Jack Pemba na jeuri ya fedha

Trump akituambia ukweli kuwa waafrika tunatakiwa kutawaliwa tena tunaona tunatukanwa
 
Hiyo inaitwa jeuri ya pesa!
Mbona Pablo Escoba alichoma dollar ili mwanae apate joto!?
Hiyo ni jeuri ya mbesa anajua namna alivyozipata..
 
Hiyo inaitwa jeuri ya pesa!
Mbona Pablo Escoba alichoma dollar ili mwanae apate joto!?
Hiyo ni jeuri ya mbesa anajua namna alivyozipata..
Haha ha upuuz tu Utakuta kwao wanashindia mihogo na kachumbari kama Padre slaa ni musenge tu
 
pesa bwana inaweza kukupa uchizi
 
Hivi huyo shangazi ezekiel kaolewa mara ngapi hadi sasa!? kuna kipindi alioelewa dubai na jamaa kama katoto kanaitwa sunday demonte waliishia wapi?
Sunday kafungwa kesi ya madawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…