Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Kawafukuzaje Jack wakati wosia kaandika Mengi?

Mwenye mali ndo kaamua kumpa Jack kwa utashi wake si watafute za kwao!

Kichekesho ni kwamba huo mchango mnaujua nyie watu baki tu kuliko mwenye mali mwenyewe!

Wenye mchango wa kumfanya mtu akawa millionaire Kama Mengi hawawezi kung'ang'ania mali za watu.

Povuu kama lote , kyln mchepuko ndio anang’a ngania mali za familia ya watu
 
Mnapaswa kuandika Wosia kutokana na Sheria na Taratibu za nchi usika, huo Wosia ukitenguliwa itakua ni funzo ,watu watajifunza kuandika na Sababu za kutomoa urithi mtoto huyu na kumpa yule ili Wosia hisitenguliwe

By the way hii will ya kijinga hivyo haijaandikwa na mzee Mengi , Bali Imeandaliwa na kylin akasainishwa mzee
Kwa hiyo taratibu za nchi yetu ni baba kugawia watoto wake wote?

Kama kasaini Mzee inatosha hizo assumptions za Nani kaandika ni inconsequential.
 
Mifano uliyotoa ni mizuri hao walikuwa ni"vimada"hawakuwaoa waliwaficha.lakini huyu Jacky mzee akimficha? Kuna ambae alikuwa hajui anaishi na mzee?Huyo mzee na mke wake walitibuana since wayback. Habari za mwanzo zinasema Huyu mama Mercy alimuwekeaga Mengi sumu kwenye chakula akaokolewa na housegirl na ndio ikawa mwanzo wa ugomvi hatujui ilikuwa ni kweli au laa na pia taarifa za kuwa alikuwa ni mkorofi sana ndio maana walishindwana haya ni ya miaka mingi iliyopita?Inshort tuache mahakama itende haki that's all maana Mengi hakushurutishwa kuishi naye alienda mwenyewe!na kumzalisha na kumuoa aliamua mwenyewe
Hizo case zote tatu vimada wao walikuwa wanajulikana na ndio maana huyo jangili hata ndugu zake walijua yupo kwa mke mdogo,huyo mjeshi aliyekufa bi mdogo yupo mtaa mmoja na mke mkubwa na ndugu jamaa zake walikuwa wanajua.

Hamna sehemu niliyosema kashurutishwa?Alafu sisi wanaume kwenye mapenzi tunaongozwa na mioyo au tamaa zetu,mwanaume anaweza akazaa na mwanamke lkn haimanishi kama anampenda,tena kama hawa wanawake unaokutana nao uzeeni,mara nyingi wanafuata hela na hawa wazee wanajua kwamba huyu ni gold digger.

Kama wazee wapo wengi mashoes shines,wauza kahawa hawa mbona hajawapenda.

Ninachopinga hapa watu wanawaona watoto wa Mengi hawana uchungu,Mengi nwenyewe alijua thamani ya wanae na ndio maana pamoja na kugombana na mkewe,lkn kampuni na mali zote aliwachia wanawe wazisimamie.Sababu aliwaamini na anajua wanawe hawezi msaliti wala kumdhulumu .

Na ndio maana wana haki mbele za Mungu na Sheria ya kuupinga wosia sababu kuna nguvu na jasho lao ktk hizo kampuni kwa miaka zaidi ya 25 na wanamjua baba yao vizuri kabisa wameishi nae zaidi ya miaka 45.Yaani huyo Jack kudate na Mengi haina maana kwamba Mengi alivunja bond na watoto wake,kwani huwezi jua Mengi wanawe aliwaambia nini kwani damu nzito kuliko maji.

Na ndio maana kwa mujibu ya mahojiano mahakamani ya Jack inaonyesha wosia una walakini.
 
Maelezo kidogo hapa mkuu.
Hela za Mengi alihamishia kwenye foundation yake zote? Naona jacky na dadake ndo wamehamia huku. Hapa imekaaje?

Furthurmore nachoona hapa hii foundation inaenda kufa. Nani atakua tayari kuchangia goldigger. Trust me haina muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wananishangaza sana DrNtuyabaliwe Foundation walikuwa wanajrekebisha maktaba Tandale watoto wa Ntuyabaliwe sasa hivi watachukua Dr Mengi Foundation sasa watoto wa Mengi waende kweny foundation ipi?ye kashika ya marehemu Baba yake na wameshika foundation ya Baba wa wenzake yaani watoto wa Mengi.Na Dada hana aibu anarchy kusimamia foundation ya Baba yake anakimbilia kwa Baba wa wengine. Ntuyabaliwes family wapenzi wenye jina foundation yao mnyaki na kuiendeleza ya kwenu.
 
Kawafukuzaje Jack wakati wosia kaandika Mengi?

Mwenye mali ndo kaamua kumpa Jack kwa utashi wake si watafute za kwao!

Kichekesho ni kwamba huo mchango mnaujua nyie watu baki tu kuliko mwenye mali mwenyewe!

Wenye mchango wa kumfanya mtu akawa millionaire Kama Mengi hawawezi kung'ang'ania mali za watu.
Ndio maana wako Mahakamani maana wosia una uwalakini....uzuri kakiri mwenyewe kile familia walichosema kuwa Mzee Mengi wakati anaandika wosia alikuwa tiyari mgonjwa...

Wosia unaandika wakati una akili timamu na kufuata msingi yote ya sheria... Sheria inasema wazi watu wanaotakiwa kurithi mali yako ni watoto, mke/mme, wazazi wako... Hii km utaki warithi utoe na sababu ya kutofanya hivyo... Ambazo sheria imeorodhesha....

Pia kumbuka Mengi kasomesha watoto wake ili waje waendeleza mali za Mengi.. Na ndicho wafanyacho wafanyabiashara wakubwa.. Mali inaendelea kizazi na kizazi.. Rejea Mo, Mercedes Benz, Coca Cola na nk.. Hizi ni mali za Familia zinaendelezwa kizazi na kizazi.... Hivyo kusema watafute vyao ni ufinyu wa uelewa wa jinsi makampuni yanavyoendeshwa...
 
Hizo case zote tatu vimada wao walikuwa wanajulikana na ndio maana huyo jangili hata ndugu zake walijua yupo kwa mke mdogo,huyo mjeshi aliyekufa bi mdogo yupo mtaa mmoja na mke mkubwa na ndugu jamaa zake walikuwa wanajua.

Hamna sehemu niliyosema kashurutishwa?

Ninachopinga hapa watu wanawaona watoto wa Mengi hawana uchungu,Mengi nwenyewe alijua thamani ya wanae na ndio maana pamoja na kugombana na mkewe,lkn kampuni na mali zote aliwachia wanawe wazisimamie.Sababu aliwaamini na anajua wanawe hawezi msaliti wala kumdhulumu .

Na ndio maana wana haki ya kupinga sababu kuna nguvu na jasho lao ktk hizo kampuni kwa miaka zaidi ya 25 na wanamjua baba yao vizuri kabisa ,yaani huyo Jack kudate na Mengi haina maana kwamba Mengi alivunja bond na watoto wake,kwani huwezi jua Mengi wanawe aliwaambia nini.

Na ndio maana kwa mujibu ya mahojiano mahakamani ya Jack inaonyesha wosia una walakini.
Ni kweli Regina na Abdiel wanahaki. Kama ni wosia kutenguliwa whatsoever ila kila mmoja apate haki stahiki.Tunachoongelea hapa ni kumchukulia huyu dada kama kikaragosi Wakati na yeye alikuwa mke. Kwani Mengi alipita na wangapi asiwaoea amuoe huyu?Jacky kaolewa na kuzaa kama wanawake wengine walivyoolewa na kuzaa na ndio maana hakuitwa mchumba wa Mengi ila aliitwa mke wa Mengi.Watu wanasahau anayeongelewa hapa kaolewa na kukaa nae zaidi ya miaka mitano na istoshe kazaa.Watu wanapoongelea kudanga waangalie wanaongelea wapi na kwa mtu gani umaskini usitufanye kumsema kila anayeolewa na tajiri anadanga.Kuhusu wosia we don't know the real truth ila haki itendeke
 
Ni kweli Regina na Abdiel wanahaki. Kama ni wosia kutenguliwa whatsoever ila kila mmoja apate haki stahiki.Tunachoongelea hapa ni kumchukulia huyu dada kama kikaragosi Wakati na yeye alikuwa mke. Kwani Mengi alipita na wangapi asiwaoea amuoe huyu?Jacky kaolewa na kuzaa kama wanawake wengine walivyoolewa na kuzaa na ndio maana hakuitwa mchumba wa Mengi ila aliitwa mke wa Mengi.Watu wanasahau anayeongelewa hapa kaolewa na kukaa nae zaidi ya miaka mitano na istoshe kazaa.Watu wanapoongelea kudanga waangalie wanaongelea wapi na kwa mtu gani umaskini usitufanye kumsema kila anayeolewa na tajiri anadanga.Kuhusu wosia we don't know the real truth ila haki itendeke
Nani anamchukia ? na hata kama kuchukiwa kataka mwenyewe,yy kwa nini maswala kifamilia tena yapo mahakamani kwa nini unayaleta mitandaoni ,unaweka mitandaoni mpaka nyaraka za kimahakama ili iweje?

Ukileta kitu chako mitandaoni watu watahoji either positive or negative cha msingi awe mpole.Kama hujui dada yangu siku hizi watu wanadanga mpaka kwenye ndoa na ndio maana mwanaume akitetereka kidogo kiuchumi ndoa hamna.

Mara nyingi ndoa iliyojengwa ktk misingi ya kutojali mwenzangu ana nini zina uhai wa kuishi kwa mda mrefu sana.
 
Ndio maana wako Mahakamani maana wosia una uwalakini....uzuri kakiri mwenyewe kile familia walichosema kuwa Mzee Mengi wakati anaandika wosia alikuwa tiyari mgonjwa...

Wosia unaandika wakati una akili timamu na kufuata msingi yote ya sheria... Sheria inasema wazi watu wanaotakiwa kurithi mali yako ni watoto, mke/mme, wazazi wako... Hii km utaki warithi utoe na sababu ya kutofanya hivyo... Ambazo sheria imeorodhesha....

Pia kumbuka Mengi kasomesha watoto wake ili waje waendeleza mali za Mengi.. Na ndicho wafanyacho wafanyabiashara wakubwa.. Mali inaendelea kizazi na kizazi.. Rejea Mo, Mercedes Benz, Coca Cola na nk.. Hizi ni mali za Familia zinaendelezwa kizazi na kizazi.... Hivyo kusema watafute vyao ni ufinyu wa uelewa wa jinsi makampuni yanavyoendeshwa...
Jack kakiri Mengi alikuwa mgonjwa wa akili kipindi anaandika wosia? Are you serious? Anataka wafute nini sasa mahakamani?

Hiyo aya ya Mwisho ni hisia zako tu najua ushahidi huna,ngozi nyeusi haina huo utamaduni wa kuwa na mali za familia za kuendeleza vizazi na vizazi ndiyo maana Mengi hajazikuta bali katafuta.

Unafikiri hata wosia ukibatilishwa na kugawanywa upya hadi kwa watoto wakubwa bado kutakuwepo kuendeleza mali za familia?

BTW:Unafikiri kwa nini hoja imekuwa Mengi aliandika wosia akiwa mgonjwa wa akili badala ya kuwa wosia haujakidhi matakwa ya kisheria kitu ambacho ni rahisi kuthibitisha?

Tuvute subra mahakama iamue!
 
Mkuu kwa wanawake hiki sio kitu cha kushangaza wanaomponda hapa hata wakati akiwa na Mengi walikuwa wanamsemaUkisoma between lines hata comments zimejaa chuki.Hii kesi kila mtu anavuta kwake ndugu wenyew hao nimeshangaa sana mzee kafa wanaomba usimamizi wa mali ilhali Regina na Abdiel wapo hai na ni watu wazima.
Unajua hata usimamizi wa mirathi ni nini? Unavyoandika kana kwamba msimamizi ndio anaenda kumiliki mali za marehemu.

Hujawahi kuona msimamizi ni mtu mwingine kabisa nje ya familia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilicho-notice kwenye huu mjadala ni kwamba wanawake wote wako-against Jack!

Sijajua kama ni kweli wanasimamia HAKI au ni CHUKI,WIVU na HUSDA tu vimetawala kwa mwanamke mwenzao kama ilivyo kawaida yao.

BTW:Huo wosia ukikataliwa na mahakama kwa hoja hiyo ya "kitoto" itakuwa hakuna tena maana ya wanasheria kuendelea kuhamasisha watu kuandika wosia kama njia ya kuepuka migogoro ya mirathi.

Na hii reference itaumiza wanawake wengi mno watakaoachiwa wosia na waume zao hapo baadae.

Jack mwenyewe ana nafasi kubwa ya kushindwa kwake mkuu. Amekaa na Mengi miaka 7 alikuwa na uwezo (kama kweli Mengi alitaka) wa kuhamishiwa umiliki wa hizo mali kuliko kusubiri wosia wenye utata uamue mambo.

Alijua mahusiano mabaya yaliyokuwepo, alijua mali za Mengi zina uhusiano na familia, Alijua Mengi alikuwa na mke kabla. Watoto wa baba mmoja huwa wanagombana kwenye mali, yeye je aliyekuta mali???

Leo hata divorce papers hana. So sad kwakweli.

BTW, huo wosia ukikataliwa utawafanya wanawake wajue mali zinatafutwa pia sio short cut kama hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jack kakiri Mengi alikuwa mgonjwa wa akili kipindi anaandika wosia? Are you serious? Anataka wafute nini sasa mahakamani?

Hiyo aya ya Mwisho ni hisia zako tu najua ushahidi huna,ngozi nyeusi haina huo utamaduni wa kuwa na mali za familia za kuendeleza vizazi na vizazi ndiyo maana Mengi hajazikuta bali katafuta.

Unafikiri hata wosia ukibatilishwa na kugawanywa upya hadi kwa watoto wakubwa bado kutakuwepo kuendeleza mali za familia?

BTW:Unafikiri kwa nini hoja imekuwa Mengi aliandika wosia akiwa mgonjwa wa akili badala ya kuwa wosia haujakidhi matakwa ya kisheria kitu ambacho ni rahisi kuthibitisha?

Tuvute subra mahakama iamue!

Soma maelezo yake....

Ushaidi ndio huo Mengi ni ngozi nyeusi wa kwanza kutaka kuona Mali zake zinaendelezwa kizazi na kizazi ndio maana Mzee alifika sehemu akastaafu, katafuta mke wakaanza kula Pension hali watoto wako endelea kuchapa kazi... Kumbuka Mengi alikuwa Tajiri msomi, mwenye exposure na aliyekutana na watu wengi.. Bila shaka alijifunza jinsi ya kuendeleza mali... Si kama matajiri wengine wakifa na mali wanaenda nazo...

Sio swala la kufikiri Bali unaona.. Mengi kaanza kuwafundisha watoto wake biashara matunda unayaona.. Ni bahati mbaya tu Hawa watoto hawana watoto... Ndio maana nikasema huyu Dada angekuwa na akili basi angekaa nao vizuri ili watoto wake waje waendeleza mali za Mzee... Ni lazima uangalie faida ya kesho kuliko ya Leo...

Swala la shauri lilopelekwa Mahakama siwezi liongelea maana kila mtu ana mtizamo tofuati wao wameona hivyo na wewe kwa mtizamo wako unaona bora wangefanya vingine... Wanaweza kuwa wrong au write hii itatokana na ushahidi walionao.. Ambao hata bi Dada anakiri kuwa Mzee wakati amepata stroke alisema mali yote ni yake..
 
Unajua hata usimamizi wa mirathi ni nini? Unavyoandika kana kwamba msimamizi ndio anaenda kumiliki mali za marehemu.

Hujawahi kuona msimamizi ni mtu mwingine kabisa nje ya familia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unahisi tunaandika andika tu siyo? Unahisi ni kwa nini wanaenda kuomba kusimamia hiyo mirathi? Unajua fika madaraka aliyonayo msimamizi na ndio ambacho kila mmoja anakigombania hapo.
 
Kwa jinsi mahakama zetu zilivyokamatwa na ikulu, na kwa jinsi baba mwenye nyumba asivyowapenda wachaga .ninahisi haki kutotendeka siku ya hukumu. Mungu nisamehe kwa kuwaza hivi.
 
Kwa jinsi mahakama zetu zilivyokamatwa na ikulu, na kwa jinsi baba mwenye nyumba asivyowapenda wachaga .ninahisi haki kutotendeka siku ya hukumu. Mungu nisamehe kwa kuwaza hivi.

Msiiingize Ikulu kwenye Hili , wote tunajua uhusiano aliokua nao Mh Raisi na Mengi pamoja na Uchaga wake lakini walielewana sana na mH Raisi
 
Hata Regina ni mwanamke ujue.
Nilicho-notice kwenye huu mjadala ni kwamba wanawake wote wako-against Jack!

Sijajua kama ni kweli wanasimamia HAKI au ni CHUKI,WIVU na HUSDA tu vimetawala kwa mwanamke mwenzao kama ilivyo kawaida yao.

BTW:Huo wosia ukikataliwa na mahakama kwa hoja hiyo ya "kitoto" itakuwa hakuna tena maana ya wanasheria kuendelea kuhamasisha watu kuandika wosia kama njia ya kuepuka migogoro ya mirathi.

Na hii reference itaumiza wanawake wengi mno watakaoachiwa wosia na waume zao hapo baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye kuulizwa endapo kama amewahi kuona document za divorce kati ya mengi na mkewe akajibu hapana kisha nikiunganisha dots kwanini walienda kufunga nje napata ukakasi. Yaan awe makini sana asiojikute looser totally. Usikute hawakupeana talaka bali walitengana tuu. Mbeleni tutajua mengi aisee.
Umalaya mbaya sana hasa ukiwa na tamaa ya mali za watu. Eti niliutoa in case nikiuwawa wanangu wasaidiwe[emoji23][emoji23][emoji119]
Yaan anajitetea kitoto kwa hearsay.

Halaf yule bush lawyer sijui ruta nini huko yuko wapi. Ama ndo yuko semister ya kwanza chuo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bushlawyer kaugua ghafla covid-19 inawezekana kafariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ningekuwa mimi ningekuwa hivyo hivyo! Inaonekana hata salamu tu na Mjane hakuna! Na hivi ndio anashikilia usukani wa IPP kwa sasa! Hadi kesi ya Mirathi iishe atakuwa alishakipata cha moto maana haiishi leo wala kesho! Akomae tu kwenye furniture zake kwa sasa,ndoto ya kuwa “Mwenyekiti Mtendaji wa IPP” aisahau!
Anataka kuwa mwenyekiti mtendaji wa IPP[emoji44][emoji2307]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom