Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Shule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]

Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]
 
Shule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]

Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu,bora mtoto wetu apate PHD yake pale havard but asiwe na mshiko wa maana
 
Jack hana washauri, au ni aina ya watu hawapokei ushauri, hana akili, hana adabu au tatizo lake ninini mwenzetu?

Alikosea kutokutafuta suluhu na upande wa mumewe tangu mumewe akiwa hai, akakosea kwenye wosia, akakosea tena kuutoa wosia mitandaoni.

Aliwezaje kuwaamini watu waliomdanganya kuwa hii kesi atashinda, yeye alishindwa kabisa kuchekecha akili yake na kugundua kuwa kesi itakuwa ngumu sana kwa upande wake? kwanza aliwezaje kutaka wenzake wasipewe kitu. Amefanya makosa mengi na bado anaendeleza makosa.

Napo hapa tutaambiwa tumtetee mwanamke mwenzetu, Wicked world!
Tatizo la fursa za madanga wenye pesa zinawakuta limbukeni na wasiojielewa,
Yaan angekua mwanamke smart, saiv angekua ana pambana na mali zake binafsi aliyochuma wakati mzee akiwa hai. Huku mgao kwa wanae twins ukiwa pembeni unapumulia mirija. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wosia unatakiwa kuhifadhiwa na nini ili usiwe batili kisheria ?
1. Ndugu au rafiki unayemwamini
2. Nyumba ya ibada (kanisani/msikitini etc. unapoabudu)
3. Mwanasheria (wa karibu yako ambaye ukifa anaweza kupata taarifa mapema)
4. Mahakama (ya karibu yako)
5. Wakala wa usajili/RITA

Epuka kuacha wosia kwa mojawapo wa warithi maana inapunguza credibility ya wosia (kama hiyo issue ya Mengi).
 
Personal medical records are supposed to be confidential and not for public consumption! Huyu mwanamke hana adabu, amemvunjia heshima marehemu mumewe; sasa Kila mtu anajua kuwa mzee alikuwa na urinary infection!! Itakusaidia nini to wash your dirty linen in public?
Kwaiyo mbususu ya Jack ilikua chafu au
 
Shule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]

Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]yaan hata mie naona kabisa hapa.
 
Jacky Jacky natumaini unajuta kwanini ulimpeleka mzee Dubai kula bata wakati ni mgonjwa asiyetakiwa kusafiri tena bila sababu za kimatibabu bali kukufurahisha wewe na group lako la kula bata na mapicha picha insta. Eti watoto hawakuridhika na bata la Zanzibar wakataka muende Dubai daah such a slay queen.
 
Huyu Klyn alichokosea yeye jinsi ya kumu win mzee, yaan yeye pesa zote za mzee alishindwaa hata kuwaza kufanya miradi mikubwa na endelevu kwa ajili ya baadae, akawa buzzy na vacation na outing za gharama, pasipo kujua dunia tunapita,

Leo anabaki kuhangaika tyuuh hajui ashike lipi na wapi, poleee yake sana, ila sijapenda kutoa rec doc za mzee wakati wa ugonjwa wake.

Anahitaji washauri huyu binti.
 
Houllup...... Houllap....... Did u say something... I mean why do i have to hear u mention me.....?!
You’ve gone cuckoo for cocoa puffs!

I didn’t mention you anywhere and you weren’t even on my radar.

You are hearing things! A clear sign of going cuckoo for cocoa puffs.

Get some help.

Or you just need an ass whupin’?
 
Jacky Jacky natumaini unajuta kwann ulimpeleka mzee dubai kula bata wakati ni mgonjwa asiyetakiwa kusafiri tena bila sababu za kimatibabu bali kukufurahisha wewe na grup lako la kula bata na mapicha picha insta. Eti watoto hawakuridhika na bata la zanzibar wakataka muende dubai daah such a slay queen.
Kwani huyu Jacky ile biashara yake ya Furnitures imeishia wapi?
 
Back
Top Bottom