mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ndoa sikitu na watoto sikitu na wosia sikitu kwenye mambo ya urithi, mahakama inachoangalia ni kuona haki inatendeka kwa watoto wa marehemu na mama zao na je mama wa watoto walichangia kiasi gani kwenye hiyo mali.
Wosia ulisha pigwa Chini. Halafu kisheria Mali ulizozikuta ni za bwana kabla ya ndoa sio Mali zako.
Hata akiacha mali zigawanywe kwa usawa atapata share kubwa tu ukizingatia kamkuta mengi tayari ni tajiri.. anachozingua huyu dada anataka kupiga kila kitu kama vile wamehustle pamoja na mengi kutafuta izo mali
Wachaga ni hatari ila hawa waliotokea Machame wanaogopeka hadi na wachaga wenzao.Naona Mama huyu anashindana na wachaga! Sijui kama anawajua wachaga vizuri!
Hakufunga ndoa ha kanisani nakisahihisha,it was civil marriage
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Cyo mhaya hakuna jina la kihaya linaitwa NTUYABALIWEJackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Jack syo muhaya, ni muha wa Rwanda.Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Ndoa siyo mirathi. Jack alipofunga ndoa Mengi tayari mali alikuwa nazo,Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.
Hawajawahi kumnyima mali bali kumpa mali zote ndo BIG NOOOOO, TENA KWA DANGAKwa hyo unataka kusema licha ya jack kuolewa na mengi Hana haki ya kurithi?hamuoni Kama no dhuluma kwa mjane?mzee alishajichanganya waangalie kilicho chake wampe waachane kwa amani.na hao watoto ni lazma walelewe na mama yao kupitia fedha za baba yao.hauwezi kusema mpaka wakue ndo wapewe . Nani atawasomesha?
Saasa tatizo wale watot wa mengi wote hawajao Wala kuolewaa
Mm naona tu wanufaikaji Ni wale watot
Sio Muhuya yule n Muha wa KigomaJackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Hawawezi kugoma kuwasomesha na wale watoto ni damu zao labda kuna mabadiliko mfano kuwaamisha shule ndo wakashindwa kuelewana, jack inabidi akubali sasa hivi mengi hayupo kwaiyo maisha hayawezi kuwa vile vile, matunzo ambayo alikua anayapata yeye na watoto lazima yatashuka haiwezekani yakawa vile vile kama kipindi ambacho mengi yupoShida inaonekana upande wa mengi wanamzingua.unakumbuka waligoma kuwasomesha watoto wa jack?
Weka rekodi sawa. Bi Jackline Ntuyabaliwe, sio Muhaya.Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Ni ujinga wake Mengi kama wachaga mna akili kwa nini Mengi akamatwe mpaka amalizwe na Jackline?Basi hata kifo cha Mengi anahusika, huko Dubai ndio alikwenda kummaliza.
Maisha yetu siku zote ni mission,na kila Mtu ana mission zake! hata wwe saa hizi naona utakua una plani mission zako!!Alijitoa mwili wake utumike kwa manufaa ya baadae lazima uwe na master plan km wewe ni mwanamke mwenye akili, Jana niliwaeleza watu kua ukiona mtu anamtafuta mtu wa kuanzisha nae mahusiano ujue yupo kwenye mission maalum ila wapo waliopuuza, Jack kuingia kwenye mahusiano na babu Mengi ilikua ni special mission
Usipo oa huchui raund.Huyo dada ana haki pia kama mke wa Mengi lakin sio kwa namna anavyotaka. Atapewa kias kama haki yake na watoto ila sio kama anavyotaka. Pili. Nawashaur wanaume wenzangu ikitokea bahat mbaya mkeo akifa au mmeachana ukubwani usioe aisee. Unawaachia mateso watoto bure.
Kwani Wachaga wa Nini Cha ziada hadi Jack aogope kudai mirathi ya Watoto wake!!? Acheni kutisha watu eti hawajui Wachaga! Vita ni Vita hakuna Mambo ya Uchaga Mangi!!Naona Mama huyu anashindana na wachaga! Sijui kama anawajua wachaga vizuri!