Jackline wolper kaachwa tena?

Jackline wolper kaachwa tena?

View attachment 446891
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii.....
Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya kumfunua na kumfunika utadhani wanacheza kamari.
Behind the scene kuna nini mbona kuachwa sana......
Hapa kuna nyimbo harmonize anataka atoe
 
Teh sijui kwanini hawampi kibendi, sijui hawana shabaha
Au Harmonize atakuwa ameletewa mchumba kutoka nanjilinji sasa imelazika amuache huyu....kaletewa mtoto aliyechezwa wiki nzima.... teh teh
 
View attachment 446891
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii.....
Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya kumfunua na kumfunika utadhani wanacheza kamari.
Behind the scene kuna nini mbona kuachwa sana......
labda ametahiriwa
 
Hahaa hela za single zimeisha!!hawezi kula mihogo na chachandu juic ya ubuyu!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom