Uchaguzi 2020 Jackson Kangoye agoma kumuunga Michael Kembaki Tarime, ashangaa undumilakuwili na uongo wa Bashiru na Polepole

Status
Not open for further replies.
Swali langu ni rahisi sana, ccm ni bora Kwa sababu ya ubovu wa vyama vya upinzani?? Kwenye hoja yako umesema kama ccm ni mbovu je vyama vingine tuviweke wapi? Kwa hiyo una maana ccm nayo ni mbovu lakini imezidiwa ubovu na vya vingine?!!
 
Kwa mtazamo huu kama ni wa kifamilia, Bora alivyotemwa na Chama,

Mtazamo wa kijinga kabisa kuwahi kutokea
 
Maamuzi hayo hayajapokelewa vyema na Jackson kwani anaamini kama tatizo ni utoaji wa rushwa wote wawili walikuwa wanatoa rushwa, hivyo angeteuliwa mtu mwingine walau angeelewa kwani kilichofanyika hakielewi na hakina maana.

*********
Mwambie atangulie mwenyewe kwenye ofisi za TAKUKURU zilizo karibu naye atakuta maagizo yangu...

Jinga wahedi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…