reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Kile kifoundation[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Mengi ndo alikua anakibeba ujueMsiba wa ajali ya Precision akatoa pole kutumia uongozi wa Mengi Foundation,nikajiuliza kwa hiyo ile Dr.Ntuyabaliwe Foundation ilijifia yenyewe kwa kukosa pesa.Kwanini yule Shimimana Mengi (inabidi tuwaite hivyo maana ndiyo jina wanalipenda hasa)[emoji3]asiendeleze hiyo ya jina la Baba yao au kilikuwa kijifaundation kilichofulia.
Jacky nae anataka kua mjane wa taifa kaaaah
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app