Jackline wolper kaachwa tena?

Huyu sasa ni lazima ajitafakari upya. pengine alifanya kosa kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya alitakiwa atafkari sababu za kukimbiwa na ajrekebishe kabla ya kuanza mengine.

Baaaa Mmakonde ndio nini kumuacha ntoto nzuri hivyo...
Bwana wew kunyata
 
Yani duh ila wanaume wana mioyo, ingekua ni wanawake ndo wameshare hivo ingekua kivumbi
Hii inahitaji moyo wa chuma...sitegemei kuwa hawa walikuwa na malengo ya mbele.............
 
NYIMBO YA DARASA IMEWACHANGANYA,WANA SHOW TAREHE 24 KWA HIYO HII NI SEHEMU YA KICK,MAANA HATA MTOTO KAZALIWA LAKINI WATU WAKO BIZE NA MAISHA NA MUZIKI YA DARASA..DUH
 
Ni kwa malipo, salio alilolipia Harmonize limeisha inatakiwa alipie tena haba liendelee.
 
Hawa bongo movie si wa kuwaamini kunawengine wanatuaminisha waliigiza ujauzito wakijificha kwenye uigizaji huenda wameshusha .... huyu naye anapitia njia yake..., wacha wasake riziki maana kampeni tena hadi 2020
 
Aje kwetu watu wazima hatalia milele sisi tumetulia tuli na hela tunazo aachane na watoto
 
Exactly
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…