Mkuu wanamke kaumbwa kuolewa na anaweza kuolewa ata na mume mwenye wake zaidi ya mmoja, ingekuwa ajabu jack angekuwa kaolewa na mwanaume zaidi ya mmoja na kuolewa kwa mwanamke ni jambo jema haijalishi kaolewa na mume wa mtu kwa Afrika mwanamke kuolewa ndoa zaid ya mke mmoja ndiyo jadi zetu.Kuingilia ndoa za watu,hukumu ni.hapa hapa duniani.
Ok Ms/ Mr certified accountant wa Dr MengiAcha uongo wewe.hawazalishi?
Mzee mengi Mali zake zipo tu hata akilala mipesa inaingia.
Tuache unafiki.unajua utajiri wa mzee mengi?acha mzaha wewe
Tatozo Jack amei
Aliidhalilisha hii familia. Yaani amelikoroga mwenyewe Ila kwa kuwa waliambiwa warudi Wakae mezani wakubaliane ni kipi cha kugawa na kipi cha kubaki kuendeleza business legacy ya Mzee basi Ngoja tusubiri. Ila kwa kuwa wameshakosana basi Jack atulie apewe chochote. By the way ana nyumba kinondoni anakoishi ni yake. Japo ilikuwa na mkopo ila ninaamini iko free sasa.
Kwa ujuaji wake na alivyowatibua hivi lile Jumba la Machame atathubutu kweli kwenda kukaa kule hata kwa week moja? Maana anakuwa amewafuta huko huko adui zake.
HIVI. SIGNATORIES WA MAKAMPUNI YOOOOOTE YA MAREHEMU , PLUS ENDORSEMENTS , AFFILIATE ISSUES ZA MIKATABA KATIKA SEKTA ZOTE. PLUS ALL BUSINESSES , ZILIZOKUWA CHINI YAKE MAREHEMU !??? JE. WALIKUWA AKINA NANI ??? BEFORE ....... MAAAANA. HILI NAONA NI KAMA. UKWAPUAJI WA MALI ILI KUJIMILIKISHA ON HER OWN BENEFITS .....
WHEN I SAY SIGNATORIES. I THINK AM UNDERSTOOD , PIA. MAREHEMU ALIKUWA NA BUSINESS NYINGI SANA.....
.THE AIM NI KUWA. HAO SIGNATORIES NDIYO WAMILIKI HALALI WA HIZO MALI ZA MAREHEMU AFTER HIS DEATH ......
ILA DAH. TUWAOMBEEEEEENI SAMA WALE WATOTO WAKUBWA WA MAREHEMU WAWEZE ILINDA LEGACY YA BABA YAO. MPKA KESHO....
Kwani ana biashara hai? Huyu mwanamke ni pimbi haswaaWewe jaq ebu tulia ,jumba ulilopewa la kinonondoni ,biashara alizokufungulia na baadhi ya pesa alizokuachia Late Mengi ilipaswa utulize KIPAGO ,achana na mali za mke mkubwa.
Kuiondoa rufaa ina maanisha anaweza kuomba upya. Mahakama haijaitupilia mbali.Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.
Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.
May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.
Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.
Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.
Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA
Kuna vigezo vya kuandika wasia.Kuna trend ya mahakama kubatilisha wosia za marehemu, Je watu wataandika wosia tena kama ni rahisi kubatilisha kila wakatí?
Ndio nipo nae nakula maisha naeDanga limeangukia tena pua. Yaani Mali amezikuta anataka kufilisi familia,,? Haiwezekani kabisa. Amejenga uadui na hii familia kizembe Sana. Yaani mchagga ukishampeleka Mahakamani hamtakaa mkae meza Moja milele. Kwa Heri Gold Digger. Kwa Heri International Danga. Kaendelee tu kudanga maana ndicho unachofahamu. Na Ile kampuni Amorate Furniture uliua ukijua kuna pesa ya wosia fake. Swine mkubwa wewe. Ulitumalizia kipenzi cha watanzania. Yaani wale wamama,vijana na walemavu alikuwa anasaidia watakulaani wewe Danga Jack Ntubaliwe. Watanzania tuna hasira na hili Danga. Mzee Mengi amechangia Uchumi wa hii nchi halafu anaenda kufia ugenini kwa utata. Ndiyo maana hukudondosha hata chozi Moja. Yaani anaingizwa kaburini hata kope hukukunja Danga. Mnaomfamu mfikishieni hizi salamu.
Mapambano bado yanaendelea hadi kieleweke.
Mjane wa Marehemu Mengi anayo haki na ataipata tu.
Ikibidi hata Mahakama ya Afrika Mashariki atafika.
Haya ni mapambano sio tu ya kudai haki ya Jacqulline bali ni mapambano dhidi ya mila na desturi kandamizi kwa wajane wote Tanzaania, tusimlaumu Jacquline bila kufikiria,
bado nchini tunayo makabila yenye desturi na mila kandamizi kwa wajane/wanawake hivyo lazima wanawake wote na wapenda haki tusimame pamoja na mpambanaji Jacquline kupinga ukandamizaji na unyanyasaji huo kupitia Mahakama.
mapambano yanaendelea..................
Hapa hii kesi kila upande unashinda na kushindwa kutokana na makosa ya kiufundi,technicalities tu,unaweza ukakuta umekosea kuweka mkato au nukta tu, Huyu dada kweli kwa kipindi alichoishi na Mzee Mengi,Hana,Wala hakuweza hata kuwa na milioni 200 kwenye akaunti yake?Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.
Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.
May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.
Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.
Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.
Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA
1. Tamaa yenye mizizi ya ubinafsi ndani yake.Kuna wanawake na majini, Ingawa mi ni mwanamke but I can't do that kwa visivyo halali yangu.. dada mbona mrembo tu.. angekomaa tu walau apate hata tumilioni milioni tu jamani na wale watoto.
Au ndo anataka awe first woman billionaire in Tanzania?!! Daaah
Watoto watalelewa na ndugu zao yaani kaka dada, mashangazi, baba wakubwa na wadogo. Hapo wanachotaka ni aachie mali za urithi aliojiandikia yeye kwa mkono wake.Hausiki nazo wakati mzee alishajitia kitanzi Cha ndoa na watoto kazaa nae?hilo balaa lao wanalo.wakimkataa jack Kama mke wa baba yao watamkubali Kama mama wa wadogo zao.kiufupi jack hakwepeki
Hebu fikiria Mzee wako ana mali kama Bakhresa, anaoa bi mdogo, halafu kwenye urithi anaandika mali zote ziende kwa bi mdogo na uzao wake, halafu wewe ambae umekuwa na Mzee wako ukifanya kazi kwenye makampuni yake, hupati hata ka IST!!Mapambano bado yanaendelea hadi kieleweke.
Mjane wa Marehemu Mengi anayo haki na ataipata tu.
Ikibidi hata Mahakama ya Afrika Mashariki atafika.
Haya ni mapambano sio tu ya kudai haki ya Jacqulline bali ni mapambano dhidi ya mila na desturi kandamizi kwa wajane wote Tanzaania, tusimlaumu Jacquline bila kufikiria,
bado nchini tunayo makabila yenye desturi na mila kandamizi kwa wajane/wanawake hivyo lazima wanawake wote na wapenda haki tusimame pamoja na mpambanaji Jacquline kupinga ukandamizaji na unyanyasaji huo kupitia Mahakama.
mapambano yanaendelea..................
Naona unaifahamu Sana hii familia,Jolister used to be my student ,I would like to know more about this family if you don't mind.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]kumbeeee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app