Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Ndio hivyo mpendwa bibie tamaa zimemponzaDuh...!! Kama alifanya hivyo alizingua..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo mpendwa bibie tamaa zimemponzaDuh...!! Kama alifanya hivyo alizingua..
Aisee hiyo sababu eti watoto hawakuridhika ilikuwa ya kijinga.Jacky Jacky natumaini unajuta kwann ulimpeleka mzee dubai kula bata wakati ni mgonjwa asiyetakiwa kusafiri tena bila sababu za kimatibabu bali kukufurahisha wewe na grup lako la kula bata na mapicha picha insta. Eti watoto hawakuridhika na bata la zanzibar wakataka muende dubai daah such a slay queen.
Ameshachelewa!Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.
Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.
Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.
Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua
View attachment 1791810
Shule itakupatia mahitaji yaliyo kwenye mzunguko wa taaluma yako.....Shule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]
Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Duuuhh, ngoma bado mbichi hii.
K Lyn alikosea kutojimilijisha vya kueleweka kabla ya Mengi kuondoka
Barua imeandikwa mwaka 2016, halafu inaelezea mambo ya mwaka 2017 na 2019. K Lyn hili limekaaje?
Hili danga huenda kwa akili hii, ndiyo alimletea huyo marehemu stroke, mtu gani haelewi, hajui kukaa kimya?!
Kwanini hakupeleka hizo doc kwa jaji?
Hivi na ile SAINI ni ya kweli au kufoji!
Zile twiti za 'I love u my Jackline'??
She's so FAKE, my head is spinning!
Mwarabu je??
Nyambafu kabisa! Kwani kuugua akili ni jambo baya?? Mbona wapo wengi?? Tena angeanzisha support groups NGO, angepiga hela kupitia mwanya huo, kuliko kujidhalilisha mitandaoni.
Everyday is Saturday............................... 😎
Hizi takwimu ni siri ya mgonjwa sasa mambo ya kuanika hadharani nami nachoka.Why is she putting some of his medical records in public? What’s to gain from that?
What the F is wrong with her???!!
Tatizo la fursa za madanga wenye pesa zinawakuta limbukeni na wasiojielewa,
Yaan angekua mwanamke smart, saiv angekua ana pambana na mali zake binafsi aliyochuma wakati mzee akiwa hai. Huku mgao kwa wanae twins ukiwa pembeni unapumulia mirija. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie majamaa utafikiri mnakazwaYou’ve gone cuckoo for cocoa puffs!
I didn’t mention you anywhere and you weren’t even on my radar.
You are hearing things! A clear sign of cuckoo for cocoa puffs.
Get some help.
Or you just need an ass whupin’?
Why is she putting some of his medical records in public? What’s to gain from that?
What the F is wrong with her???!!
Kwani huyu jacky ile biashara yake ya Furnitures imeishia wapi?
U slay queen utakwisha wallah 😂😂Ngoja wamshtaki kwa kuweka nyaraka za afya za baba yao hadharani.
Katika hukumu za kiislamu ssheriaya kiislamu inaruhusu wosia kupuuzwa pia endapo utakeuka taratibu na kuwaminya haki watu wengine wanaostahiki kumrithi marehemu.Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.
Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.
Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.
Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua
View attachment 1791810
😆U slay queen utakwisha wallah 😂😂