Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Kuingilia ndoa za watu,hukumu ni.hapa hapa duniani.
Mkuu wanamke kaumbwa kuolewa na anaweza kuolewa ata na mume mwenye wake zaidi ya mmoja, ingekuwa ajabu jack angekuwa kaolewa na mwanaume zaidi ya mmoja na kuolewa kwa mwanamke ni jambo jema haijalishi kaolewa na mume wa mtu kwa Afrika mwanamke kuolewa ndoa zaid ya mke mmoja ndiyo jadi zetu.
 
Acha uongo wewe.hawazalishi?
Mzee mengi Mali zake zipo tu hata akilala mipesa inaingia.
Tuache unafiki.unajua utajiri wa mzee mengi?acha mzaha wewe
Ok Ms/ Mr certified accountant wa Dr Mengi
 
Tatozo Jack amei

Aliidhalilisha hii familia. Yaani amelikoroga mwenyewe Ila kwa kuwa waliambiwa warudi Wakae mezani wakubaliane ni kipi cha kugawa na kipi cha kubaki kuendeleza business legacy ya Mzee basi Ngoja tusubiri. Ila kwa kuwa wameshakosana basi Jack atulie apewe chochote. By the way ana nyumba kinondoni anakoishi ni yake. Japo ilikuwa na mkopo ila ninaamini iko free sasa.


Wamempa lakini bado ni nyumba ya bank na ina jina la IPP kwa hivyo ataishi Lakini kuuza hawezi

Na nyumba ipo kwenye Mkondo wa bahari ilashapigwa X kwa ajili ya kubomolewa hatujui ya mbeleni aendelee kuomba Mungu na Kujenga uhusiano mzuri na that Family
 
Kwa ujuaji wake na alivyowatibua hivi lile Jumba la Machame atathubutu kweli kwenda kukaa kule hata kwa week moja? Maana anakuwa amewafuta huko huko adui zake.


Bahati yake hile Familia sio wahuni hawawezi kumdhulu angeingia Familia za watoto wa Mjini kama angebahatika kuolewa na X wake Kinje wale Wakina Kinje wangemtia adabu anawasumbua hawa wachaga wazungu
 
HIVI. SIGNATORIES WA MAKAMPUNI YOOOOOTE YA MAREHEMU , PLUS ENDORSEMENTS , AFFILIATE ISSUES ZA MIKATABA KATIKA SEKTA ZOTE. PLUS ALL BUSINESSES , ZILIZOKUWA CHINI YAKE MAREHEMU !??? JE. WALIKUWA AKINA NANI ??? BEFORE ....... MAAAANA. HILI NAONA NI KAMA. UKWAPUAJI WA MALI ILI KUJIMILIKISHA ON HER OWN BENEFITS .....








WHEN I SAY SIGNATORIES. I THINK AM UNDERSTOOD , PIA. MAREHEMU ALIKUWA NA BUSINESS NYINGI SANA.....







.THE AIM NI KUWA. HAO SIGNATORIES NDIYO WAMILIKI HALALI WA HIZO MALI ZA MAREHEMU AFTER HIS DEATH ......







ILA DAH. TUWAOMBEEEEEENI SAMA WALE WATOTO WAKUBWA WA MAREHEMU WAWEZE ILINDA LEGACY YA BABA YAO. MPKA KESHO....


Signatories walikua ni Mama Mercy ,Dr Mengi ,Regina na Abdiel wamebaki hao wawili Miku na Dada yake
 
Atakayepinga wosia Apewe Buku buku hapa ndo alipo jichanganya

Then huyo Jack why amekaa na Mengi ameshindwa vipi Kupata mkwanja kipindi ambacho mme akiwa Hai ?
 
Kuna trend ya mahakama kubatilisha wosia za marehemu, Je watu wataandika wosia tena kama ni rahisi kubatilisha kila wakatí?
 
Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.

Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.

May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.

Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.

Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.

Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA

Kuiondoa rufaa ina maanisha anaweza kuomba upya. Mahakama haijaitupilia mbali.

Tupate mahojiano ya wakili wake
 
Kuna trend ya mahakama kubatilisha wosia za marehemu, Je watu wataandika wosia tena kama ni rahisi kubatilisha kila wakatí?
Kuna vigezo vya kuandika wasia.

Unapaswa kuwa timamu na unayejitambua.... hicho cha msingi sana....
 
Danga limeangukia tena pua. Yaani Mali amezikuta anataka kufilisi familia,,? Haiwezekani kabisa. Amejenga uadui na hii familia kizembe Sana. Yaani mchagga ukishampeleka Mahakamani hamtakaa mkae meza Moja milele. Kwa Heri Gold Digger. Kwa Heri International Danga. Kaendelee tu kudanga maana ndicho unachofahamu. Na Ile kampuni Amorate Furniture uliua ukijua kuna pesa ya wosia fake. Swine mkubwa wewe. Ulitumalizia kipenzi cha watanzania. Yaani wale wamama,vijana na walemavu alikuwa anasaidia watakulaani wewe Danga Jack Ntubaliwe. Watanzania tuna hasira na hili Danga. Mzee Mengi amechangia Uchumi wa hii nchi halafu anaenda kufia ugenini kwa utata. Ndiyo maana hukudondosha hata chozi Moja. Yaani anaingizwa kaburini hata kope hukukunja Danga. Mnaomfamu mfikishieni hizi salamu.
Ndio nipo nae nakula maisha nae
 
Mapambano bado yanaendelea hadi kieleweke.
Mjane wa Marehemu Mengi anayo haki na ataipata tu.
Ikibidi hata Mahakama ya Afrika Mashariki atafika.

Haya ni mapambano sio tu ya kudai haki ya Jacqulline bali ni mapambano dhidi ya mila na desturi kandamizi kwa wajane wote Tanzaania, tusimlaumu Jacquline bila kufikiria,
bado nchini tunayo makabila yenye desturi na mila kandamizi kwa wajane/wanawake hivyo lazima wanawake wote na wapenda haki tusimame pamoja na mpambanaji Jacquline kupinga ukandamizaji na unyanyasaji huo kupitia Mahakama.

Mapambano yanaendelea..................
 
Mapambano bado yanaendelea hadi kieleweke.
Mjane wa Marehemu Mengi anayo haki na ataipata tu.
Ikibidi hata Mahakama ya Afrika Mashariki atafika.

Haya ni mapambano sio tu ya kudai haki ya Jacqulline bali ni mapambano dhidi ya mila na desturi kandamizi kwa wajane wote Tanzaania, tusimlaumu Jacquline bila kufikiria,
bado nchini tunayo makabila yenye desturi na mila kandamizi kwa wajane/wanawake hivyo lazima wanawake wote na wapenda haki tusimame pamoja na mpambanaji Jacquline kupinga ukandamizaji na unyanyasaji huo kupitia Mahakama.
mapambano yanaendelea..................


Haki ya kuchukua Mali zote , apewe anachostaili . Hii ni Rufaa ya 10 anakata Mnadangaya na will yake fake anapoteza muda na hela Hana za kupambana na case mnafanya anauza kila kitu alichobaki nacho kulipa wanasheria na hatokuja kushinda

Will gani anakaa nayo mnufaika na mwanasheria kutoka maswekeni huko
 
Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.

Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.

May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.

Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.

Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.

Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA

Hapa hii kesi kila upande unashinda na kushindwa kutokana na makosa ya kiufundi,technicalities tu,unaweza ukakuta umekosea kuweka mkato au nukta tu, Huyu dada kweli kwa kipindi alichoishi na Mzee Mengi,Hana,Wala hakuweza hata kuwa na milioni 200 kwenye akaunti yake?

Kwanini asikubali kupokea hicho kidogo Cha urithi,asonge mbele
 
Kuna wanawake na majini, Ingawa mi ni mwanamke but I can't do that kwa visivyo halali yangu.. dada mbona mrembo tu.. angekomaa tu walau apate hata tumilioni milioni tu jamani na wale watoto.

Au ndo anataka awe first woman billionaire in Tanzania?!! Daaah
1. Tamaa yenye mizizi ya ubinafsi ndani yake.

2. Hana uwezo wa kutafuta pesa maana angekuwa nao kidogo alichopata angeshafanya makubwa sana. Anaonekana anapenda sana matumizi makubwa ya mamilioni na tambo za mjini na huku hana uwezo wa kutafuta.

3. Hapendi kushare na hayupo tayari kwa hilo.

4. Anajua akitoka hapo hana tena pa kuanzia maana hao jamaa watamfilisi kila kitu endapo atashuka uwezo wa kifedha atashindwa kupambana nao kisheria.
 
Hausiki nazo wakati mzee alishajitia kitanzi Cha ndoa na watoto kazaa nae?hilo balaa lao wanalo.wakimkataa jack Kama mke wa baba yao watamkubali Kama mama wa wadogo zao.kiufupi jack hakwepeki
Watoto watalelewa na ndugu zao yaani kaka dada, mashangazi, baba wakubwa na wadogo. Hapo wanachotaka ni aachie mali za urithi aliojiandikia yeye kwa mkono wake.

Wadangaji huwa wanajiona very smart but wanasahau kuwa nyuma ya utafutaji huwa haki inafuata. Sasa kama utafutaji wako ulikuwa si wa haki then jiandae kufuatwa na hatima kama hii inayomkuta huyu mlimbwende.
 
Mapambano bado yanaendelea hadi kieleweke.
Mjane wa Marehemu Mengi anayo haki na ataipata tu.
Ikibidi hata Mahakama ya Afrika Mashariki atafika.

Haya ni mapambano sio tu ya kudai haki ya Jacqulline bali ni mapambano dhidi ya mila na desturi kandamizi kwa wajane wote Tanzaania, tusimlaumu Jacquline bila kufikiria,
bado nchini tunayo makabila yenye desturi na mila kandamizi kwa wajane/wanawake hivyo lazima wanawake wote na wapenda haki tusimame pamoja na mpambanaji Jacquline kupinga ukandamizaji na unyanyasaji huo kupitia Mahakama.
mapambano yanaendelea..................
Hebu fikiria Mzee wako ana mali kama Bakhresa, anaoa bi mdogo, halafu kwenye urithi anaandika mali zote ziende kwa bi mdogo na uzao wake, halafu wewe ambae umekuwa na Mzee wako ukifanya kazi kwenye makampuni yake, hupati hata ka IST!!
 
1670135779018.png

Mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, Jacquiline Ntuyabaliwe na wanawe, wamekwama kutetea wosia ulioachwa na marehemu baada ya Mahakama ya Rufani kutupa shauri lake la kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu.
Jacquiline alifungua shauri mahakamani hapo la mapitio kufuatia hukumu ya Mahakama Kuu, iliyokataa wosia uliodaiwa kuachwa na Mengi.

Shauri hilo la mirathi namba 39 ya mwaka 2019, lilifunguliwa na watu wanne, wakiwemo ndugu wa marehemu Mengi.

Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa juzi na jopo la majaji watatu, Rehema Mkuye (kiongozi), Dk Paul Kihwelu na Panterine Kente lilitupa shauri hilo kutokana na kasoro mbili zilizoonekana kwenye kiapo cha Jacquiline na cha wakili wake, Audax Kahendaguza vilivyoambatanishwa katika maombi hayo.

Kasoro hizo ambazo mahakama imekubaliana nazo ni viapo kuwa na maelezo yasiyopaswa kuwemo kwa hoja zinazohitaji ushahidi, maoni, mapendekezo na hitimisho na nyingine ni kutokubainisha chanzo cha taarifa ziliozokuwemo kwenye viapo hivyo.

Credit: Mwananchi
 
Mahakama imesema medai ya jack inawanyima urithi watoto wa mengi bila Sababu yoyote msingi.
 
Back
Top Bottom