Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Tupe ushahidi wa Mengi kuachana na Mke wake wa kwanza.

Jack atapewa urithi lakini unaolingana na mchango wake katika utajiri wa Mengi.
Tupe ushahidi wa Mengi kuachana na Mke wake wa kwanza.

Hii kauli mpaka sasa inanipa mawazo. Ina maana kama hawakuachana na mkewe officially kwamba ndoa ya jacky ni batili[emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama sikosei mama mercy alimwambia mengibkama unataka kuoa hiko kimwanamke chako basi tukubaliane utakua unanilipa dola elf 45 kwa mwezi. Hii ilikua komesha. [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] baada ya mama kufariki mengi akajua ameutua mzigo kumbe na yeye safari ikafika. Muda utafichua kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAHAKAMA ipo kivukoni, haipo JF, njoo hata kwangu room no. 76 masjala kuu nikupe ushuri.
Hao akina Nancy Sumari na wakili wako wanakupoteza, wanaogopa kukwambia ule wosia haukukidhi vigezo na hivyo ni sawa na haupo, oops
 
Tupe ushahidi wa Mengi kuachana na Mke wake wa kwanza.

Hii kauli mpaka sasa inanipa mawazo. Ina maana kama hawakuachana na mkewe officially kwamba ndoa ya jacky ni batili[emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app

Kisheria mwanaume aliyeoa hasa ndoa ya Kikristo hawezi kuoa mwanamke mwingine bila kutangua ndoa ya kwanza. Tena iwepo divorce document inayothibitisha hayo. Vinginevyo ndoa ya pili itakuwa batili.
 
Tupe ushahidi wa Mengi kuachana na Mke wake wa kwanza.

Jack atapewa urithi lakini unaolingana na mchango wake katika utajiri wa Mengi.
Kuhusu Mengi kuachana na mke wake hiyo inajulikana sana lbd kama hizo talaka/nyaraka hazipo.Na wala sio madam au huyo Jacky tu kaspend nao wapo wengi ila aliamua kutulia na JackJack. Pesa atapata maana kashazaa tayari na watoto ni wadogo na haitakwepeka kuwa ile ni damu ya Mengi. Sijaona kosa lake lbd hapo kwenye huo wosia ndipo alipoharibu. I hope mahakama /ukoo utafanya maamuzi sahihi juu ya hizo mali
 
Kisheria mwanaume aliyeoa hasa ndoa ya Kikristo hawezi kuoa mwanamke mwingine bila kutangua ndoa ya kwanza. Tena iwepo divorce document inayothibitisha hayo. Vinginevyo ndoa ya pili itakuwa batili.
Nipo curious mbona ile ndoa haikuwekewa pingamizi na Mama Mercy alikuwa hai?
 
Zaidi ya million mia moja kwa mwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
U are right. Very. Ile kuzaa ndo itambeba. Kuhusu divorce hapo kidogo niko gizani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ukienda mahakamani huendi kuongea mambo yanayojulikana, bali unaenda kutoa vielelezo/ushahidi kisha sheria inaangaliwa. Unajua kinachofanya ndoa ionekane imevunjwa ukiwa mahakamani? Au unadhani ukiachana na mtu kila mtu kivyake ndio mtakuwa mmeachana? Unajua kuna tofauti baina ya kuachana na kutengana?

Nani alikuambia kuzaa ni sababu pekee ya kupata pesa mahakamni?
Huyo Jack anahofia jambo gani kuhusu malezi ya watoto wake aliozaa na Marehemu Mengi, nani alimuambia hawatalelewa?
Unajua nini kinafanya kesi iwe mahakamani?

Kwenye Wosia hajaharibu maana ndicho kitu/ ushahidi pekee alionao. Unafikiri kama anatamaa ya kupata zaidi angefanya nini?

Jack sio kwamba asingepewa urithi na wale ndugu na watoto wa Mengi sema yeye anachotafuta ni kupata zaidi.
 
Tatizo mkuu hujaelewa unayemtetea unamtetea kwa kipi. Jack anataka mali zote za Mengi ziwe zake yaani ITV na kila kitu(hata nyumba wanazoishi watoto wakubwa wa Mengi kama ni za Mengi watolewe ziwe za jack na sio wanawe wadogo). Ndugu hawajawahi kumnyima urithi ila yeye ndie anayetaka awadhulumu.

Yeye jack anaona wale watoto wakubwa hawana haki yoyote kwa Mengi
 
U finished it all

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kama wale housegirls wa mengi walisema jacky huwa ana ukichaa basi inawezekana kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angempenda Mengi angependa na ndugu zake, yeye alikua na maslahi yake, ndugu za Mengi wamemu expose hivyo anachukia...

asanteeee bonge la mama ndo maana nadeclare upendo wangu juu yako forever and ever amen
 
Umewashitaki wamachame sita, wameweka mawakili na wamechafuliwa mitandaoni kwamba wanataka kumpora mali aliyekuwa mke wa marehemu alafu WAAMUE KWA BUSARA? WAPALESTINA WA MACHAME MKUU?

JAQ ana mali na kampuni yake ya fanicha, watoto wanasomeshwa na fedha za marehemu, yye akitombeshe tu huko na aolewe maana bado ni mtoto mdogo na hamu ya kufanywa mapenzi anayao sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…