Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Jacky Jacky natumaini unajuta kwann ulimpeleka mzee dubai kula bata wakati ni mgonjwa asiyetakiwa kusafiri tena bila sababu za kimatibabu bali kukufurahisha wewe na grup lako la kula bata na mapicha picha insta. Eti watoto hawakuridhika na bata la zanzibar wakataka muende dubai daah such a slay queen.
Aisee hiyo sababu eti watoto hawakuridhika ilikuwa ya kijinga.
 
Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1791810
Ameshachelewa!
 
Pole sana Jack, bora ubaki kimya ufanye yako, kubishana huku kwenye internet/instagram kunaongeza tatizo...usifikiri hawa majobless wa instagram watakuonea huruma, the more unavyotafuta sympath ndio kwaaanzaaaaa wanaongeza speed, kama ni evidence peleka mama mahakamani, do things in a systematic way..follow the protocal lol...again pole
 
Shule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]

Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Shule itakupatia mahitaji yaliyo kwenye mzunguko wa taaluma yako.....
NIDHAMU inakupa mafanikio.......

Huyu binti amekosa nidhamu ya kila kitu kwenye maisha yake.....
 
Hili danga huenda kwa akili hii, ndiyo alimletea huyo marehemu stroke, mtu gani haelewi, hajui kukaa kimya?!
Kwanini hakupeleka hizo doc kwa jaji?

Hivi na ile SAINI ni ya kweli au kufoji!
Zile twiti za 'I love u my Jackline'??
She's so FAKE, my head is spinning!
Mwarabu je??

Nyambafu kabisa! Kwani kuugua akili ni jambo baya?? Mbona wapo wengi?? Tena angeanzisha support groups NGO, angepiga hela kupitia mwanya huo, kuliko kujidhalilisha mitandaoni.

Everyday is Saturday............................... 😎

Mh. Ndugai mwenyewe ana cheti cha Mirembe na Bunge analiendesha. K-Lyn asishangae Mengi kuzindua kutabuu tunazo case studies hadi kweny mhimili wa dola [emoji23][emoji23]
 
Kwa urembo wa yule dada na sauti yake ukiwa kifuani hata kama una akili timamu unakuwa hauko timamu kwenye kuandika unakuwa na ulevi wa mbususu unatiririka tu baada ya kuambia bby andika kwanza kisha tuendelee. Mahakama wametenda haki
 
Tatizo la fursa za madanga wenye pesa zinawakuta limbukeni na wasiojielewa,
Yaan angekua mwanamke smart, saiv angekua ana pambana na mali zake binafsi aliyochuma wakati mzee akiwa hai. Huku mgao kwa wanae twins ukiwa pembeni unapumulia mirija. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na hizi fursa zitaendelea kuwapata wanawake vilaza. Sababu hakuna mwanaume mwenye mahela ambaye anaweza ku date mwanamke mwenye akili .. sababu lazima atamuona mwanamke huyo mwizi mapema sana.. wanawake vilaza wanapendwa sana na wanaume
 
Ni umri gani unatakiwa kuandika wosia na pia ni maradhi yapi siyo rafiki kuandika wosia wajuzi naomba jibu. Swali la nyongeza mzee Mwinyi kwa umri wake akiandika wosia hivi sasa na umauti ukamfika wosia wake unaweza julikana mahakamani maana alisahau kuwa yupo wapi. Ushauri wa huyu dada wa Kinyarwada aache wizi maana anataka kuiba ndio sie wenye baiskeli tuanze kuanza wosia kbs nana atachukua pampu na kengele.
 
Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1791810
Katika hukumu za kiislamu ssheriaya kiislamu inaruhusu wosia kupuuzwa pia endapo utakeuka taratibu na kuwaminya haki watu wengine wanaostahiki kumrithi marehemu.

marehemu mengi alitakiwa aammilikise vitu baadhi mkewe wakati bado yupo hai.

kwa nini hakummilikisha ?

wosia wa mengi upuuzwe unawanyima hakia warithi wengine.
 
Back
Top Bottom