moe junior
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 904
- 937
Bwana wew kunyataHuyu sasa ni lazima ajitafakari upya. pengine alifanya kosa kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya alitakiwa atafkari sababu za kukimbiwa na ajrekebishe kabla ya kuanza mengine.
Baaaa Mmakonde ndio nini kumuacha ntoto nzuri hivyo...
Hii inahitaji moyo wa chuma...sitegemei kuwa hawa walikuwa na malengo ya mbele.............Yani duh ila wanaume wana mioyo, ingekua ni wanawake ndo wameshare hivo ingekua kivumbi
Na umri hesabia. Kwa mwanaume kulala na mwanamke aliyekuzidi umri ni sawa na kulala na mzazi wako.ila mmakonde toka mwanzo nilikuwa na mshangaa kuwa na huyu binti...mtu aliyelala na boss wake hadi kachoka
Hamna kitu, njaa kali tu.Umeonaeee ila mafuta yake ghali
yes,anapiga sound wawekezajiMashalaah...ndio Mpango huyu?!
Angefaa kuwa waziri mkuu kbs
Lethoto kule kule kwa King Mswatihaaaaaaaaaa eti sio chozi la nchii hii.... litakua chozi la wapi..
Nitumie mawacliano nijaribu bahatiHamna kitu, njaa kali tu.
chozi la somalia !¡¡!¿haaaaaaaaaa eti sio chozi la nchii hii.... litakua chozi la wapi..
ExactlyCelebrity relationships kuachana ni sehemu ya breaking news kwa fans..
ngumu kudumu.....wengi hudumu wakiwa kwenye spotlight....umaruufu ukipungua
wanaachana......
Kuna wanasaikolojia waliwahi kueleza insecurities za watu maarufu
umaarufu ndo kama drugs yao....
ukipungua tu ni ngumu kwao kuwa happy na yeyote
so victim wa kwanza anakuwa mpenzi....
wanakuwa so miserable.....ndo maana kila kitu wana share...
hata akiwa anaumwa ata post yuko hospitali...
insecurities zinawasumbua
View attachment 446891
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii.....
Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya kumfunua na kumfunika utadhani wanacheza kamari.
Behind the scene kuna nini mbona kuachwa sana......
Exactly