Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Yeye kabla ya kuolewa alikua na Mali gani km sio hatimiliki ya Kinyimbo chake tu.
 

Ha ha ha kaambulia mafao ya kukojolewa Uzee. Nimecheka kwa nguvu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna uwezekano yule Mzee alikua anasengenywa na kunyimwa tendo.... mzee hakuwa na lakufanya sababu yuko dhaifu.
Sidhani hata alikua akimtia yule dada

Sent using Jamii Forums mobile app
Housegirls wana siri nzito sana ....Kuna watu walipewa umbea wa kilichokuwa kinaendelea mle ndani...ni hatari tupu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Usikute babu alikua anamtapel Dada wa watu kagonga uku akimuahid Mali kumbe anajua alivyo andika will hata akifa Dada hapati kitu
 
Isijekuea jaji kakatiwa mpunga wa kutosha na hao watoto wa bi mkubwa ili kumla kichwa k Lyn.

Huwezi jua lolote linawezekana chini ya jua.

Unajua maana ya High Profile Case? Hakuna Judge anaeweza kuharibu reputation yake kwa kesi za namna ile, kwa maamuzi ya hii kesi sitoshangaa Judge Mlyambina akaja kupanda kuwa Judge wa Mahakama ya Rufani.
 
Ngoja tuone...

Kuna tetesi kwamba huo wosia marehemu alilazimishwa ku sign ili hali akiwa mgonjwa hajiwezi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…