Jamani kuna familia ni kauzu, mtu ukiwa na mali nako ukitangulia huku nyuma unaacha shida, ukiwa kapuku madeni yote wanabaki nayo watoto na mke, hii hatari sana , ila mwanamke kama upo kwenye familia wanaoujua utu na Upendo unamshukuru MUNGU sana.Hilo hata mimi nina uhakika,hana cha kupoteza.Kwanza Baba yao Mzazi alizikwa Bukoba,lakini kwa mujibu wa Victoire hawa wamezikwa hapo Shambani kwao Kibaha.Maana yake tayari hapo mpasuko upo.Ndugu hawakutaka kabisa kuwapeleka alipo Mumewe na Baba yao .Huyu mtoto hiyo nguvu ya kurudi anaipata wapi tena?
Aise kwa hiyo wanamlia rada ha ha ha.Mengi mwenyewe alikuwa na kesi na mke wake kuhusu mgao wa malii ambayo ilikuwa haijaishaa badoo yani Hapo pagumu sanaaa... Jack akubali vichache alivyoambuliaaa labda watoto wake watakuja kupata sehemu kubwa ya mgao ila kwa sasa hao wachaga wanaweza kumuwaishaaa aheraaa labda kama aende kuishi Mwezini ila hapa hapa tz aisee atatumiwa hata ndugu wa karibu kabisaaa...
Kabakiza kujiita mrs Mrema tu.Anapambana na hali yake,
Labda hata senti zenyewe za kugombea zishaisha
Sema tu Kinje Ngombale Mwiru.Huyo Golddiger wa kufa na kuzikana.
Mtoto mmoja wa kigogo anamjua vizuri,alitaka kuoa baada ya shughuli zoote imebaki siku 1 harusi Jack katoroka na mzungu mmoja tapeli tu la madini kwenda South,
Katumika sana huko badae ndo karudi bongo kawa mwimbaji
wazungu wanaita "gold digger", yaani mtu anayeolewa ili tu akapate utajiri lakini sio upendo wa kweli. kwa mtoto mzuri kama huyu kwamba akaonye sehemu za siri za mzee, k n.k, hakuna upendo wowote zaidi ya kutafuta utajiri. imagine mzee kama huyo alikuwa anashikwa shikwa na mjukuu huyo.Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.
Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.
May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.
Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.
Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.
Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA
civil marriage hazitambuliki tanzania zaidi ya presumption tu.Hakufunga ndoa ha kanisani nakisahihisha,it was civil marriage
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
humu ndani kuna watu wajinga, kwani kuna mtu amesema jack asipate kitu? shida inakuja wosia kusema apate zote wenzake wasipate. mbona mnafikiria kwa kutumia kamasi nyie? mabush lawyers.Huyo dada ana haki pia kama mke wa Mengi lakin sio kwa namna anavyotaka. Atapewa kiasi kama haki yake na watoto ila sio kama anavyotaka. Pili. Nawashauri wanaume wenzangu ikitokea bahati mbaya mkeo akifa au mmeachana ukubwani usioe aisee. Unawaachia mateso watoto bure.
ndoa walifungia wapi?Baada ya kufunga ndoa unataka kusema hakuna walivyochuma wote? Mengi na Jack wameishi miaka mingapi?
binafsi huwa sihesabii waintrovitro kama binadamu, nashukuru Mungu nilipata watoto kawaida, ila hata ningepata wa aiana hiyo wala nisingewapenda, ingelikuwa bora niwe peke yangu for life.Nasikia hata watoto wenyewe ni introvitro, sio direct fetilizesheni.
haijawahi tokea bro.sambulugu kwa kichaga ni mavi ya mchawi. Wewe tunakufahamu Una chuki kubwa dhidi ya umma wa wachaga hata hivyo utaishia kutukana mitandaoni ila ukweli unaujua kua wewe ni mchunga n’gombe moja ya jamii mbovu na maskini kifikra na kifedha nchi hii. Kwanza tangu lini msukuma akawa na akili
imagine, umeishi na babako tangu utotoni, mmekuwa watu wazima, afu kibinti kidogo kinakuja kinajifanya chenyewe ndo kinamjua sana dini na chenyewe ni kidudu mtu cha muhimu sana kwa babako kuliko hata ninyi. ameishi naye miaka 8 tu, wewe una miaka kama ile ya kina reina, kwenye 50s huko. si ujinga huu? ivi vibinti vyenye mimidomo ivi vijinga sana.Tatizo kumeshajengeka uadui mkubwa mno Kati Yao. Hata hivyo Busara itatumia. Watoto atakaa nao hakuna wa kuwachukua labda awashindwe. Watoto watakuwa huru kuamua kujiunga na ndugu au kujitenga na ndugu wakifikisha 18 years.
Sio muhaya ni wakigoma asili ya kirundiJackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Kwani hao vibabu ni ruksa kuziona sehemu za siri za wajukuu? Mbona hivyo[emoji3] vijana wenyewe mnawakimbia wadada wakihifadhiwa na wazee napo mnasema sasa mwataka wanawake wafanye nini?wazungu wanaita "gold digger", yaani mtu anayeolewa ili tu akapate utajiri lakini sio upendo wa kweli. kwa mtoto mzuri kama huyu kwamba akaonye sehemu za siri za mzee, k n.k, hakuna upendo wowote zaidi ya kutafuta utajiri. imagine mzee kama huyo alikuwa anashikwa shikwa na mjukuu huyo.
Daa usiseme hivyo jamanibinafsi huwa sihesabii waintrovitro kama binadamu, nashukuru Mungu nilipata watoto kawaida, ila hata ningepata wa aiana hiyo wala nisingewapenda, ingelikuwa bora niwe peke yangu for life.
Aiseee!Huyu dada tamaa ya pesa itamfanya apoteze uhai. Amuulize yule mama aliyefariki juzi na wanae kwenye ajali ya gari.Infwakti Yule mama Immaculata Byemerwa kabla ya kuolewa na Engneer alikuwa na yuho mwanae Albert ambae ndo alikuwa dereva. Kaolewa kazaa Janet na Jolister.Na kumbuka kwamba alimkuta Josepahat ana watoto wakubwa .Sasa yule mama kapata ajali na kafariki na uzao wake wote. Kaacha watoto wa mzee wafaidi vizuri mali za baba na mama yao mzazi.
Jack acha tamaa.
Mirathi inagawa na mahakama na siyo watoto wakubwa wa marehemu mengiKwani wamenyimwaa?!!mbona wanaishi kistaafu wale watoto
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sizani wala sifikirii kama ni kweli na kama ni kweli haita wezekana kwasababu Mzee mengi ana watoto wa ndoa kabla ya jack kuolewa.Hujaelewa mzee baba., ndugu sio kwamba hawataki kumpa share yake ila anachokipigania jack anataka yeye na wale mapacha wake wawili wachukue kila kitu yaani utajiri wote wa mengi wale watoto wakubwa wasipate chochote.. jiweke wewe kwenye nafasi ya watoto wakubwa wa mengi ungekubali?