Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Angekuwa na tako tungesema anafikiri kwa kutumia matako, Sasa kwa uzuri ule anafikiri kwa kutumia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila ukweli maua hana mvuto wowote ila ana bahati, maan baada ya mzee machache, akakumbana na mzungu huhuhuh.Atangaze akose huduma, sijui Mzee Alimpendea nini Maua sama dem Hana hata mvuto , wanamloga hawa madem wa mjini
Sasa unadhan angebaki na kinje, huyo Mzee machache angemuona wapi na kua nae? [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu changu muulize Kinje ana historia yake,demu alitambaa na Muitaliano baada tu ya kuvishwa Pete ya uchumba,kavishwa Pete jmosi,
jpili katoroka ndo mara Mozambique mara South akiwa na malaya mwenzie Wema au model mmoja simkumbuki vizuri
Muitaliano kala mbususu Mpaka chooni, kufika Huko nae akamtoroka live.
Huku Kinje analia hana hamu, huyo KLyny karudi baada ya miaka mi3,hapo kadanga sana ndio akaanza kuimba imba
Those medical records could also be fake.Why is she putting some of his medical records in public? What’s to gain from that?
What the F is wrong with her???!!
Hizo records yaweza kuwa ni fake. Iweje daktari bingwa anasema marehemu Mengi alipata 'stoke', halafu paragraph inayofuata anasema stroke?Huyu dada anahitaji ushauri wa kina maana asipokuwa makini anaweza kujitengenezea kesi nyingine ya ku- disclose medical records ya mtu in public. Legal matters angezielekeza mahakamani, sometimes seeking Public sympathy kwa mtindo huu ni so cheap
Ni hivyo, sema Kinje ujanja wote mjini huyu demu alimuingiza chaka kilaini tuSasa unadhan angebaki na kinje, huyo Mzee machache angemuona wapi na kua nae? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wa mda mpk umepooza...!Kwan maua sama alishapita na mzee machache? Nilipitwa wapi na huu ubuyu jaman khaaaah.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hivi huyu mzee ndonga ilikuwa ilikuwa inasimama kumbe?[emoji849][emoji848]mzee alikua anagonga nje sana angalau Maua sama kaambulia Rav 4 Mpya na hela Ya kujenga hakalu na biashara kutoka kwa Mzee Mengi baada ya kutumiwa na Yule Mzee kidogo
maua sama anaendasha same car na watoto wa Mengi , walichukuliwa wote Toyota pamoja km sufuri
Umeona eeh?Hamna daktari anaweza kuandika ripoti ya namna hii.
Hii ni either amefoji au ndiyo imeandikwa baada ya hukumu au wakati kesi ipo mahakamani.
Labda ana K mnatoooAtangaze akose huduma, sijui Mzee Alimpendea nini Maua sama dem Hana hata mvuto , wanamloga hawa madem wa mjini
Jacky anapenda sana wazungu ila hana bahati naoHuyu changu muulize Kinje ana historia yake,demu alitambaa na Muitaliano baada tu ya kuvishwa Pete ya uchumba,kavishwa Pete jmosi,
jpili katoroka ndo mara Mozambique mara South akiwa na malaya mwenzie Wema au model mmoja simkumbuki vizuri
Muitaliano kala mbususu Mpaka chooni, kufika Huko nae akamtoroka live.
Huku Kinje analia hana hamu, huyo KLyny karudi baada ya miaka mi3,hapo kadanga sana ndio akaanza kuimba imba
Hii ni kweli kabisa...Jacky ni mzuri sana sana live!Ila k lyn alikuwa mzuri sana .. nakumbuka enz tupo primary pale forodhani, k lyn alikuwa sekondari pale forodhani alikuwa anavuma kwamba ni mzuri shule nzima... sisi wadogo wadogo ila tunasikia sifa zake
Hii ni kweli kabisa...Jacky ni mzuri sana sana live!
Mara ya kwanza nilimuona 2007 alikuja shuleni kwetu kutoa toa vizawadi na ushauri wa mimba blah blah demu mkali kinyoko wote tuliappreciate[emoji119][emoji119][emoji119]
Mara ya pili tukakumbana Kempinski Zanzibar kiwengwa kaja na huyu Mengi asee siku hiyo tulikula bata na hawa watu mpaka basi ( Mzee Mengi ana roho nzuri sana na ana maneno matamu kama asali[emoji39][emoji39] na gharama zote alilipa yeye)
Sasa basi toka kafiwa tunakutana viwanja daily siku za weekend, still now bado ni mzuri sana ila ulabuu sasa wewee[emoji482][emoji482][emoji482]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mobimba 😂😂😂Huyu changu muulize Kinje ana historia yake,demu alitambaa na Muitaliano baada tu ya kuvishwa Pete ya uchumba,kavishwa Pete jmosi,
jpili katoroka ndo mara Mozambique mara South akiwa na malaya mwenzie Wema au model mmoja simkumbuki vizuri
Muitaliano kala mbususu Mpaka chooni, kufika Huko nae akamtoroka live.
Huku Kinje analia hana hamu, huyo KLyny karudi baada ya miaka mi3,hapo kadanga sana ndio akaanza kuimba imba
😆😆🤣🤣🙌You’ve gone cuckoo for cocoa puffs!
I didn’t mention you anywhere and you weren’t even on my radar.
You are hearing things! A clear sign of cuckoo for cocoa puffs.
Get some help.
Or you just need an ass whupin’?
Sidhani inawezekana ni magonjwa ya uzee tu ndio yaliyokuwa yanamsumbuaHivi mlongo, huyu mzee machache, hakua na homa ya taifa kweli?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Watu wamebadilisha sana damu uingereza ndugu yangu[emoji28]Sidhani inawezekana ni magonjwa ya uzee tu ndio yaliyokuwa yanamsumbua