi mabinti zetu wanaofanya kazi za ndani huko visa vya manyanyaso wanavyofanyiwa kwa sababu ya rangi yao, usitake kujitoa ufahamu...
Hakuna ulipoandika.Ila,mwandiko wako unatoa harufu kali ya ubaguzi na kutukuza jamii fulani.
Hiyo "ndugu yangu katika imani" bado unaitumia kwa makengeza.Nipo kwenye haki bila kujali dini ya mtu, rangi ama kabila, na siwezi kuona ndugu yangu katika imani akidhalilishwa na kuzushiwa uongo na mtu asie na dini nami ninyamaze, hilo ondoa akilini mwako mzee, nitamtetea na kuwa upande wake. Haki bin haki
Bhujiku ng'waka
Hiyo "ndugu yangu katika imani" bado unaitumia kwa makengeza.
Sawa mwaarabu mweusi wa Oman.Pole kwa maumivu unayopitia mkuu, huwajui waarabu zaidi nnavyowajua mimi, hivyo ni heri ukapisha huu mjadala. Ahsante
Bhujiku ng'waka
Hv unaelewa nin hoja za wakosoaji? samiya anawalipa hao akina Jabir ili kupindisha dhamira ya wakosoaji , hawa ndo viongoz wanatuingiza kweny machafuko sabab za tamaa zao , hoja ya Lissu , Mbowe , Dr.Slaa , viongoz wa dini kote waislam na wakristu , maprofesa na mawakili , huyo rais wenu hajajib hata mara moja na uzur ni hoja kuu tatu muda wa mkataba , uhalali wetu kuvunja au kuwaadhibu wasipotimiza makubaliano yetu pia maslai yetu ndan ya mkataba huob, huku wanakwepa wanakimbilia udini na ubaguz ambao wao wamewalipa watu kututoa kweny reli , viongoz wetu ndo chanzo cha hv vita vyetu unaona afrika wala sio wazungu
Huyo ambaye si wa Imani yako ukiona haki yake inaporwa utanyamaza?Kubali kataa habari ndio hiyo
Sawa mwaarabu mweusi wa Oman.
Na aliweka tofauti ili kiwe kipimo cha Imani na akili yako ioneshe kiwango cha ufanyaji wa kazi kitimilifu.Ubaguzi huwezi kukoma,huyo Mungu kama alitaka watu wasibaguane basi angefanya Dunia nzima iwe na dini mmoja
Huyo ambaye si wa Imani yako ukiona haki yake inaporwa utanyamaza?
Msukuma na uislamu wapi na wapi?Ni ubatili na utipii tu.Acha chuki, acha ubaguzi, fanya kazi saidia familia, aleyommba gekke nkoi fanya kazi na uache chuki
Acha vibweka vyenye "unafique" wewe.Mnafahamika.Sitonyamaza inshaaAllah, ndio maana nipo kwenye haki. Muislamu amdhulumu asie Muislamu si sahihi
Msukuma na uislamu wapi na wapi?Ni ubatili na utipii tu.
Mimi ni mgalatia konki aliyekubuhu. Lakini katika hii ishu ya bandari niko na mana. Na ninamuunga mkono iuzwe kwa hawa waarabu.View attachment 2702801
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na hakitawasaidia chochote. Poleni sana. Waarabu oyeeeeeee
πππππππ€π€π€π€π€Hata kama si msukuma siruhusiwi kuongea! Unataka kuaminisha umma hakuna wasukuma waislamu! Pole sana, njoo kanda ya ziwa ujionee
Unajitia ujinga ujinga. Waulize wafanyakazi wa ndani wanaokimbilia uarabuni. Especially Kenyans. Waarabu ni Mbwa wale tena Kenge Kabisa
ππππPole kwa maumivu unayopitia mkuu, huwajui waarabu zaidi nnavyowajua mimi, hivyo ni heri ukapisha huu mjadala. Ahsante
Bhujiku ng'waka
ππππππππUnawatukana waarabu mbwa, ila wewe kufananishwa na watu flani kima unavimba na kuona unabaguliwa! Chuki zako zitakupeleka pabaya, wewe kama huwapendi waarabu basi mimi na waislamu wenzangu tunawapenda sana hawa ndugu zetu. Na sio tu waarabu, tunawapenda wote bila kujali imani, rangi au kabila. Uisilamu umetufundisha tupendane na sio kuchukiana.
ππππππππ
Ushakuwa Mwaarabu tayari.
Kawaulize wale waafrika waliokuwa Tunisia. Waarabu hawafai. Mnajipendekeza ila wenyewe hawataki mtaharibu uwarabu wao mkienda kule.
Ni salama sana kuishi nchi za makafikiri kuliko waarabu.
Kuna visa ya kwenda Afghanistan kwa waarabu wenzako