Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondoView attachment 1791810
Is this authentic !!!??? Seems as if the original report has been compromised here.
 
Hili danga huenda kwa akili hii, ndiyo alimletea huyo marehemu stroke, mtu gani haelewi, hajui kukaa kimya?!
Kwanini hakupeleka hizo doc kwa jaji?

Hivi na ile SAINI ni ya kweli au kufoji!
Zile twiti za 'I love u my Jackline'??
She's so FAKE, my head is spinning!
Mwarabu je??

Nyambafu kabisa! Kwani kuugua akili ni jambo baya?? Mbona wapo wengi?? Tena angeanzisha support groups NGO, angepiga hela kupitia mwanya huo, kuliko kujidhalilisha mitandaoni.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Jack hana washauri, au ni aina ya watu hawapokei ushauri, hana akili, hana adabu au tatizo lake ni nini mwenzetu?

Alikosea kutokutafuta suluhu na upande wa mumewe tangu mumewe akiwa hai, akakosea kwenye wosia, akakosea tena kuutoa wosia mitandaoni.

Aliwezaje kuwaamini watu waliomdanganya kuwa hii kesi atashinda, yeye alishindwa kabisa kuchekecha akili yake na kugundua kuwa kesi itakuwa ngumu sana kwa upande wake? kwanza aliwezaje kutaka wenzake wasipewe kitu. Amefanya makosa mengi na bado anaendeleza makosa.

Napo hapa tutaambiwa tumtetee mwanamke mwenzetu, Wicked world!
 
Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1791810
Mm nafikiri Dr wake hapa Tanzania ndie alipaswa kuprove, na kasema mzee akua sawa. Kesi ishaisha
 
Kwahiyo anataka apate mabilioni yote pekee kwasababu ya K?
Kagundua KIUNO siyo mtaji, inaumaah😂
Mdangaji kadangiwa, player's bn played!

She's angry, bitter kwa marehemu, anagundua sasa, YOTE ya I LOVE U MY JACKLINE, ilikuwa ubatili mtupu na kujilisha upepo.

She's been the idiot all along.
Beauty with no brains.
Angeolewa tu na kina Hashim Lundenga

Everyday is Saturday................................😎
 
Hujui maana ya addendum? Hiyo report imeongelea mgonjwa alipofikishwa kwa matibabu 2016 na kisha 2019
Date chini ya Address pembeni ya to whom it may concern, naomba kueleweshwa kidogo, tarehe iliyoandikwa mwaka 2016, sasa report ilirudishwa kwa madaktari ili iandikwe na ADDENDUM??
Hilo linawezekana??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1791810
Watoto kuteuliwa kuwa wasimamizi wa mirathi ina maana wanakosa haki ya mgao
 
Jackline hii kesi hawezi kushinda hata aende court of appeal. R.Mengi hakuwa makini kwenye kuandaa na kuhifadhi wosia wake.

Kama haya ni kweli (hata ukiacha hilo la akili tamamu):
1. Kujumuisha mali alizochuma pamoja na mtaliki wake katika wosia.
2. Kutohusisha ndugu katika wosia (ndugu hata mmoja tu anatakiwa ajue kuwa umeandika wosia). Hata sasa hivi ukitaka kuandika wosia kupitia RITA, ndugu ni sharti mojawapo.
3. Kuwanyima urithi baadhi ya watoto wake bila kutoa sababu za msingi na zinazokubalika kisheria.
4. Saini yake kwenye wosia kutofautiana na nyaraka nyingine.
5. Wosia wenyewe kuhifadhiwa na mojawapo ya wenye haki ya kurithi.

Hayo matano, kama hapo hivyo kweli, hakuna namna anaweza kushinda hiyo kesi. Atulie tu, ili apate mgao wake pamoja na wenzake. Akiwavuruga atakosa vyote!
Mambo ya delila ndugu
 
Jackline hii kesi hawezi kushinda hata aende court of appeal. R.Mengi hakuwa makini kwenye kuandaa na kuhifadhi wosia wake.

Kama haya ni kweli (hata ukiacha hilo la akili tamamu):
1. Kujumuisha mali alizochuma pamoja na mtaliki wake katika wosia.
2. Kutohusisha ndugu katika wosia (ndugu hata mmoja tu anatakiwa ajue kuwa umeandika wosia). Hata sasa hivi ukitaka kuandika wosia kupitia RITA, ndugu ni sharti mojawapo.
3. Kuwanyima urithi baadhi ya watoto wake bila kutoa sababu za msingi na zinazokubalika kisheria.
4. Saini yake kwenye wosia kutofautiana na nyaraka nyingine.
5. Wosia wenyewe kuhifadhiwa na mojawapo ya wenye haki ya kurithi.

Hayo matano, kama hapo hivyo kweli, hakuna namna anaweza kushinda hiyo kesi. Atulie tu, ili apate mgao wake pamoja na wenzake. Akiwavuruga atakosa vyote!
Wosia unatakiwa kuhifadhiwa na nini ili usiwe batili kisheria?
 
Back
Top Bottom