Pia aliwahi kuwa waziri wa elimu enzi hizo nikiwa chekechea1.Explain the objectives of Makwata commission.
Mungu amlaze mahali pema kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa taifa hili.
Kwa wale wanaosoma/waliosoma shahada/stashahada za elimu wanaelewa mapendekezo aliyoyafanya kwenye tume yake kuhusu maswala ya elimu na uboreshaji wake kwa ujumla.
Mungu amlaze mahali alipo mpangia. Ameen.
Usiiseme serikali tu hata katika jamii zetu misiba yawatu wenye nacho Ndio watu wanaishobokea hiyo ni nature ya binadamuMzee huyu alikuwa ni miongoni mwa viongozi wachache wa CCM waliotumikia taifa lao kwa uadilifu na kwa uzalendo wa hali ya juu, akiwa waziri wa serikali kwa miaka 25 mfululizo (1975 - 2000), lakini hakuna mahali alitumia vibaya madaraka yake kwani inasemekana kwamba hata nyumba ya kuishi nje kidogo ya jiji la Dar-es-salaam alijengewa na wanae kabla ya kustaafu na hata hivyo haikukamilika ipasavyo; na katika kipindi karibia chote cha ustaafu wake alikuwa anaishi kwao kijijini;
Lakini kwa vile serikali yetu ya CCM haijali watu kama hawa, msiba wake utaendeshwa kinafiki tu; Misiba yenye kupewa uzito ni ile ya viongozi wasiokuwa wazalendo ambao utashi wao unapimwa kwa utajiri wao; Lakini ipo siku yote haya yatabadilika;
Poleni wafiwa; Mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi Mzee wetu Makweta, Amen;
Pamoja na yote hakustaafu bali alishindwa kutetea ubunge,huko Njombe walimchoka na kumzomea mbele ya Kikwete hadi walimwambia Kikwete aondoke naye na kama si Kikwete angeondoka na maji,nafikiri alitaka kuufanya ubunge kama ufalme,pamoja na hizo kasoro RIP familia ya Makweta
Pamoja na yote hakustaafu bali alishindwa kutetea ubunge,huko Njombe walimchoka na kumzomea mbele ya Kikwete hadi walimwambia Kikwete aondoke naye na kama si Kikwete angeondoka na maji,nafikiri alitaka kuufanya ubunge kama ufalme,pamoja na hizo kasoro RIP familia ya Makweta
Ni aliyekuwa mbunge wa huko Njombe na waziri katika serikali ya awamu ya kwanza na ya pili Mhe. Jackson Makwetta amefariki dunia jioni ya leo.
Alazwe pema peponi
Chanzo: Ndugu wa karibu na marehemu.
Pamoja na yote hakustaafu bali alishindwa kutetea ubunge,huko Njombe walimchoka na kumzomea mbele ya Kikwete hadi walimwambia Kikwete aondoke naye na kama si Kikwete angeondoka na maji,nafikiri alitaka kuufanya ubunge kama ufalme,pamoja na hizo kasoro RIP familia ya Makweta
Pamoja na kuwa na mawaziri kibao wa elimu kama akina Mayagila, Mgonja, Kapuya, Mungai n.k, marehemu Makweta ni bora kuliko wote. Namkumbuka sana kwa kuanzisha mtihani wa kidato cha pili.
Poleni sana wafiwa, RIP Makweta, J.
Kwa wanaonielewa wamenielewa; unafiki wa viongozi wetu kwenye misiba kama hii upo pale pale ndugu yangu; Na sitabadilisha kauli yangu;
Hakuna aliekuelewa ndio maana kimya! sasa maana yako ni nini kuipakazia CCM kuwa huwa inajipendekeza tu kwa mafisadi pale wanapokufa kwa mazishi ya kitaifa? swali langu bado hujajibu! Jee, Mwalimu nyerere alizikwa kwa heshima zote zinazostahili tena yalikuwa ya kimataifa maana maombi yalianzia ktk makanisa ya Uingereza! sasa yeye nae kwa maoni yako alikuwa fisadi? naomba jibu hapa ili nikuelewa! Natanguliza shukrani mkuu!
Jibu langu ni kwamba CCM ya sasa haina utamaduni wa kuwaenzi viongozi ambao walikuwa ni waadilifu; mifano ipo mingi, na inatakuwa ulitambue hilo badala ya kuja na mifano ya sokoine, nyerere na kawawa; natamani ningeelezea jinsi gani Mzee Makweta, licha ya kuwa muaminifu, mwadilifu na mzalendo kwa nchi yake ameteseka sana kutokana na kutekelezwa katika kipindi chote cha ustaafu wake hadi uhai wake ulipochukuliwa na Mola; Haina maana kwamba ni jukumu la chama na serikali kutunza kila kiongozi, bali kuna mengine ya aibu ambayo sina haja ya kuyajadili; Na sio yeye tu, orodha ni ndefu na mifano hai ni mingi; naomba niliachie hili suala hapa, na tukubaliane tu kutokubaliana, vinginevyo ningependa kurudia tena - sitabadilisha kauli yangu ya awali;
Kama unazungumzia kuenziwa baada ya kustaafu sio CCM tu iliyowasahau wastaafu wao hata vyama vya upinzani kama CDM vilimsahau Mzee Brown Ngululupi, Bob Makani waanzilishi wa CDM na kuwakumbuka tu pale walipofariki huku wakimuenzi Mzee Edwin mtei pekee na kumpa umuhimu wa pekee kwa kutolea maoni pinzani maamuzi ya viongozi halali wa chadema na kutia shaka kwamba huenda Chadema wana agenda ya siri!
Mzee huyu alikuwa ni miongoni mwa viongozi wachache wa CCM waliotumikia taifa lao kwa uadilifu na kwa uzalendo wa hali ya juu, akiwa waziri wa serikali kwa miaka 25 mfululizo (1975 - 2000), lakini hakuna mahali alitumia vibaya madaraka yake kwani inasemekana kwamba hata nyumba ya kuishi nje kidogo ya jiji la Dar-es-salaam alijengewa na wanae kabla ya kustaafu na hata hivyo haikukamilika ipasavyo; na katika kipindi karibia chote cha ustaafu wake alikuwa anaishi kwao kijijini;
Lakini kwa vile serikali yetu ya CCM haijali watu kama hawa, msiba wake utaendeshwa kinafiki tu; Misiba yenye kupewa uzito ni ile ya viongozi wasiokuwa wazalendo ambao utashi wao unapimwa kwa utajiri wao; Lakini ipo siku yote haya yatabadilika;
Poleni wafiwa; Mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi Mzee wetu Makweta, Amen;