Sijasema tecno N2 ni min, nmetolea mfano zikiwekwa hizo sim mbili basi tecno ni min but tukiweka hyo hyo tecno N2 na Vodafone ,Vodafone itakuwa min na tecno itakuwa maxAnd what is minimum cost? Minimum cost is a relative term dear! Wewe hiyo techno N2 unasema ni minimum wakati kuna mtu hajala! Unaonaje ukatumia tochi ya mchina halafu ukampa hizo zilizobaki?
Basi siku nyingine heshimu uhuru wa mtu kutumia jasho lake jinsi apendavyo. Halfu ujue kuwa mlemavu siyo certificate ya kusaidiwa!Nahitaji smartphone kwa sababu mbali mbali, simu yoyote yenye basic operation za smartphone natumia bila shida yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaAisee...waswahili wenzangu kule tunabishana ada mil 65 za IST huyu ada yote kanunulia mkoba. Ambao unawza upata Karume kwa 2500.
Kuna baadhi ya ulemavu humfanya mtu ashindwe kujitafutia mwenyewe hivyo anahitaji msaada mfano mlemavu wa macho etcBasi siku nyingine heshimu uhuru wa mtu kutumia jasho lake jinsi apendavyo. Halfu ujue kuwa mlemavu siyo certificate ya kusaidiwa!
Nawajua wengi wenye uwezo kuliko watu wenye macho!Kuna baadhi ya ulemavu humfanya mtu ashindwe kujitafutia mwenyewe hivyo anahitaji msaada mfano mlemavu wa macho etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana pia, mana Mungu hutoa riziki kwa mtu amtakaye ila majority of them wanakuwa ktk uhitaji wa msaadaNawajua wengi wenye uwezo kuliko watu wenye macho!
Umeonaaa eeeeeh ???Safi sana
Wacha atumbue pesa ya mzeee
Nimeona mapovu kwenye Comments za watu naishia kucheka tu,
Hahahahahaha,Amorete imefungwa?
FekiSasa unatuambia bei za E-BAY? kitu hicho hicho hapa bongo unaweza kukikuta nakini beii yake e bay ni mara 1000
Na kina Kim kardashiankiwanda kinachotengeneza hiyo mikoba.. kuna wateja iliwawaza kwamba watakuwepo tu.. mmojawapo ndiye huyo k lyn