Uchaguzi 2020 Jackson Kangoye agoma kumuunga Michael Kembaki Tarime, ashangaa undumilakuwili na uongo wa Bashiru na Polepole

Status
Not open for further replies.
Nafikiri shida kubwa ni uongozi mbovu wa viongozi wa CCM kwani walichohubiri na kutenda ni vitu viwili tofauti
Kamati kuu ya CCM kila mjumbe alikuwa na list yake aliyokula mpunga huku mwenyekiti akiwa na list yake ya rafiki zake mfukoni, mchujo wa kamati kuu ya CCM ni batili umejaa mapungufu urudiwe upya
 
Kamati kuu wamekula takrima za mshindi wa pili kwa mujibu wa Le mutuz ambaye alisimama katikati akipokea Rushwa za watia nia kisha kuwapelekea baadhi ya wajumbe wenye uchu na pesa
 
Familia ya Kangonye nimeihurumia sana...kimkakati CCM wangemrudisha wakili heche awapasue mchana kweupe ushindi ni mipango.
Umewahurumia kwani waliahidiwa ubunge na Yesu Kristo? Wajiajiri tu kama sie tunavyojiajiri.
 
Hii imekaa vizuri sana.
 
Lazima kutakuwa na wenye vinyongo tena sana japo wakati wa kampeni tutawekana sawa
 
HIVI MFANYABIASHARA ZAKARIA ALISHATOKAAYULE NDIE MNGEMPA UBUNGE HAWA NJAA WALIOBAKIA KULOGANA NA KUNA SUBIRINI
 
Ni mwendo wa bora tukose wote, haiwezekani WajvmBe waniteue mimi halafu halmashauri inikate
Nalog off
 
Kwa hiyo unauona ubora wa ccm kwa ubovu wa vyama vya upinzani?!

Tatizo la kwenu ni kijitahidi kujidharau , inakuwaje chama ambachi kinafahamika chama bora cha kisiasa Africa na bado nyinyi mnakiona hovyo ?

Hebu mtuambie kama dunia nzima inajua na mabeberu wanajua na kutamka kuwa chama bora cha kisiasa ni CCM. Hebu tuambieni nyie mnaekiponda mtuambiie ni chama gani bora ?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…