minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kamati kuu ya CCM siyo mungu siyo malaika wamechemsha sana wamejaa mapungufu mengi mnoHilo la msingi Sana... Haiwezekani upendeleo ufanyike kwa kudharau maamuzi ya wajumbe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamati kuu ya CCM siyo mungu siyo malaika wamechemsha sana wamejaa mapungufu mengi mnoHilo la msingi Sana... Haiwezekani upendeleo ufanyike kwa kudharau maamuzi ya wajumbe...
CCM na ubovu wake una uhusiano gani na vyama vingine? Wewe ndiyo upunguze mzahaUkisema CCM wana uongozi mbovu, jee vyama vingine utaviweka nafasi gani ? punguzeni mizahaa.
Kamati kuu ya CCM kila mjumbe alikuwa na list yake aliyokula mpunga huku mwenyekiti akiwa na list yake ya rafiki zake mfukoni, mchujo wa kamati kuu ya CCM ni batili umejaa mapungufu urudiwe upyaNafikiri shida kubwa ni uongozi mbovu wa viongozi wa CCM kwani walichohubiri na kutenda ni vitu viwili tofauti
Kamuulize lijuakali aliyeshiriki tukio la kumpiga usiku kisha kutokomea majumbani jirani na kwenye tukioMbowe alishatoa tamko la kuangushwa na Konyagi?
Kamati kuu wamekula takrima za mshindi wa pili kwa mujibu wa Le mutuz ambaye alisimama katikati akipokea Rushwa za watia nia kisha kuwapelekea baadhi ya wajumbe wenye uchu na pesaMaumivu ya uteuzi wa wagombea ubunge ndani ya CCM bado unaendelea. Japo wengi hawasemi wazi lakini chini kwa chini kuna mgogoro mkubwa.
Katika Jimbo la Tarime mjini, aliyeongoza kura za maoni ni Jackson Kangoye na aliyemfuatia ni Michael Kembaki ambaye ndio aliyeteuliwa kuwa mgombea ubunge katika jimbo hilo.
Maamuzi hayo hayajapokelewa vyema na Jackson kwani anaamini kama tatizo ni utoaji wa rushwa wote wawili walikuwa wanatoa rushwa, hivyo angeteuliwa mtu mwingine walau angeelewa kwani kilichofanyika hakielewi na hakina maana.
Kama viongozi wetu, kuanzia Rais Magufuli, Dr. Bashiru na Polepole wangekuwa wanasimamia kauli zao basi tungetamani kuona haki inatendeka na kukata wote waliotoa rushwa, kwanini iwe kwangu tu? Alisikika Jackson akiwaeleza watu wake wa karibu.
Hadi sasa Jackson hajapongeza uteuzi wa Bwana Kembaki na yuko radhi kumsaidia Esther Matiko kwa njia zote na kimya kimya.
Maamuzi hayo yameiumiza sana familia ya Kangoye kwa sababu baba yake Jackson, Mzee Ryoba Kangoye amegombea mara 4 bila mafanikio na mwaka 2015 alishindwa na John Heche, hivyo akaamini mwaka huu walau mwanae anaweza kushinda na kuifuta familia machozi.
Viongozi wetu kina Bashiru na Polepole ni waongo na hawapaswi kuaminika tena kwani ahadi zao za kukata wala rushwa wote zilikuwa za upotoshaji na zisizo na ukweli wowote. Alisema, Charles, aliyekuwa mpambe mkubwa wa Jackson Kangoye.
CCM Tarime mara nyingi inashindwa sababu ya migawanyiko Tarime, tunasubiri kuona kitakachotokea mwaka huu 2020 kuona kama yale ya 2015 yatajirudia tena.
Umewahurumia kwani waliahidiwa ubunge na Yesu Kristo? Wajiajiri tu kama sie tunavyojiajiri.Familia ya Kangonye nimeihurumia sana...kimkakati CCM wangemrudisha wakili heche awapasue mchana kweupe ushindi ni mipango.
Hii imekaa vizuri sana.Maumivu ya uteuzi wa wagombea ubunge ndani ya CCM bado unaendelea. Japo wengi hawasemi wazi lakini chini kwa chini kuna mgogoro mkubwa.
Katika Jimbo la Tarime mjini, aliyeongoza kura za maoni ni Jackson Kangoye na aliyemfuatia ni Michael Kembaki ambaye ndio aliyeteuliwa kuwa mgombea ubunge katika jimbo hilo.
Maamuzi hayo hayajapokelewa vyema na Jackson kwani anaamini kama tatizo ni utoaji wa rushwa wote wawili walikuwa wanatoa rushwa, hivyo angeteuliwa mtu mwingine walau angeelewa kwani kilichofanyika hakielewi na hakina maana.
Kama viongozi wetu, kuanzia Rais Magufuli, Dr. Bashiru na Polepole wangekuwa wanasimamia kauli zao basi tungetamani kuona haki inatendeka na kukata wote waliotoa rushwa, kwanini iwe kwangu tu? Alisikika Jackson akiwaeleza watu wake wa karibu.
Hadi sasa Jackson hajapongeza uteuzi wa Bwana Kembaki na yuko radhi kumsaidia Esther Matiko kwa njia zote na kimya kimya.
Maamuzi hayo yameiumiza sana familia ya Kangoye kwa sababu baba yake Jackson, Mzee Ryoba Kangoye amegombea mara 4 bila mafanikio na mwaka 2015 alishindwa na John Heche, hivyo akaamini mwaka huu walau mwanae anaweza kushinda na kuifuta familia machozi.
Viongozi wetu kina Bashiru na Polepole ni waongo na hawapaswi kuaminika tena kwani ahadi zao za kukata wala rushwa wote zilikuwa za upotoshaji na zisizo na ukweli wowote. Alisema, Charles, aliyekuwa mpambe mkubwa wa Jackson Kangoye.
CCM Tarime mara nyingi inashindwa sababu ya migawanyiko Tarime, tunasubiri kuona kitakachotokea mwaka huu 2020 kuona kama yale ya 2015 yatajirudia tena.
Huyo kijana licha ya kushinda kwa kuongoza kura za maoni pengine hakuwa na connection ndipo mshindi wa pili akatumia fursa hivyo kumteketezaKule CCM kama huna connection shida
Wewe kwa vile ni mmoja wapo wa Moderators hapa JF una ruksa ya kuvuruga mijadala.Mbowe alishatoa tamko la kuangushwa na Konyagi?
Ni mmoja wapo wa Moderators hapa JF huyo.Ona huyu mpuuzi wa JF
Na Yule aliyelewa kwa mahari ya jogoo ashatoa tamko?Mbowe alishatoa tamko la kuangushwa na Konyagi?
Mliambiwa ninyi sio wa mwishoWajumbe tumedharaulika sana.
Nikweli,alisema itategemea atakavyo amka siku hiyoMliambiwa ninyi sio wa mwisho
Kwa hiyo unauona ubora wa ccm kwa ubovu wa vyama vya upinzani?!Ukisema CCM wana uongozi mbovu, jee vyama vingine utaviweka nafasi gani ? punguzeni mizahaa.
Kwa heshima yako Mr. Mshana, huyo jamaa dawa yake ni kumpuuza tu! Akili yake inatosha kuvuka barabara na kumtaja Mbowe tu, basi!Ona huyu mpuuzi wa JF
Kwa hiyo unauona ubora wa ccm kwa ubovu wa vyama vya upinzani?!