mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Huo ndio utaratibu kwani jack kuzaa tu nanhajashiriki kutafuta mali pale hata hizo asilimia chache ashukuru mungu alifosi ndoa ya mchongo tofauti na hapo angelambishwa hewa kama kawaida
Hizo point zake ndo hizo hizo zimeshindwa kumsaidia jack huko mahakamani
Mwanamke mwenye nguvu bila kutumia akili pia hana maana.Angekuwa mwenye nguvu na akili wala asingekuwa anahangaika na wosia.Alipaswa kumtumia vizuri Mzee akiwa hai ili kujijengea Empire ya business kubwa na siyo kukaa na kusubiri kwenda Mahakamani na wosia wake mkononi.Hebu nikuulize,tangu lini mfaidika wa Wosia akapewa autunze wosia wenyewe? Huoni tu hapo tayari alishadhihira u kihiyo wake kwenye swala nyeti kama hili.Ndiyo maana Mpaka Mahakama ya Rufaa wosia umepigwa chini na kwa sasa hana pa kwenda tena kulalamika
Halafu haelewi yaani kama suala la hisa naona halifahamu kabisa, majority share wa mali ile ni abdiel na rejina kwa sasa ndio waamuzi wa mwisho na technically Baba yao mdogo Benjamin yuko nao bega bega maana kwenye uendeshaji wa shughuli mbalimbali yupo sana na aliamua kuside na watoto wakubwa japo jack kwenye wosia wake wa mchongo alitaka kumchota lakini alimkataa mchana kweupe
Kwa hyo tuwatoee wale mapacha kwenye 25% kisa hawajatafuta wao?
Wale watachopata ndio haki yao kulingana na taratibu za mgawanyo wa mirathi na sio vinginevo yaani jack alitaka rejina na AB wasiwe na nguvu na kucontrol mali za wazazi wao sasa kimegeuka na hatujakataa kua mapacha hawana haki wanayo lakini ndio hiyo percent sio haba
Nimekwambia mzee alishafanya makosa.sasa wamekuja watoto wengine utawaambia Nini kuhusu hizo 25%?
25% itoe akilini mwako kisheria ni ya wanahisa wawili abdiel na rejina hao mapacha wanahisikaje sasa mbona hauelewi pamoja na ufafanuzi wote
Usizunguke wewe sema tu tuwatoee
Ingekua ni nchi zilizoendelea kwa Yale mazingira ya kifo Cha Mzee mpaka wosia Kuna mazingira ya kesi ya manslaughter au first degree murder dhid ya jack unaona kabisa hii ilikua ni missionHalafu haelewi yaani kama suala la hisa naona halifahamu kabisa, majority share wa mali ile ni abdiel na rejina kwa sasa ndio waamuzi wa mwisho na technically Baba yao mdogo Benjamin yuko nao bega bega maana kwenye uendeshaji wa shughuli mbalimbali yupo sana na aliamua kuside na watoto wakubwa japo jack kwenye wosia wake wa mchongo alitaka kumchota lakini alimkataa mchana kweupe
Halafu wewe hauna logic yaani jina lako na wewe mnafanana yaani hauna uelewa hata wa shares unapewa ufafanuzi hauelewi ndio maana kila mtu anakuacha, watu wemejaribu kukupa hadi inside infos lakini wapi utakua na matatizo
Wewe nawe bwana.Umejuaje hawana watoto
Hiki kitu naona huku kwetu wakamangi woote wamegoma aisee[emoji23]Hasa kwenye umiliki wa Assets mlizotafuta pamoja.Mimi nimejifunza kwa Aunt yangu,tunaandika majina yetu wote kila mtu na majina yake aliyopewa na Wazazi wake,hakuna cha Mrs flan hapa.
Achana nae ni mjinga flani hivi, usipotumia akili kwenye maisha utagongwa sana, utafirwa sana, utazalishwa sana and your life will be miserable tupambane sana watoto wetu wa kike watumie akili na sio miili Yao Kama njia ya kujikwamuaHalafu wewe hauna logic yaani jina lako na wewe mnafanana yaani hauna uelewa hata wa shares unapewa ufafanuzi hauelewi ndio maana kila mtu anakuacha, watu wemejaribu kukupa hadi inside infos lakini wapi utakua na matatizo
Sasa bhasi hizo Asilimi 37.5% ilibidi jack agawane nusu kwa nusu na watoto wa mengi alafu yeye asimamie hisa za wanae.. Sema pia hao watoto wa Mengi ni walafii sanaaa kama walishapata za Mama yao ambazo kimsingi katafuta baba yao why wawe warohoo wakutaka na hizo zilizobaki kwa baba yao wakati baba yao alishawapa Urithi wa zile percent 25??? Ulafi ulafii tuuKweli wewe huna ulijualo,ngoja tukusaidie kufafanua.Ni hivi hilo swala la WATOTO KUWA NA HAKI SAWA lipo hivi,watakuwa na haki sawa tu kwa ile share ya Baba yao basi.Hata kabla Mengi na mkewe mkubwa hawajafariki tayari hao watoto wakubwa walikuwa wana miliki shares 25%.Ile 75% iliyobaki ilimilikiwa na Wazazi wao kwa maana ya nusu kwa nusu.Hawa wakubwa Mama yao alipofariki wakarithi shares za Mama yao pia.Mpaka hapo unaona nani ana majority shares? Ndiyo maana Jack alikuwa anataka hizi za Mengi apewe yeye peke yake na wanae ndiyo maana kwa Millard Ayo alisema wale wakubwa walisharithi kwa Mama yao kitu ambacho hakiwezekani,hapa sasa point yako inakuja Watoto wote wana haki sawa ya kurithi kwa Baba yao.Kwa maana hiyo hawa Wakubwa watachukua na sehemu ya shares za Baba yao,wakichangaya na zile zao kutoka kwa Mama yao na zao nani anakuwa more powerful?
Ndugu yako Jack alijichanganya tu,alipaswa kuwa na mali zake binafsi wakati Mzee yupo hai,ili watoto wake wanachopata kutoka kwa Baba yao angewaongezea na kile alichonacho yeye Mama yao.Sasa hawa wadogo wanapata kwa Baba tu peke yao wakati wale wakubwa wanapata Kote kwa Mama na Baba yao.Mshauri Jack apambane awatafutie pia wanae ili waje kurithi na kwa Mama yao kama wale wakubwa walivyo rithi kwa Mama na Baba.Tumeelewana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujue napata hasira mimiHii statement inaonyesha jinsi gan ulivyokua mjinga
sidhani Kama wewe ungekubali ndugu zako wapewe chao mapema.
Ila kwa kuwa sio wewe unaona sawa
unaona ulivyo mweupe.
Unaweza kusimama mahakamani kweli?
Hapa kuna pwenti[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wewe utakua muha au ni ndugu yake jack ntuyabhaliwe nilivokusoma hapa
Unajua hata chanzo cha utajiri wa Mengi?[emoji23][emoji23] wewe ni Muha wewe. Machame hatoki boyaNa hapa ndipo mzee alipojichanya.
Labda alishawishiwa na mke wake mkubwa.
Haya watoto wengine wamekuja.
Wao hawahusiki vipi na 25%wakati ni watoto wako pia?