Dear..Mimi mwenyewe nimesoma nikaona nikae kimya tu.Yaani Jack ana strategic plan kuhusu biashara? Unaota mkuu.Jack hatawesa kuwa bilionea..kwasabbu deep inside anajua sio mkweli..hkunaga..hela inataka usafi wa rohomkuu...huyo ataishia level hizo hizo...kwa ubilionea nakataa! Hana akili hizo..umekaa na mume 9yrs unakuja kufanya biashara za furniture?? Khaa
Wasipewe buku wapewe 770Tukumbuke wana shilingi elfu moja tu za kitanzania kama wakishinda kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na anajitahidi sana!Watanzania Bwana, Millard ni mwandishi wa habari na ndiko anakopatia pesa yeye kwake habari ni habari sasa anatumikaje hapo?
Dear..Mimi mwenyewe nimesoma nikaona nikae kimya tu.
Alishindwa kutumia hela ya Mzee kuwa Bilionea wakati akiwa hai hiyo sasa hivi anaanzia wapi?
Halafu huyo Demu hana kismart cha utafutaji..
Sent using Jamii Forums mobile app
Anachoomaanisha... Kwa Fedha ya Mzee angepaswa kuwa zaidi ya Hapo.Kwani fenicha biashara mbaya?
Mkuu ujue unaandika vitu havina mantiki.Kwani mke wa kwanza wa marehemu by the time ana umri wa k-lyin aliazisha biashara gani ya kwake binafsi yeye kama mke? We huoni fenicha nzuri zile? Na hao watoto wa mwanzo wamewahi kuanzisha biashara gani binafsi tuone ubunifu wao? Kwa hiyo hata kama hiyo ya fenicha haijasimana ni sehemu ya biashara, si lazima unapoanzisha isimame ila mtu uoneshe ubunifu!!! Mengi mwenyewe alipitia kuanzisha na kufunga biashara tofauti tofauti!!!
Sana maana pia alisema kuwa alitafuta upande wa pili wa ndugu wa Mengi nao wazungumze wakakataaNa anajitahidi sana!
Bado nazisaka zangu binafsi, ili baadae nicipate shida na ndugu wa huyo partner, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheka tyuuuuhMkuu kwan we bado ujaolewa ufanye makubwa kuliko jack
地那天刚才妇产科☆
We acha uchawi hautaki nasie wazee tuwatafune nyie vijanaAlibugi sana, kwa Umri wake alitakiwa kutafuta Mmama ,sio kukimbizana namtu ambaye Umri wake bado unaongozwa na mwili .
Huyo Mzee Pamoja na changamoto zakiafya alizokua nazo , Nje ya Huyu dada Asingekufa mapema.
Faraja yule kichwani yupo Vyema.Jack ni nyonde nyonde mno..hana uthubutu huo .alishachelewa zamanii...faraja na jack ..faraja nismart .
Hiyo kesi ya msuya inaisha mda si mrefu,huku mashemeji wakibaki na walichoiba mda wote waliposimamia maliKesi ya mirathi ngumu sana. Tufanye kazi mazee,tuache kuwaza mali za ndugu. Kesi ya mirathi ya bil.Msuya wa mirerani/Arusha bado?
Siku zote nlikuwa najua we ni mwanamke ndo nimejua Leo we ni baharia mwenzetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] japo sihusiki na hiyo jinsia me, uwiiiiiiiiih
Sent using Jamii Forums mobile app
Case hii k lyn ana nafasi kubwa sana ya kushinda.. ndio maana anakomaa iamuliwe na mahakama sio na vikao vya ndugu nje ya mahakama..
Hoja za mzee Mengi alichanganyikiwa.. itahitaji ripoti ya hospitali. Hapo ndipo patamu
Inavosemekana ndugu wamedai marehemu aliandika urithi akiwa amepoteza akili kidogo nafikiri ndo hyo maana Jack amesema yeye hawezi kusema hvyo itakua sawa na kumkosea marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app