Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
- xplanation nyingi za nini kwa yeyote anaejua mpira atakwambia wilshere jembe , katoka kwa injury juzi tu wakamwita kwenye team ya taifa, ona alivosettle fasta na present squad ya gunners sasa hivi see how he possesses de ball, yani yule kaka kataa sasa hivi yule ni bonge ya medfield utaona atakavokuja kuwa labda aumie, emb mu observe vizuri nxt match ya gunners ndo uje nipinga hili, acha kabisa eroo. Na mourinho lazima amshobokee one day.
- back to the question ngekuwa mm ni kocha ningemwita JW.