Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1791810
Cooked
 
Personal medical records are supposed to be confidential and not for public consumption! Huyu mwanamke hana adabu, amemvunjia heshima marehemu mumewe; sasa Kila mtu anajua kuwa mzee alikuwa na urinary infection!! Itakusaidia nini to wash your dirty linen in public?
Na wewe umeamii hiyo barua kama kweli ni kutoka kwa daktari? May be yes huyo ni doctor kweli may be no huyo bwana sio doctor; angalia tarehe ilioandikwa barua and inazungumzia matukio ya tarehe zipi; sister ame cook again kama alivyo cook ule wosia.
 
Sasa anajiweka wazi kwamba lengo lake ilikuwa ni mali za marehemu,akarithi kwa baba yake.
 
Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.

Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.

Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.

Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1791810
This bitch is trippin
 
Mwanzo mwisho anasakamwa Jacqueline, lakini huyo mme si alimtongoza kama wanawake wengine wanavyotongozwa? Pia hakuna anayejua sababu ya huyo rip wao kwanini aliandika wosia huo, asitukanwe sana huyo mdada wengine ni wivu tu unatusumbua .
 
Mwanzo mwisho anasakamwa Jacqueline, lakini huyo mme si alimtongoza kama wanawake wengine wanavyotongozwa? Pia hakuna anayejua sababu ya huyo rip wao kwanini aliandika wosia huo, asitukanwe sana huyo mdada wengine ni wivu tu unatusumbua .
Aliweka malimbwata akajitongozesha hadi kupata mimba huyo mzee hakutaka.
Nani aonee wivu dhambi kama hiyoo .
Mimi kiufupi sionei wivu namsikitokia nakumuombea ache hiyo tabia yakunyemelea kisicho kuwa cha kwao
 
Mwanzo mwisho anasakamwa Jacqueline, lakini huyo mme si alimtongoza kama wanawake wengine wanavyotongozwa? Pia hakuna anayejua sababu ya huyo rip wao kwanini aliandika wosia huo, asitukanwe sana huyo mdada wengine ni wivu tu unatusumbua .
#396
Hatuwezi kuonea wivu matahira kyln ni tahira na hajui pakuzeekea kaenda kuforce kwa mengi wamachame woi bora angeng'ang'ania kwa mtu wetu sai angetulizwa stress kama Ray C mwanawani akula vipozeo sio viama kama huyu .
Kwa maana kyln saizi amejitoa ufahamu anavuta tu bangi na kujifukiza kutwa mara 90 ili ashinde kesi na hatoshinda ataondoka hata watoto hana .
Akili ni mali ila kwa klyn hana akili anaugali .
Mtu zuzu enzi za hawara wake alikuwa anakula bata that is rubbish hakuwa na akili ya kufanya vitu vya maana .
Ila kunausemi usemao hata uwe na njama kwa maana sio halali unakuwa mbumbumbu tu hadi unang'olewa sehemu usika upo na billionea unafungua mgahawa kama mama ntilie kwanini shishi hakupata huu mchongo .??
Kapata tahira wasanii kuna matahira wengi akiwemo Wema
 
Back
Top Bottom