Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ina vimelea vya YUTI-YAIKwaiyo mbususu ya Jack ilikua chafu au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina vimelea vya YUTI-YAIKwaiyo mbususu ya Jack ilikua chafu au
Mbna tangu mda tyuuh, lile sio lakeHivi lile jumba la Moshi kule sio lake tena?
Ndicho kitafanyika maana nyumba ya Mama yaoMwisho wa siku watamfukuza kwenye hiyo nyumba maana anaonekana analeta balaa kwa familia
Poor Jacky, na pengine that was the only business she had !Kabla sijakujibu naomba nikuulize personally
1.Unaweza kununua stuli kwa tsh.3M?
2.Unaweza kununua kitanda kwa 7M?
3.Unaweza kununua coffee table kwa 4M?
4.Unaweza kununua kitanda kwa 10M?
Kuna uwezekano mkubwa Mzee alifanya vile kwa makusudi maana alilazimishwa hivyo akaona bora afanye hivyo maana Mahakama itapinduaKwanza alipaswa kujua mali za Mke mkubwa ni zipi akaziweka pembeni,kuna Family businesses pia aziweke pembeni,kinachobaki sasa ndiyo angejigaiwa hiyo 50%. Tatizo ni kuwa Mzee Mengi alikuwa smart,Family Businesses ni nyingi zaidi kuliko alichokuwa anamiliki Mzee Mengi binafsi,ukiondoa na Mali za Mke Mkubwa kama Real Estates kinachobakia ni kidogo,but kwa sababu ya elimu ndogo yeye akaorodhesha kila kitu hadi mali za Bi mkubwa kwenye wosia,na hapo ndipo alipopuyanga.
Pia kumbuka hata hilo hekalu la Kinondoni liko chini ya IPP na siyo jina la Mzee Mengi. Umeona wachagga walivyo smart? Mimi naamini Mzee Mengi kama kweli alisign hiyo “LAST WILL” alifanya makusudi kumridhisha Slay queen huku akijua kabisa mbele ya safari ataangukia pua.
Yeaaaaah afu Rita na jacky si walikua marafiki hawa, na walifuatan ktk kumtumia na kumdangia mzee, yey hakumuona mwenzie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama alivyo Rita Paulsen na Benchmark yake na Bss.
Yule keshamaliza hela zote vinginevyo usingemuona TzNamshauri Jaqline atulie tu,akiendelea kudemka wasimamizi wa mirathi watampa BUKU tu ila akitulia wanaweza wakamfikiria,,,,Ila na yeye wakati anaishi na mengi sidhani kama aliachwa hivi hivi bila kufunguliwa biashara na kupewa mtonyo separate.
Tena angewin vibaya, sijui hakua au hana washauri huyu.Jack alikosea ule wosia angewaweka wale watoto yeye angejipa nusu na watoto nusu
Au nasema uongo ndugu zangu
Hahaha maisha ya kushindana na mashost! Angeamua kutanuka kiakili kidogo akaongea na financial advisor mzuri angempa akili hata ya kununua hati fungani tu zikawa zinamuingizia hela akiwa amekaa tu!Poor Jacky, na pengine that was the only business she had !
Maskini wee tobaaaah!! Mwsho wake ndo km huu mgogoro usioishaa na marehemu kudhalilishwa km hivi. MweeeeehNa hizi fursa zitaendelea kuwapata wanawake vilaza. Sababu hakuna mwanaume mwenye mahela ambaye anaweza ku date mwanamke mwenye akili .. sababu lazima atamuona mwanamke huyo mwizi mapema sana.. wanawake vilaza wanapendwa sana na wanaume
Huyu jacky hayuko timamu kichwani wallah.Wadau wanasema kaishindwa, hivyo kauza.
Kuna uwezekano mkubwa Mzee alifanya vile kwa makusudi maana alilazimishwa hivyo akaona bora afanye hivyo maana Mahakama itapindua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa malaya hawa wanawake hawawezi kukupasua kichwa.......Lazma ajikombeleze! Sema mi nashindwa kuelewa hivi ukae na Zimba asikuwekee hata Billion 1 kwenye account yako zikusaidie na umemzalia watoto?
Kuna uwezekano hana hata milioni 5 vinginevyo asingekuwa TzIna maana unataka kusema kwamba K lynin account yake haina hata B1?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu naye atulizane
Apunguze kuamini ushauri wa akina nancy faraja
Rwanda sio mbali mbona
Jitume mwanakwenu panda chako udangaji sio mzuri
Mengi hakuwa na hela na ndio maana hata kule Dubai ilibidi waombe msaada BoniteLazma ajikombeleze! Sema mi nashindwa kuelewa hivi ukae na Zimba asikuwekee hata Billion 1 kwenye account yako zikusaidie na umemzalia watoto?
Hata kiwanja hanaPoor Jacky, na pengine that was the only business she had !