mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Miradhi ipi umeona mwanamke wa ndoa hajapewa urithi mahakamani kisa hakutafuta na mmewe?
Ndoa sikitu na watoto sikitu na wosia sikitu kwenye mambo ya urithi, mahakama inachoangalia ni kuona haki inatendeka kwa watoto wa marehemu na mama zao na je mama wa watoto walichangia kiasi gani kwenye hiyo mali.