miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Aisee sikua nimesoma vizuri. Mutie kumbe had a kid? Sikua nafatilia aisee. Am so happy he left his blood. Mungu ni mwema. Wamuachie tu if its their willing. Wasimsahau. Hoping hata babu yake alimkumbuka maana alimpenda sana marehemu MutieWatamuachia Mtoto wa Marehemu Mutie yule wa kiume zote..maana Sasa hivi atakua mkubwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbona utakua malaika wa wengi humu aiseeNgoja niulizie nikupe majibu sahihi.Hii issue ni very sensitive lazima tusaidiane kupata majibu sahihi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaani nilichekaaaaa.Ile Will inasema kua Jack akishindwa kusimamia Mali apewe dada ake Shimimana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sio watoto wa Mengi Wala nduguze[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]yaani wamejua kuua bendi asseehh
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😂😂😂Yani wachaga wote wanajiona ni warithi wa hizo mali,,Ila hizi mali za mengi zinawauma watu hata hawahusiki nazo🤣🤣
Hapa mzee akiwa na watoto wa nje ,ndo kazi inaanzia hapo.Ni hivi siku hizi inaruhusiwa kabisa hiyo nyumba ukiandika umiliki kwa majina yenu halisi inaeleweka.kuwa wamiliki ni Anna na James.Achana na mambo ya Mrs and Mrs James sijui unanielewa? Andika jina lako halisi na ubini wako wa asili na yeye hivyo hivyo na umiliki ujulikane ni 50% kwa kila mtu.Kwa swali lako ukiwa umeandika kama nilivyosema nyumba ikiuzwa kwa 100M kwanza wewe utapata 50M (ambayo itakuwa ya watoto wako) kisha 50M ya Baba ndiyo itagawanywa kwa watoto wote.Hili limemsaidia sana Aunt yangu na nimeshuhudia mwenyewe mpendaamanitanzania
Hahaha na akiwa wa kiume ndo mbaya zaidi..Kumbe Mutie aliacha mtoto? Sasa hapo naelewa why Jacky anapagawa.
Yaani zinawauma utafikiri walitafuta nae🤣🤣🤣😂😂😂Yani wachaga wote wanajiona ni warithi wa hizo mali,,
Ni kweli kabisa[emoji23][emoji23]Yaani zinawauma utafikiri walitafuta nae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anae tena wa kiume [emoji38][emoji16][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]ana mhaho sio balaaa na Kwa Sasa mkubwa atakua na 18 kuja juu maana enzi anakufa Mutia he was 6yrs ndo maana Hana Raha anajua wale watampa mutie zotee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wakiamua za anko,auntie na grandamaaKumbe Mutie aliacha mtoto? Sasa hapo naelewa why Jacky anapagawa.
Aseeehhh...huzuni sana jamani daahhhHahaha kitu cha kwanza nilichocheka ni wosia kuwa nao klyne. Hahaha dah. Toka lini jamani.
Pili, huyo wakili shuma nilimuuliza kama aliandaa alikataa akasema amesaini tu. That means jacky made it. Shwaini kabisa. Mawakili wa kigogo. Ila akina shuma nao wamachame labda aliona akienda kwa hao ataonekana ni ya kweli. Ila alifeli sana kwa hili[emoji23]
Acha shobo. Pamoja na kuwa huyo siyo Mhaya, ujumbe wa huyo mchagga unabaki pale pale kwamba wao wachagga Wana akili kubwa kuliko Wahaya.
Mbona nimesikia raha hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... ni raha vibaya mnoo[emoji23][emoji23][emoji23] huyo ndo mfalme sasa... na tunamuombea mtoto wetu atandike mimba turembo twa kishua. Bila shaka kamesoma IST eh?Anae tena wa kiume [emoji38][emoji16][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]ana mhaho sio balaaa na Kwa Sasa mkubwa atakua na 18 kuja juu maana enzi anakufa Mutia he was 6yrs ndo maana Hana Raha anajua wale watampa mutie zotee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wakiamua za anko,auntie na grandamaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nilicheka sana ujue ukisoma ule wosio utacheka uzimie na hata asiyeenda Shule anajua kabisa ni WA kipuuzi maaana kipengele cha mwisho Sasa wakishinda watoto wapewe elf 1,Mali zote mpk nguo na boksa warithi Jacky na wanawe wawili baaasiii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani vinachekesha mnoooHuo upuuzi hata watoto wakikuwa watamtukana Mama yao,hao ni Wachagga ajue na siyo Warundi [emoji1][emoji1]
Unawakeraje sasa!! Mnayajua yaliyokuwa yanajiri ndani kwao?Ni kweli kabisa[emoji23][emoji23]
Lakini kilichotukera ni huo wosia tu mkuu. Wosia tu
Ewaaaaaa. Na ndo maana tuko hapa sebuleni na mahakama imejidhihirishia hilo[emoji23]Unawakeraje sasa!! Mnayajua yaliyokuwa yanajiri ndani kwao?
Sio kivileZisingekuwa na dhamani mngekaa mkatulia.
Haya pambaneni, labda mtapatapo hata kabuku[emoji1787][emoji1787]Ewaaaaaa. Na ndo maana tuko hapa sebuleni na mahakama imejidhihirishia hilo[emoji23]
Wosia wa nyokooo
Yas Aliacha kijana nadhani atakua anasoma na future president huyo Mungu amuweke kijana wa watu,wengi hawajui kwa kua mengi na wanawe wale wakubwa sio watu wa spotlight nadhani atakua nje anasoma chuo kikuu!Aisee sikua nimesoma vizuri. Mutie kumbe had a kid? Sikua nafatilia aisee. Am so happy he left his blood. Mungu ni mwema. Wamuachie tu if its their willing. Wasimsahau. Hoping hata babu yake alimkumbuka maana alimpenda sana marehemu Mutie