Jack wilshere na Tom cleverly nani mkaliii

  1. xplanation nyingi za nini kwa yeyote anaejua mpira atakwambia wilshere jembe , katoka kwa injury juzi tu wakamwita kwenye team ya taifa, ona alivosettle fasta na present squad ya gunners sasa hivi see how he possesses de ball, yani yule kaka kataa sasa hivi yule ni bonge ya medfield utaona atakavokuja kuwa labda aumie, emb mu observe vizuri nxt match ya gunners ndo uje nipinga hili, acha kabisa eroo. Na mourinho lazima amshobokee one day.
  2. back to the question ngekuwa mm ni kocha ningemwita JW.
 
Jack Wilshere sio tu anaujua mpira, bali pia ana moyo wa Kiingereza.

Kuna baadhi ya watu wanaamini kama angeiongoza Arsenal ingerudi kwenye zama zile za Patrick Vieira. He is more matured than Tom
 
Mi pia namkubali zaidi Wilshere kwa kuwa yuko offensive zaidi kulinganisha na Tom. Akiona upenyo kidogo tu yeye anapita humo humo kuelekea goli la wapinzani. Pia ana uwezo mkubwa wa kupiga chenga kulinganisha na Tom.
 
Aiseeee babaangu hapa hakuna hata mwenyeunafuu wote wabovu
 

That's why nikasema ana potentials za kuja kuwa kama Steve G, but for now bila ushabiki (coz me sio Man Utd's fan) Cleverly ana perform zaid ya Wilshere, Jack has not yet display his potentials.
 
Wilshere ni zaidi.
Mimi si mshabiki wa man u wala arsenal,bali namkubali huyu kijana anaujua mpira zaidi ya Cleverly
 
ikiwa ww ndo kocha wa england na una nafasi 1 tu ya kiungo imebaki na una machaguo mawili tu aidha kumchezesha jack 10 au cleverly embu niambie nani utamuweka na kwa sababu gani

1. Wilshere more prone to lose the ball
2.
Cleverley’s the more accurate passer
3.
Cleverley is better defensively
4. Tom Cleverley: England’s Iniesta
 
That's why nikasema ana potentials za kuja kuwa kama Steve G, but for now bila ushabiki (coz me sio Man Utd's fan) Cleverly ana perform zaid ya Wilshere, Jack has not yet display his potentials.

Ndg yangu MOURINHO, inawezekana kwakiasi kikubwa sana Tom unayemwona anabebwa kwa kiasi kikubwa sana na players anaocheza nao pale Utd angalia pia players anaocheza nao JW, am sure mchukue JW mtupe pale Utd itakuwa ni gumzo,so JW zaidi
 
1. Wilshere more prone to lose the ball
2.
Cleverley's the more accurate passer
3.
Cleverley is better defensively
4. Tom Cleverley: England's Iniesta

Kaka weka u-fans pembeni, JW kamwacha kwa mbali sana Tom, Wilshere ana vitu vingi than Tom
 
Ndg yangu MOURINHO, inawezekana kwakiasi kikubwa sana Tom unayemwona anabebwa kwa kiasi kikubwa sana na players anaocheza nao pale Utd angalia pia players anaocheza nao JW, am sure mchukue JW mtupe pale Utd itakuwa ni gumzo,so JW zaidi

Probably!
 
As ManU fan, i will pick Jack Wilshere ahead of Tom Cleverley
 
Jack ni noma ... Ana moyo wa steven gerald ,.... Cleverly baadaye saaaana
 
Wote ni wachezaji wazuri na bado vijana wadogo sana wanauchezaji tofauti sana.

Wilshere na Cleverly wana zile B tatu anazotakiwa awenazo mchezaji yaani

1.balance au stamina hii inahusisha kila eneo la mwili wa mchezaji
2.ball control
3.brain hapa ndipo pazito kwa wachezaji wengi. Hapa ndiko kunamfanya JW acheze zile ----
zake za ajabu na pia Cleverly kujikuta yuko nje ya nafasi yake wakati mwingi timu yake inapozidiwa.

Nadhani Cleverly ana nafasi kubwa ya kuchukuliwa kutokana tu na uchezaji wake wa kushambulia.
 
tofauti yao ni kwenye mechi kubwa.kama uliangalia mechi za Arsenal na timu za big four like na liva,chelsea,man city,man u utakubaliana na mimi kuwa kwenye hizo gemu JW huwa anapotea kabisa tofauti na TC.JW msubiri kwenye mechi na timu za kati na chini kwenye msimamo wa ligi ndo utamsikilizia raha yake.may be its due ya mentality ya team.man u kwa mfano haina wachezaji wenye majina kiviiile but wanapambana sana uwanjani hadi sekunde ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…