miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Nusu ipi mwaego[emoji23][emoji23] si rahisi kihivyo. Kwa sheria ipi kwanza. Hakunaga hiyo aisee.Hawa nao si wagawane nusu nusu yaishe, tushachoka na drama zao sie. Khaaaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nusu ipi mwaego[emoji23][emoji23] si rahisi kihivyo. Kwa sheria ipi kwanza. Hakunaga hiyo aisee.Hawa nao si wagawane nusu nusu yaishe, tushachoka na drama zao sie. Khaaaaah
We siuna mtetea jack kwamba anaonewa nenda kampe hizo hoja zako anaweza shinda kesiUnanikasirikia Mimi ndo niliyemtongozea mzee mengi jack?
si alimtongoza mwenyewe?
Akatangaza ndoa?
Akamuoa.mengi amekufa huyo mkewe amekuwa mjane
Unadhani jack atakosa mirathi?
We siuna mtetea jack kwamba anaonewa nenda kampe hizo hoja zako anaweza shinda kesi
Kwa hiyo jack ameshinda kesiashinde mara ngapi?
Unadhani jack atatoka mikono mitupu pale?
Shida alikuwa analazimisha wosia wa mengi aliouandika ndo ukubalike mahakamani.
Lakini panga pangua jack yumo.
Balaa kalitafuta mwenyewe mzee mengi.ACHA MAKASIRIKO.
siku zote wakati mengi yupo duniani anatangaza anaoa,akaoa ulikuwa wapi?kwani ulikuwa haujui mzee mengi ni maji ya jioni?Leo kaondoka ndo mnaamka.itasaidia Nini?
Kwa hiyo ameshinda kesi
Mungu wangu! Isije ikawa tulipata siku moja.... JF raha sana wallah...[emoji23][emoji23][emoji23] eeh, Kristu Mfalme chini yake Askofu Amedeus Msarikie
Kajimilikisha na wamemuachia akae nayo then lazima atumie jina la Mzee Ili kupa recognition duniani maana unapozungumza Mengi ni taasisi asseehh....sio mtu mmoja hapo lazima ajitangaze hvyo[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hii foundation ilikuaje ikaangukia mikononi mwake? Halafu hata mtu aniue, sintokaa kamwe nibadilishe jina la babangu kuwa mume wangu. Yeye ndo alimkojolea mamangu? Very stuppid. Siku hizi wengi wameamka aisee. Enzi hizo kila mtu kabadili majina ya babake kwenda kwa Mr. Kuna haki zingine unapoteza hivihivi
BACHUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUAlafu msimamizi wa mali akamuweka dada yake
Kampuni ilishafilisika kabisa ikafa yeye nguvu nyingi kaamishia kwenye kesi kwaiyo anauza ata kidogo alichonacho anapambana na watoto wa marehemu
[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]amekufa tu kwa ahadi nakumbuka enzi tunasoma Kuna kadada kalikua form 3 kanakaa G&G hostel,alikua anaendaga nae South Ijumaa wanarudi J3 asubuhi kutanua[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!Obvious. Kala sana bata. Sijui nani alimwachia wadudu maskini. Huyu fala leo hii asingekua anatuletea huu ujinga
Alitaka achukue zote... Kachemkakumbe wewe hata kinachoendelea ukijui.
Huyo anachotaka yeye ule wasia wa mengi ndo upite mahakamani.ila sio Kama kashindwa hatopewa urithi.
Urithi atapata tu sababu,aliolewa na mengi kwa ndoa,na ndoa inatambulika,pili mzee akajikanyaga zaidi kazaa nae watoto.
Pale ndo kifungo kipo maana kwa namna yoyote wale watoto lazma warithi.je watoto wakirithi watashindwa kumpa mama yao?
Yaani hapo lazma jack ale.
Mbaya zaidi hao watoto wawili was jack Wana HAKI SAWA KAMA WALE NDUGU ZAO WAKUBWA.
alafu mbaya zaidi watoto wenyewe ni wanaume.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapana. Sijawahi miye. That was 2004 kipaimara changuMungu wangu! Isije ikawa tulipata siku moja.... JF raha sana wallah...
Unaweza kuta ulishakuwa demu wangu wa utotoni LOL
Huo wosia umemsadia nini? Huoni kama Mzee alijua fika kuwa atakwama na wosia wake kutoka kwa Advicates wa Kigogo? Makampuni ya IPP na Mengi mwenyewe miaka yote mwanasheria wao ni mmoja tu na anajulikana Michael Ngallo.Kama kweli Mzee alitaka kumpatia hizo mali basi Ngallo angehusika.Huoni mpaka hapo Mzee alimfanyia umafia akampa kile alitaka lakini akijua fika ataangukia pua.Kwanini Jack hakupata akili ya kumwambia Mzee amwandikie wosia kupitia kwa Mwanasheria wake wa siku zote?Wakati mpango wake ulikuwa hizo mali.mzee alishajimaliza na alishambana ndo maana mzee aliandika ule wosia.
Hawana shida ndogo ndogo[emoji23][emoji23]Kajimilikisha na wamemuachia akae nayo then lazima atumie jina la Mzee Ili kupa recognition duniani maana unapozungumza Mengi ni taasisi asseehh....sio mtu mmoja hapo lazima ajitangaze hvyo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] hakahaka ndo katakua. Ama pia ukute alikula mbususu ingine pia maana alikua mwingi kama unga wa ngano[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]amekufa tu kwa ahadi nakumbuka enzi tunasoma Kuna kadada kalikua form 3 kanakaa G&G hostel,alikua anaendaga nae South Ijumaa wanarudi J3 asubuhi kutanua[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu ndo alikua haelewi ndo maana hata nimekosa nguvu ya kumuelekezaAlitaka achukue zote... Kachemka
Watoto wakubwa wanashea 25%
Mengi na mke wa kwanza walikuwa na shea 75% ... Kwahiyo watoto wakubwa tayari wanashea 37.5 za mama yao.
Shea 37.5 za Mengi ndizo Jackie na watoto wake wanatakiwa wagawane na watoto wakubwa wa Mengi.... Maana nao wana haki kwa baba yao.
Kwa kifupi Jakie hana cha kuambulia kwenye shea 62.5 za watoto wakubwa wa Mengi.
Mnajuaje mambo ya ndani kama haya?...Mzee Mengi siku za mwisho za uhai wake alikuwa kashachoshwa kiakili na yule mwanamke. Hata huo usia inawezekana uliandikwa kwa ushawishi wa huyo mwanamke.
2004 ndio anazaliwa mjukuu wangu wa saba...[emoji23][emoji23][emoji23] hapana. Sijawahi miye. That was 2004 kipaimara changu
Shkamoo babu[emoji23][emoji23]2004 ndio anazaliwa mjukuu wangu wa saba...