Kile kifoundation[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Mengi ndo alikua anakibeba ujueMsiba wa ajali ya Precision akatoa pole kutumia uongozi wa Mengi Foundation,nikajiuliza kwa hiyo ile Dr.Ntuyabaliwe Foundation ilijifia yenyewe kwa kukosa pesa.Kwanini yule Shimimana Mengi (inabidi tuwaite hivyo maana ndiyo jina wanalipenda hasa)[emoji3]asiendeleze hiyo ya jina la Baba yao au kilikuwa kijifaundation kilichofulia.
Sijakuwepo. Wewe ulikuwepo comoro?
Bahati mbaya sana huo wosia wa Buku umepigwa chini tena na Mahakama ya juu kabisa hapa Nchini.nadhani hata Mimi haujanielewa.
Yaani kutengana kwa baba na mama watoto wanapewa vipi Mali?
yaani wanahusika vipi na kutengana kwa wazazi wao na Mali zao?
Uenda mzee mengi hakuwa na msimamo kwa wake zake.
Ndo maaana kumbe jack akataka aandikiwe ule urithi.
Yaani watoto wa kwanza Wana 25% peke yao.
Alafu hapo hapo Wana 37.5% urithi upande wa mama yao.
Pia bado Wana 37.5% upande wa baba yao.
Nimeanza kupata picha ya ule wosia wa BUKU BUKU.
Ulikua wa kwake binafsi ule ila ndo hawezi ht kwenda huko Moshi na ujinga wakeSidhan kama nyumba ya Moshi alipewa
Hapa sidhan Kama Ni ulafi,Sasa bhasi hizo Asilimi 37.5% ilibidi jack agawane nusu kwa nusu na watoto wa mengi alafu yeye asimamie hisa za wanae.. Sema pia hao watoto wa Mengi ni walafii sanaaa kama walishapata za Mama yao ambazo kimsingi katafuta baba yao why wawe warohoo wakutaka na hizo zilizobaki kwa baba yao wakati baba yao alishawapa Urithi wa zile percent 25??? Ulafi ulafii tuu
Sasa hao watu wamemsadiaje endapo keshafikia hatua ya mwisho ya kudai haki yake,au kuna option nyingine baada ya hii ya Mahakama ya Rufaa kushindwa kesi?Huyo Klyn Ana watu nyuma, sio mchezo msimchukulie poa
[emoji16][emoji16][emoji16]Halafu wewe utakua muha au ni ndugu yake jack ntuyabhaliwe nilivokusoma hapa
Na hili suala la jk kubaki kusimania hii family ndo imeharibu kiila kitu. Tungemuona madamme wa tea part segerea[emoji23] busara my foot...
Seema....Mabinti wanaoolewa na wazee wana la kujifunza sana hapa
Wadangaji au siyo. Hakika!Seema....
Wadangaji wanaovizizia kuolewa na vizee dakika za mejeruhi Wana la kujifunza hapa[emoji4]
Walau sasa umeelewa somo,ulikuwa unasema Watoto tena mapacha wa Kiume wana nguvu sawa na wenzao.Umeona sasa nani wenye nguvu? Uroho wa Mama yao tu,angetulia hawa watoto wangefaidi hata hizo shares za Regina na Abdiel,lakini kwakuwa kajitia ujuaji,watoto wanaweza ambulia hizo hizo za Baba yao shauri ya upuuzi wa Mama yao.Kumbe uenda tuna muhukumu jack bure.kumbe wale watoto Wana 25% kibindoni tena sio za urithi.
Bado 37.5% za mama yao.
Ndo maana mzee mengi akaandika wapewe BUKU BUKU.
kea sababu hawa watoto wa mengi wawili wakubwa watawazidi wenzao.
Ndo maana mengi akaamua 37.5% za kwake warithi wale mapacha wake.
Seema....
Wadangaji wanaovizizia kuolewa na vizee dakika za mejeruhi Wana la kujifunza hapa[emoji4]
Kama Mzee Mrema au? Fafanua.Hata huyo mzee angekuwa kapuku angetafuta type yake tena mzee mwenzie asingefakamia vibinti
Kwamba wasia alikuwa nao kwenye kipochi manyoya akizurura nao kila mahali mjini akiujadili na mashoga zake samaki samaki? Ha ha ha.Hahaha kitu cha kwanza nilichocheka ni wosia kuwa nao klyne. Hahaha dah. Toka lini jamani.
Pili, huyo wakili shuma nilimuuliza kama aliandaa alikataa akasema amesaini tu. That means jacky made it. Shwaini kabisa. Mawakili wa kigogo. Ila akina shuma nao wamachame labda aliona akienda kwa hao ataonekana ni ya kweli. Ila alifeli sana kwa hili[emoji23]
Nachokiona wewe ni ukoo wa Jacky mliokuwa mnakula Bata kwa Mzee kwa mgongo wa Jack.Poleni sana warundi wa Manyovu,kama hamkujipanga kipindi hicho Mzee akiwa hai yale maisha ndiyo basi tena.Muombeeni tena dada yenu apate danga jingine ambayo ni ngumu sana kwa hapa Bongo baada ya kuonyesha ujinga wake wa tamaa iliyopitiliza.Msalimie Aunt yako na usiache kumtia moyo pia katika kipindi hiki anachopitia.wewe na mumeo watoto wenu mmeshawapa % zao?.
sema tu mzee alikuwa anaburuzwa na mkewe mkubwa alimuwahi.
Ilitakiwa wagawane 50% kwa 50%.
Hawa watoto watakuja kurithi wao wakifa.sio wao wapo hai wanawagawia watoto %.
hapa mzee mengi alijikoroga.
Ndo maana akaja kuandika wosia wa BUKU BUKU
Bahati mbaya sana ameshindwa kwa Mahakama ya Rufaa ya jopo la Majudge watatu,hana tena pa kukata rufaa unless hoja za kutupilia mbali shauri lake zitoe nafasi ya yeye kukata rufaa,nnje ya hapo She is done.Swali unajua rulling ya mahakama we nenda kamsaidie na mpe hizi hoja zako ili akikata rufaa azitake into consideration
Kwani ni ajabu kwa Directors kugawa shares zao? Mbona ni kitu cha kawaida sana na watu wanafanya siku zote.Au huelewi hata namna shares zinavyoweza kuwa transferred kwa mwingine kutoka kwa Wamiliki wa mwanzo kabisa wa Kampunikwa hyo utatoa hyo sheria. Au utaleta maelezo?
Niwekee sheria inayosema wazazi wakiachana na watoto wapewe Mali
Kuna wajing wamemshika masiikioHapa hii kesi kila upande unashinda na kushindwa kutokana na makosa ya kiufundi,technicalities tu,unaweza ukakuta umekosea kuweka mkato au nukta tu,
Huyu dada kweli kwa kipindi alichoishi na Mzee Mengi,Hana,Wala hakuweza hata kuwa na milioni 200 kwenye akaunti yake?
Kwanini asikubali kupokea hicho kidogo Cha urithi,asonge mbele