Sawa pesa ipo lakin. Kwann utumie hera ambayo hata kuna. Watu tutakufa bila kuishika toka utoto kwa kununua mkoba tu huko si kukufuru!!?? Kwann asingenunua milion 1 ingine akapeleka misaada hosptalin au shulen au akawapa wasio na uwezo jmn tukimbuke kila tulifanyalo tutalitolea maelezo siku ya mwisho mbele za Mungu.Hiyo ya karume ya plastic man. Hii kitu ni Og.. sema vile mtoto mkare kama huyu anapenda vitu vya juu halaf na vile mbesa ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule alikuwa anaomba apunguziwe bei kwa yeye ni mzawa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee...waswahili wenzangu kule tunabishana ada mil 65 za IST huyu ada yote kanunulia mkoba. Ambao unawza upata Karume kwa 2500.
Kwenye hilo group wema sepetu yupo?wana group lao..mamis....
waume zao pesa ndipo ilipolala!
Ila wema sepenga hanusi hapo.... .... anavurugwa kitaa tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji33] [emoji33] [emoji33]
[emoji33] [emoji33] [emoji33]Analiwa sana tiGo, muacheni anufaike na jasho la kiuno chake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana madam kwa kwelKumbe watu mnajuana humu!
Ndio maana nikasema only if angekuwa na mawazo hayo.Sawa pesa ipo lakin. Kwann utumie hera ambayo hata kuna. Watu tutakufa bila kuishika toka utoto kwa kununua mkoba tu huko si kukufuru!!?? Kwann asingenunua milion 1 ingine akapeleka misaada hosptalin au shulen au akawapa wasio na uwezo jmn tukimbuke kila tulifanyalo tutalitolea maelezo siku ya mwisho mbele za Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kauli za kishujaaKinachoniskitisha ni kua anaenda toilet kama wengine, hapumui hewa zaid ya oxygen and kuna siku naye atazikwa.Dunia mapambo tu hayo,ukitambua hilo halitokutisha and you will live Free!!!!
umesema angenunua vitanda vya hospital kana kwamba hajawahi fanya hivyo. ndio maana nikakuhabarisha mambo ambayo ameshawahi kuyafanya. KUMBUKA, HUWEZI FANIKIWA KWA KUMCHUKIA ALIYEKWISHA KUFANIKIWASijasema hajafanya kitu...acha kushoboka tumia akili
Lisilowezekana kwako,Siyo kweli huo wa mtandaoni unakakufuli wake hauna ,hizi varsace unaona zimezagaa mjini bei zake original ni kiwanja bongo