Jackie cliff: Sipendi kuona Tanzania ikiyumba kwenye suala la mitindo

Jackie cliff: Sipendi kuona Tanzania ikiyumba kwenye suala la mitindo

haaa kumbe mambo ya rizi two.ndo maana Lulu anakwatuka kilasuku..asante mdau

Mmmmh kwenye nirvana anajifanya kuongea english looo aibu ,jamani Lulu kama unapenda kuongea kizungu si uendage shule au kwa Ras lo yaan ungeiona ungechekaaa
 
Mmmmh kwenye nirvana anajifanya kuongea english looo aibu ,jamani Lulu kama unapenda kuongea kizungu si uendage shule au kwa Ras lo yaan ungeiona ungechekaaa

AAah lugha mbovu eeh? Ataijulia wap mtoto wa uswaz yule, anapenda mwenyew kujifany wa kishua mfyuu
 
AAah lugha mbovu eeh? Ataijulia wap mtoto wa uswaz yule, anapenda mwenyew kujifany wa kishua mfyuu

Ni shidaaaaaaa amuachie wema kiswanglishii
Ye hakiwez kabisaaa
 
Ni shidaaaaaaa amuachie wema kiswanglishii
Ye hakiwez kabisaaa

Mama ubaya yupo vzur, anawakimbiza, ivi umewahi kusikia kiingereza cha jack wolper? Utavunjika mbavu binamu
 
Mama ubaya yupo vzur, anawakimbiza, ivi umewahi kusikia kiingereza cha jack wolper? Utavunjika mbavu binamu

Hua anakazana jamani yaan mi ndio ningekua nawahojii ningekua nawaambia ongea tu kiswahili kwan kuongea kizungu ndio unaonekana umesoma mno au wakati kuna watu wanaiongea hawajasoma hataa
 
Back
Top Bottom