miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Yule mzungu bwana. Anawatafuta tu familia ya marehem. Yaan nyumba ya marehem unaingiza hawara yako. Mimi ningempasua. Nachowapendea akina regina wanafukuza mwizi kimya kimya. Ni yeye tu anapiga mayowe huku njeYupo huko na Yule mzungu koko wake, kafulia Hana hela kama marehemu Mzee Mengi mzungu mchovu wanalishwa na IPP bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo nimeona ni rufaa imetolewa uamuzi na mahakama ya rufaaMleta habari ameleta habari ya siku nyingi kyln alishindwa siku nyingi na mjini kakimbia anadangia majuuu siku hizi Simuoni hata kwenye harusi za watu wa mjini
Umesahau sahihi sio ya Mzee MengiMimi niseme tu kuwa yule Mzee Mengi alikuwa na sababu ni kwanini aliamua kumrithisha Jack na sio watoto wake wakubwa.
Maisha ktk familia zetu yana siri nyingi sana. Huenda watoto wake wakubwa HAWAKUMPA AMANI KABISA. Na huenda FARAJA NA FURAHA yake ilibaki kwa Jack na haijalishi penzi la Jack lilikuwa halisi au fake.
Cha msingi ktk miaka ya uzee wake ndiye pekee alionyesha kumpa tabasamu, na kwa kuzingatia tayari anafaida ya kupata watoto na jack.
WANAUME WENZANGU HUMU TUSISHANGAE NI KWANINI MZEE Reginald aliamua Kumrithisha Jack na mapacha wake. Sometime unawasoma vijana wako unagundua hayakutambui na yanasubiri uondoke yaendee kivyao.
I gues Mr Mengi wrote with sound mind
Wewe ni jack. Hakika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Nisamehe
Dada yako kafoji sahihiMarehemu hakuwa mjinga.
alikuwa na akili timamu alipo kuwa anaandika wosia wake.
hakuna ubishi kuwa Marehemu na mjane waliishi maisha ya furaha na upendo hadi umauti unamkuta .
hivyo wosia huo ulithibitisha upendo wa Marehemu kwa Familia yake na Mjane.
ni kosa kubwa sana kuubatilisha na kuudhihaki Wosia wa Marehemu Mengi haswa tukizingatia kuwa Marehemu alikuwa ni mtu aliye heshimika ktk jamii ndani na nje ya nchi.
Mimi niseme tu kuwa yule Mzee Mengi alikuwa na sababu ni kwanini aliamua kumrithisha Jack na sio watoto wake wakubwa.
Maisha ktk familia zetu yana siri nyingi sana. Huenda watoto wake wakubwa HAWAKUMPA AMANI KABISA. Na huenda FARAJA NA FURAHA yake ilibaki kwa Jack na haijalishi penzi la Jack lilikuwa halisi au fake.
Cha msingi ktk miaka ya uzee wake ndiye pekee alionyesha kumpa tabasamu, na kwa kuzingatia tayari anafaida ya kupata watoto na jack.
WANAUME WENZANGU HUMU TUSISHANGAE NI KWANINI MZEE Reginald aliamua Kumrithisha Jack na mapacha wake. Sometime unawasoma vijana wako unagundua hayakutambui na yanasubiri uondoke yaendee kivyao.
I gues Mr Mengi wrote with sound mind
Nalo zigo lote ngoja nilisome la mahakama ya rufaaSijafatilia. Ngoja niulize ndugu mwenzetu[emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
HatariNalo zigo lote ngoja nilisome la mahakama ya rufaa
Hii hukumu ya 2021 ya mahakama ya rufaa,iko na page 25 lugha ya malkiaMleta habari ameleta habari ya siku nyingi kyln alishindwa siku nyingi na mjini kakimbia anadangia majuuu siku hizi Simuoni hata kwenye harusi za watu wa mjini
Hiyo nimeona ni rufaa imetolewa uamuzi na mahakama ya rufaa
Shusha Nondo mkuuHii hukumu ya 2021 ya mahakama ya rufaa,iko na page 25 lugha ya malkia
Kuituma hapa sina uzoefuShusha Nondo mkuu
Walishagawana na kumalizana na Mke wake baada ya mgogoro wa miaka mingi. Fuatilia.Mali harithi hawara mengi alikua na mke ambae hakumtaliki ndio mwenye mali sio huyo kibaka
Wakagawa wakamalizana[emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo hivyo walivyogawana ni vipi landa utuambie ambao huyo kahaba ana uhalali navyo... makahaba tutaendelea kuwnayoosha tu. Wamiliki wa mali wataendelea kuwa wanawake watafutaji. Makahaba wakiona mali kw ambali nyege zinawapanda mkijua ni za madanga yenu kumbe wenzenu walishaumaliza mwendo. Mnakuja shituka kumbe mumeliwa manyoya.Walishagawana na kumalizana na Mke wake baada ya mgogoro wa miaka mingi. Fuatilia.
Yani kuna mtu ana Furahia kuona Mtu ambae amefoji usia na sahihi juu kupewa Mali ambazo hata hajui zilikotoka!!Wakagawa wakamalizana[emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo hivyo walivyogawana ni vipi landa utuambie ambao huyo kahaba ana uhalali navyo... makahaba tutaendelea kuwnayoosha tu. Wamiliki wa mali wataendelea kuwa wanawake watafutaji. Makahaba wakiona mali kw ambali nyege zinawapanda mkijua ni za madanga yenu kumbe wenzenu walishaumaliza mwendo. Mnakuja shituka kumbe mumeliwa manyoya.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Inashangaza sana. Pigaa spana woteee. Nimeona shuhuda mbalimbali juu ya mambo kama haya ndugu yangu.Yani kuna mtu ana Furahia kuona Mtu ambae amefoji usia na sahihi juu kupewa Mali ambazo hata hajui zilikotoka!!
Wanawake hawa wa mjini ni takataka kabisa yani wanashupaza shingo kwenye wizi hawajui mwenzao anaweza kupewa kesi nyingine mbaya hapo!!Inashangaza sana. Pigaa spana woteee. Nimeona shuhuda mbalimbali juu ya mambo kama haya ndugu yangu.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Anyway. Ninachoamini kulazimisha kumiliki Mali isiyo haki yako hasa URITHI huwa inaambatana na anguko na mikosi. Hasa iwapo ilitolewa USIA.Wakagawa wakamalizana[emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo hivyo walivyogawana ni vipi landa utuambie ambao huyo kahaba ana uhalali navyo... makahaba tutaendelea kuwnayoosha tu. Wamiliki wa mali wataendelea kuwa wanawake watafutaji. Makahaba wakiona mali kw ambali nyege zinawapanda mkijua ni za madanga yenu kumbe wenzenu walishaumaliza mwendo. Mnakuja shituka kumbe mumeliwa manyoya.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app