livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,955
- 5,616
Chaa ajabu hata ukiuiba utakutana na Pichu, heleni, lip stick na utumbo utumbo kama huo, what's a hell is this !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha kati wagonjwa na wasio wagonjwa..tumia akili mkuuNaamini una uwezo wa kununua baiskeli. Je ushawah kununua hta baiskel upeleke kijijin kwenu kisaidia watembea kwa mguu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimezitumia mkuu. Kwan baiskel haiwez saidia mgonjwa?Tofautisha kati wagonjwa na wasio wagonjwa..tumia akili mkuu
Ndo maana kuna ambulance....tumia akili mkuu..
Mtu kama huyo atakutana wapi na kibaka mkuu?? Hahahaha.Mtu anatembea begani kaning'iniza Million sitini, ama hakika vibaka hawataisha duniani
Yajayo yanasikitisha huo n wivu tuHamna kitu!
Uwongo wake tu!
Mduka wake wa furniture imemshinda!
Hamna kitu kwa huyo mama walahi!
That’s all!
Dolar 800 itapendeza zaidNimeipenda hiyo miwani, kama windscreen ya gari, Bei yake ni dolari ngapi?
Povu lako noma, nakushauri uongeze mke wa pili,Hamna kitu!
Uwongo wake tu!
Mduka wake wa furniture imemshinda!
Hamna kitu kwa huyo mama walahi!
That’s all!