Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Ukienda mahakamani huendi kuongea mambo yanayojulikana, bali unaenda kutoa vielelezo/ushahidi kisha sheria inaangaliwa. Unajua kinachofanya ndoa ionekane imevunjwa ukiwa mahakamani? Au unadhani ukiachana na mtu kila mtu kivyake ndio mtakuwa mmeachana? Unajua kuna tofauti baina ya kuachana na kutengana?

Nani alikuambia kuzaa ni sababu pekee ya kupata pesa mahakamni?
Huyo Jack anahofia jambo gani kuhusu malezi ya watoto wake aliozaa na Marehemu Mengi, nani alimuambia hawatalelewa?
Unajua nini kinafanya kesi iwe mahakamani?

Kwenye Wosia hajaharibu maana ndicho kitu/ ushahidi pekee alionao. Unafikiri kama anatamaa ya kupata zaidi angefanya nini?

Jack sio kwamba asingepewa urithi na wale ndugu na watoto wa Mengi sema yeye anachotafuta ni kupata zaidi.
[/QUOTE
Robert nini hufanya ndoa ionekane imevunjika mahakamani? Pia issue sio kuzaa tu kumbuka wameishi for for more than five years together
 
Tatizo mkuu hujaelwa unayemtetea unamtetea kwa kipi. Jack anataka mali zote za Mengi ziwe zake yaani ITV na kila kitu(hata nyumba wanazoishi watoto wakubwa wa Mengi kama ni za Mengi watolewe ziwe za jack na sio wanawe wadogo). Ndugu hawajawahi kumnyima urithi ila yeye ndie anayetaka awadhulumu.

Yeye jack anaona wale watoto wakubwa hawana haki yoyote kwa Mengi
Kwenye wosia simetei at all ninachomtetea ni watu kumsema huyu dada as if yeye ndiye aliyemlazimisha Mengi kuwa naye. Kuwa treated kama a prostitute watu hawaconsidi kuwa huyu dada ameishi na Mengi in one roof na amezaa naye. She is a mother already. Ingawaje alichofanya Kwenye wosia hakikuwa poa.
 
Wanasema pia ana dharau na kiburi sana. Pesa inaleta ujeuri. Ukiangalia hio interview ya mahakama anapanic ovyo na maneno mengi ni ya kuambiwa tu bila ushahidi
Hivi Klyn anajua kuwa wakati ule yeye anakwenda ma holiday makubwa makubwa Regina alikuwa na majukumu ofisini na si kuwa hawezi kujirusha ila ana majukumu.
 
Nipo curious mbona ile ndoa haikuwekewa pingamizi na Mama Mercy alikuwa hai?

Kwa uelewa wangu mdogo Wa sheria za ndoa kuna machache ya kujiuliza yanayoweza kukupa majibu.

Kwanza, kama Mengi hakumuacha mke wake kwa taratibu zinazotambulika ki mahakama, Je akioa tena iyo ndoa ya pili itakuwa halali? Ndio maana uliona Jacky anaulizwa kama anao ushahidi Wa Mengi kumuacha mkewe akabakia kusema mume wangu aliniambia ivyo unfortunately mahakama hazitumii hearsay kama evidence, ilitakiwa aweke divorce papers mezani.

Pili ambayo ni muhimu na naona wengi hawaizungumzii, Je ndoa zinazozofungwa nje ya nchi kwenye foreign jurisdiction, wanandoa hao wanaporudi nchini iyo ndoa inatambulika kisheria automatically au kuna taratibu lazima wafuate ili ndoa yao itambulike mfano kusajili ndoa yao to the marriage registrar.

Na ata kama ndoa yako itatambulika nchini, lazima ujue in case of a dispute ni sheria zipi za ndoa zitatumika, sheria za nchi mlizofunga ndoa au sheria za nchi ambazo wanandoa wana makazi ya kudumu( permanent residence).

Nilivyoona tu mzee Mengi kampiga huyu slay queen destination wedding nikaamini kweli anao watu wazuri( wanasheria) wanaomshauri vizuri. Inawezekana mama Mercy Mengi kujua izo grounds ndio maana hakutaka kupoteza muda wake na hio ndoa ya mshua.
 
Ila Mengi why hakuweka mambo sawa na bayana kwa watoto wake wakubwa na mke mdogo. Sasa hivi haya makesi kungekuwa hamna kila mtu angekuwa na mishe zake.Akina baba mkijua kabisa kuna mke mdogo/ mkubwa /watoto wa nje au whatsoever ekeni mambo sawa mapema maana kuna mmoja lazima aumie
 
Jack alikua anaonewa huruma na wengi ila aliharibu mwenyewe. Maneno ya mauaji aliyatoa Mange na watu tukayadaka ila ndugu walizima ule moto na JK akasaidia zaidi msiba ukaisha salama. Mara paap bibie akaanza sarakasi kavujisha wosia,kaita wajane home,katoa onyo kali(kupitia mitandao) kwa watoto wakubwa kugusa mali za Mengi. Wenzie wapo kimya kimya,nae angekua na busara angepigana vita vya kimya kimya. Anachokifanya saiv kinamshusha kufikia hatua hio unayoiona ni uonevu
Kwenye wosia simetei at all ninachomtetea ni watu kumsema huyu dada as if yeye ndiye aliyemlazimisha Mengi kuwa naye. Kuwa treated kama a prostitute watu hawaconsidi kuwa huyu dada ameishi na Mengi in one roof na amezaa naye. She is a mother already. Ingawaje alichofanya Kwenye wosia hakikuwa poa.
 
Kwa uelewa wangu mdogo Wa sheria za ndoa kuna machache ya kujiuliza yanayoweza kukupa majibu.

Kwanza, kama Mengi hakumuacha mke wake kwa taratibu zinazotambulika ki mahakama, Je akioa tena iyo ndoa ya pili itakuwa halali? Ndio maana uliona Jacky anaulizwa kama anao ushahidi Wa Mengi kumuacha mkewe akabakia kusema mume wangu aliniambia ivyo unfortunately mahakama hazitumii hearsay kama evidence, ilitakiwa aweke divorce papers mezani.

Pili ambayo ni muhimu na naona wengi hawaizungumzii, Je ndoa zinazozofungwa nje ya nchi kwenye foreign jurisdiction, wanandoa hao wanaporudi nchini iyo ndoa inatambulika kisheria automatically au kuna taratibu lazima wafuate ili ndoa yao itambulike mfano kusajili ndoa yao to the marriage registrar.

Na ata kama ndoa yako itatambulika nchini, lazima ujue in case of a dispute ni sheria zipi za ndoa zitatumika, sheria za nchi mlizofunga ndoa au sheria za nchi ambazo wanandoa wana makazi ya kudumu( permanent residence).

Nilivyoona tu mzee Mengi kampiga huyu slay queen destination wedding nikaamini kweli anao watu wazuri( wanasheria) wanaomshauri vizuri. Inawezekana mama Mercy Mengi kujua izo grounds ndio maana hakutaka kupoteza muda wake na hio ndoa ya mshua.
Sikujua vitu vipo complicated hivi kuna la kujifunza hapa
 
Kwa uelewa wangu mdogo Wa sheria za ndoa kuna machache ya kujiuliza yanayoweza kukupa majibu.

Kwanza, kama Mengi hakumuacha mke wake kwa taratibu zinazotambulika ki mahakama, Je akioa tena iyo ndoa ya pili itakuwa halali? Ndio maana uliona Jacky anaulizwa kama anao ushahidi Wa Mengi kumuacha mkewe akabakia kusema mume wangu aliniambia ivyo unfortunately mahakama hazitumii hearsay kama evidence, ilitakiwa aweke divorce papers mezani.

Pili ambayo ni muhimu na naona wengi hawaizungumzii, Je ndoa zinazozofungwa nje ya nchi kwenye foreign jurisdiction, wanandoa hao wanaporudi nchini iyo ndoa inatambulika kisheria automatically au kuna taratibu lazima wafuate ili ndoa yao itambulike mfano kusajili ndoa yao to the marriage registrar.

Na ata kama ndoa yako itatambulika nchini, lazima ujue in case of a dispute ni sheria zipi za ndoa zitatumika, sheria za nchi mlizofunga ndoa au sheria za nchi ambazo wanandoa wana makazi ya kudumu( permanent residence).

Nilivyoona tu mzee Mengi kampiga huyu slay queen destination wedding nikaamini kweli anao watu wazuri( wanasheria) wanaomshauri vizuri. Inawezekana mama Mercy Mengi kujua izo grounds ndio maana hakutaka kupoteza muda wake na hio ndoa ya mshua.
Mick Jagger alimuacha mke wake kwa gharama ya milioni 20 tena za huruma kwakua ndoa ilifungwa Bali kumbe Uingereza haitambuliki
 
Jack anajichanganya maelezo.
Angalia dakika ya 31 ameulizwa kuhusu Hospital dubai.

Akasema

*mme wangu alidondoka hotelini walikuwa wanatembea, wakapiga reception wakaitiwa Ambulance....
Baadae akasema aliwauliza reception wawaelekeze hospital maana hazijui. Je ambulance inaweza isijue hospital?

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni nouma sana. Ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama sikosei mama mercy alimwambia mengibkama unataka kuoa hiko kimwanamke chako basi tukubaliane utakua unanilipa dola elf 45 kwa mwezi. Hii ilikua komesha. [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] baada ya mama kufariki mengi akajua ameutua mzigo kumbe na yeye safari ikafika. Muda utafichua kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Alikua anapokea faida ya shares zake sio malipo walikubaliana hivyo kila mtu apokee za kwake
 
Mick Jagger alimuacha mke wake kwa gharama ya milioni 20 tena za huruma kwakua ndoa ilifungwa Bali kumbe Uingereza haitambuliki

Kwa kifupi Jacky got played, Mengi ni multimillionaire na mpaka kufika pale hiyo michezo
anayoleta Jacky sizani kama alikuwa haijui.

Namuonea huruma mama wawili kwa kupoteza pensheni yake(urithi), na kwa up and coming gold diggers kuna Mengi ya kujifunza kwenye hii case.
 
Kwa kifupi Jacky got played, Mengi ni multimillionaire na mpaka kufika pale hiyo michezo
anayoleta Jacky sizani kama alikuwa haijui.

Namuonea huruma mama wawili kwa kupoteza pensheni yake(urithi), na kwa up and coming gold diggers kuna Mengi ya kujifunza kwenye hii case.
I love this game[emoji23][emoji23][emoji119]
In Evra's voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama unajua ulichoandika.
Haijalishi ndoa ilifungwa wapi au lini ndoa inaweza kubatishwa hata katoliki mkifunga ndoa mwanaume akawa hanithi ndoa inabatilishwa.Mwanamama si alisikia kabisa Mengi anafunga ndoa? Na hata baada ya Mengi kurudi bongo kwa nini asingeenda kuibatilisha na alikuwa hai?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom