sasa wewe mwenyewe unakiri kuwa jiwe na mzee mengi walikuwa wanaelewana sana, na kwa mujibu wa jack ule wosia aliuandika mzee mengi, hivi hapo unafikiri automatic jiwe yupo upande gani kama sio upande wa wosia?.Msiiingize Ikulu kwenye Hili , wote tunajua uhusiano aliokua nao Mh Raisi na Mengi pamoja na Uchaga wake lakini walielewana sana na mH Raisi
Hamna umasikini mbaya wa mawazo wa kutaka kuhusianisha kila kitu na siasa.We mwenyewe unajiona upo huru kifikra kumbe haupo huru ,siasa zimekufanya uwe mfuasi wa chama mpaka unashindwa kufikiri na kuyaamini mawazo yako.sasa wewe mwenyewe unakiri kuwa jiwe na mzee mengi walikuwa wanaelewana sana, na kwa mujibu wa jack ule wosia aliuandika mzee mengi, hivi hapo unafikiri automatic jiwe yupo upande gani kama sio upande wa wosia?.
Huyu Dada (Jack) akili hana, hv kwa akili za kawaida kabisa a nafikiri anaweza kuwafukuza watoto katika mali za wazee wao hali wao ndo wamekuwa wakurugenzi miaka nenda miaka rudi na mafanikio ya haya makampuni yanaonekana?
Na kwa akili zake zilivyo anakwenda kuanzisha duka la Funirture ambazo ni ghali hata mtu wa kipato cha Kati hawezi kuzimudu Sasa sijui target yake ilikuwa hakina nani? ndio mtu aone akili za huyu Dada...
Hata aibu haoni jamani... Wewe hata hizo Funirture zimekushinda mambo ya IPP utayaweza wapi hali mambo ya biashara huyawezi, Shule huna, uzoefu huna, hiyo miaka 9 na Mzee ulikuwa ni mtu wa kula raha na Mzee Badala ya kujifunza kutoka kwake jinsi ya run biashara kwa faida na aina ya biashara na nk...
Leo hii unataka kuwatoa wazoefu, wasomi, walio fanya hizo kazi na kuleta maendeleo, kukufanya wewe kwenda Dubai km una kwenda Kaliakoo.. Badala ya kukaa Karibu nao ili watoto wako waje wafaidike kwa kupewa ujuzi, elimu ili baadaye waendeleze mali za Mengi.. Wewe ndo unataka kuwafukuza akili gani hizi?
Wewe Dada km unapita hapa hakika mchawi wako ni huyu anayekupa ushauri wa kijinga na huku akiwa pembeni anakucheka... Kaa chini, kula matapishi yako nenda kwa Familia ya Mengi muongee muyamalize.
Hatakuwa na hela km ulizokuwa nazo kabla ya Mzee hajafariki lkn hutalala njaa na utakuwa na Amani moyoni wewe na wanao...
Du yani wanywe alkasusu vikombe viwili [emoji16]Sina uhakika lakini niliwahi kusikia kwenye huo wosia imeandikwa hata ikitokea watu wakapinga wakaenda mahakanani na kushinda, walipwe 1,000/- tzs. Inamaana maamuzi yeyote yameshatolewa majibu kwenye wosia.
sasa wewe mwenyewe unakiri kuwa jiwe na mzee mengi walikuwa wanaelewana sana, na kwa mujibu wa jack ule wosia aliuandika mzee mengi, hivi hapo unafikiri automatic jiwe yupo upande gani kama sio upande wa wosia?.
Hivi kwani Jack anataka kuwafukuza watoto wa Mengi? Nilivyoelewa ni kuwa anataka sehemu ya urithi kwake na kwa wanawe na wale wengine wabaki na sehemu yao na sio kwamba anawafukuza. Jack anahaki zote za kupata sehemu ya Mali maana alikuwa mke halali na amezaa watoto na marehemu, hata asipokuwa mwenyekiti au hata wosia ukitenguliwa lakini lazima awe na sehemu ya Mali muhimu hasa kwa watoto wake maana ni watoto wa marehemu.
Jack mwenyewe alisema kuwa sio kwamba Mali ni kidogo za kugombania bali Mali zipo nyingi za kumtosha kila mtu. Ndugu na watoto wanatakiwa waridhike pia wawafikirie hata hao wadogo zao na huyo mjane kwa kidogo, hata kama alikuwa gold digger inabidi wakubali matokeo maana marehemu alimkubali na ndo tayari keshawazalia damu yao na wadogo zao. Waache tamaa ya kutaka vyote na vingi maana hata waliovitengeneza na walikuwa wakimiliki vyote wamekufa wameviacha
Sijakuelewa.Jack hawafukuzi watoto wa Mengi ndo nilichomaanisha hapoNdio umestuka usingizini? Umeota ndoto gani 😂😂😂😂
Mwenye tamaa ni jack??umeusoma wosia fake kweki regina ambaye ameendesha kampuni kwa miaka 25 leo hii apewe buku chaaa tuwe n utu aise?kwani Jack anataka kuwafukuza watoto wa Mengi? Hapana hawafukuzi Ila ni kuwa anataka sehemu ya urithi kwake na kwa wanawe na wale wengine wabaki na sehemu yao na sio kwamba anawafukuza. Jack anahaki zote za kupata sehemu ya Mali maana alikuwa mke halali na amezaa watoto na marehemu, hata asipokuwa mwenyekiti au hata wosia ukitenguliwa lakini lazima awe na sehemu ya Mali muhimu hasa kwa watoto wake maana ni watoto wa marehemu.
Jack mwenyewe alisema kuwa sio kwamba Mali ni kidogo za kugombania bali Mali zipo nyingi za kumtosha kila mtu. Ndugu na watoto wanatakiwa waridhike pia wawafikirie hata hao wadogo zao na huyo mjane kwa kidogo, hata kama alikuwa gold digger inabidi wakubali matokeo maana marehemu alimkubali na ndo tayari keshawazalia damu yao na wadogo zao. Waache tamaa ya kutaka vyote na vingi maana hata waliovitengeneza na walikuwa wakimiliki vyote wamekufa wameviacha
Ndo hapo jack alipochemka halafu ,by meansa atapata share ila siyo kama alivyotaka yeye 50% ya mama mercy hiyo haina mjadala kesi itahamia kwenye 50% ya baba yao hapo ndo kuna shida na sisi tunao shindaga shindaga viunga vya mahakamani na kutonya sasa jack hatoboi kwenye hii kesi hana valid docuw hata moja ,asubiri kuishi kwa hisani ya mapacha ambao automatically watapata tuMuamuzi bora hapa ni mahakama. Maana Mengi angeacha wosia kwa watoto/mwanasheria wake wa siku zote possibility ya Jack kuumia ingekuwepo. Angewaachia ndugu wakina Abdiel, Regina na mke mdogo wangeumia. Mahakama itende haki watoto na mke mdogo wapate haki inayostahili.Maana kama baba mdogo sjui na nani hao wanaomba usimamizi wa mali za marehemu na Wakati watoto wapo na ni watu wazima ni wazi kuwa yeyote ambaye angepewa madaraka ya kusimamia hizo mali mwengine angeumia.
mkuu unachokataa ni nini hapo? Kwamba Magu haingilii mahakama ? Au magufuli hawapendi wachaga?.Hamna umasikini mbaya wa mawazo wa kutaka kuhusianisha kila kitu na siasa.We mwenyewe unajiona upo huru kifikra kumbe haupo huru ,siasa zimekufanya uwe mfuasi wa chama mpaka unashindwa kufikiri na kuyaamini mawazo yako.
Siasa zishakuharibu kila unachoambiwa na wanasiasa we kwako NDIO,toka nje ya hilo box ili uwe huru KIFKRA kwani bado huna uhuru wa kimawazo.mkuu unachokataa ni nini hapo? Kwamba Magu haingilii mahakama ? Au magufuli hawapendi wachaga?.
wewe unaulizwa hiki unajibu kile, jibu swali acha porojoSiasa zishakuharibu kila unachoambiwa na wanasiasa we kwako NDIO,toka nje ya hilo box ili uwe huru KIFKRA kwani bado huna uhuru wa kimawazo.
Unafikiria siasa mpaka unasahau upo kwenye thread inayozungumzia kitu tofauti na unachowaza ww,basi kuna uwezekana hata matatizo kwenye familia yenu anaye yasababisha ni MAGUFULI,toka nje ya hilo BOX.wewe unaulizwa hiki unajibu kile, jibu swali acha porojo
unafikir kwa maneno haya umelijibu swali langu?Unafikiria siasa mpaka unasahau upo kwenye thread inayozungumzia kitu tofauti na unachowaza ww,basi kuna uwezekana hata matatizo kwenye familia yenu anaye yasababisha ni MAGUFULI,toka nje ya hilo BOX.
Swali lako kwangu halina maana,sababu halihusiani na hii thread #TokaNdaniYaHiloBox.unafikir kwa maneno haya umelijibu swali langu?
Tatizo ni moja tu "wosio " Neno nimemwachia Jack mali zangu zote... Hili neno zote linahitaji uwe na roho ya kimafia kulikubali watoto wakubwa wa marehemu ambao wanazaliwa Baba hana kitu wanashirikiana na mzee wao mpaka kupata mali zote hizo Leo kirahis kirahisi mtu anakuja na kusema amtakiwi kupata kitu hapa🤔kwani Jack anataka kuwafukuza watoto wa Mengi? Hapana hawafukuzi Ila ni kuwa anataka sehemu ya urithi kwake na kwa wanawe na wale wengine wabaki na sehemu yao na sio kwamba anawafukuza. Jack anahaki zote za kupata sehemu ya Mali maana alikuwa mke halali na amezaa watoto na marehemu, hata asipokuwa mwenyekiti au hata wosia ukitenguliwa lakini lazima awe na sehemu ya Mali muhimu hasa kwa watoto wake maana ni watoto wa marehemu.
Jack mwenyewe alisema kuwa sio kwamba Mali ni kidogo za kugombania bali Mali zipo nyingi za kumtosha kila mtu. Ndugu na watoto wanatakiwa waridhike pia wawafikirie hata hao wadogo zao na huyo mjane kwa kidogo, hata kama alikuwa gold digger inabidi wakubali matokeo maana marehemu alimkubali na ndo tayari keshawazalia damu yao na wadogo zao. Waache tamaa ya kutaka vyote na vingi maana hata waliovitengeneza na walikuwa wakimiliki vyote wamekufa wameviacha