Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Hata kama angekuwa anagonga hapa na pale na kuondoka sio mbaya. Hata kama ni kuzaa angeweza kuwatunza watoto bila kuoa. Hata mimi naona binti kachangia sana kumwondoa duniani mapema.Alibugi sana, kwa Umri wake alitakiwa kutafuta Mmama ,sio kukimbizana namtu ambaye Umri wake bado unaongozwa na mwili .
Huyo Mzee Pamoja na changamoto zakiafya alizokua nazo , Nje ya Huyu dada Asingekufa mapema.
Mara moja moja uwe unafuatilia angalau documentaries za "investigation discovery" au "my little dirty secret" au "forensic files" Naamini utatoka kwenye hilo giza linalokuzingira...
adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake .hahahahahha dada yako kaachwa uchi,kama hakufata maslahi hapo ya nini kudhalilishana kwenye social media?? si asepe tuu...??? kama anadai ana watoto kaachiwa mbona hataki kukubali the fact kwamba Mengi hakua na watoto wakwake peke yake?? kwamba Mengi alikua na watoto wengine besides wa kwake??
mtu wangu unaniangushaYaani Jack ana strategic plan kuhusu biashara? Unaota mkuu.Jack hatawesa kuwa bilionea..kwasabbu deep inside anajua sio mkweli..hkunaga..hela inataka usafi wa rohomkuu...huyo ataishia level hizo hizo...kwa ubilionea nakataa! Hana akili hizo..umekaa na mume 9yrs unakuja kufanya biashara za furniture?? Khaa
mengi Mali atafute yeye nyie mmpangie wa kumpa! ...mna akili timamu kweli?Huyu Sasa hivi Atulie tu Dawa imuingie.. Kina Regina walimuacha kipindi kile aenjoy na Mzee wakijua kuna Mahali watampata tuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
wabongo bwana!!!!......mnachekesha sanaDear..Mimi mwenyewe nimesoma nikaona nikae kimya tu.
Alishindwa kutumia hela ya Mzee kuwa Bilionea wakati akiwa hai hiyo sasa hivi anaanzia wapi?
Halafu huyo Demu hana kismart cha utafutaji..
Sent using Jamii Forums mobile app
mengi Mali atafute yeye nyie mmpangie wa kumpa! ...mna akili timamu kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
dah! hpa ndipo unapozidi kunichosha!Wewe mwenyew umerudi palepale...huyo bilione yuko huko sweden...Jack aliwah hojiwa kwanini kampuno yake inasuasua akasema kutoboa ni ishu .alienda kwenye maonesho dubai alishindwa kideliver coz wenzake wote wana office pale dubai..so akawa ameenda tu mradi...!
Kuna mambo kutusua Africa itachukua muda...kama hayo ya fenicha mkuu..mbona mpak leo mnakalia furnitur toka China? Si mngempa tenda basi?hatuna finishing nzuri...! Utaniambia kama ataweza tusua kupitia furniture!
Kwani nani Kampangia? Huyo aliyeandika Wosia akajipangia % ndiyo kachemka..mengi Mali atafute yeye nyie mmpangie wa kumpa! ...mna akili timamu kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa unachanganya mafile Mkuu,Manji ndio alimshtaki Mengi na akadai fidia ya 1/=.
Wakishinda hiyo kesi maana yake wosia unakuwa revoked na kila kitu kinagawanywa upya kwa mujibu ya Judgement ya Mahakama!
Ule wosia hakuna mwanasheria yeyote wa mengi au ipp,mwanasheria wa mengi anaitwa ngalo miaka yote anajulikana,hata kwenye msiba ndio alikua msemaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kwamba sikushangai hata kidogoGiza gan ebu tutoleen uchawi wenu huko , Jacky c alikua mke wake na Kazaa nae , sasa hapo cha ajabu nini kama akimuandika? Ingekua kaandikwa madam ritha ingekua ajabu sasa kaandikwa jacky mke wa marehemu , acheni wivu uko
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiki kitu nilikiwazaga hivi Ritha angemzalia Mengi naye angesemwa hivi. Hawa watu wanaongea utasema Jacky hajazaa hajaolewa. Kazi kwelikwelkGiza gan ebu tutoleen uchawi wenu huko , Jacky c alikua mke wake na Kazaa nae , sasa hapo cha ajabu nini kama akimuandika? Ingekua kaandikwa madam ritha ingekua ajabu sasa kaandikwa jacky mke wa marehemu , acheni wivu uko
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimependa hii comment uwiiiiiiiiiih,Uchungu una upima na nini?
Wakati Mengi kuna watoto wake wamekuwa naye katika mapambano ya kuisimamisha IPP na kampuni nyingine nyingi bega kwa bega,milima na mabonde,machozi ,jasho na damu wameshiriki wote zaidi ya miaka 25.
Hawa nao watasemaje au wewe kwa kipimo chako hawana UCHUNGU?
Ila huyo aliye onenekana wakati wenzake washavuna ndio mwenye uchungu,ila hawa walio liandaa shamba,wakalisafisha,wakalima,wakapalilia kwa miaka zaidi ya 25 kisha wakavuna,wakaweka ghalani inamana hawana uchungi?
TUIACHIE MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE.
Jack atashinda asubuhiii. Mengi angefariki bila 'will', huyu dada angepata 50% ya mali zote, na watoto wote kugawana iliyobaki. Lakini Mengi ameacha 'will'. Ni mali zake. Anaweza akaachia yeyote. Ndiyo maana ndugu wanaifuata njia finyu sana ya marehemu kutokuwa na akili alipoiandika. Njia nyingine ingekuwa kama mke aliyechuma naye yupo na hakupata kitu. Hapo 'will' ingebutuliwa na mahakama. Lakini hayupo na tunaambiwa alishapata 50% yake! Iwe Jackline alimpenda au hakumpenda mmewe si hoja. Sheria Tanzania na kote ulimwenguni iko kwake. Mengine tufurahie sinema tu.Katika haya mahojiano sijaona point ya msingi kutoka kwa huyo bint, yaaan anaegemea kwa watoto, nmeachwa hoi hapo anaposema hata wanagombana kisa Mali utadhan nyumba 1 kana kwamba watagawa katikati kumbe zipo Mali za kutosha tyuuh, eti wanamkamshifu mumewe na hakuna wa kumtetea Ila ni yey yaan aibu naona mieeeeeh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lol hapan chezea pesa weyeeeeeeeh Damon uwiiiiiiiiih
Sent using Jamii Forums mobile app