Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Yupo huko na Yule mzungu koko wake, kafulia Hana hela kama marehemu Mzee Mengi mzungu mchovu wanalishwa na IPP bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule mzungu bwana. Anawatafuta tu familia ya marehem. Yaan nyumba ya marehem unaingiza hawara yako. Mimi ningempasua. Nachowapendea akina regina wanafukuza mwizi kimya kimya. Ni yeye tu anapiga mayowe huku nje

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Umesahau sahihi sio ya Mzee Mengi
 
Wewe ni jack. Hakika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dada yako kafoji sahihi
 
Mali harithi hawara mengi alikua na mke ambae hakumtaliki ndio mwenye mali sio huyo kibaka
 
Walishagawana na kumalizana na Mke wake baada ya mgogoro wa miaka mingi. Fuatilia.
Wakagawa wakamalizana[emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo hivyo walivyogawana ni vipi landa utuambie ambao huyo kahaba ana uhalali navyo... makahaba tutaendelea kuwnayoosha tu. Wamiliki wa mali wataendelea kuwa wanawake watafutaji. Makahaba wakiona mali kw ambali nyege zinawapanda mkijua ni za madanga yenu kumbe wenzenu walishaumaliza mwendo. Mnakuja shituka kumbe mumeliwa manyoya.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Yani kuna mtu ana Furahia kuona Mtu ambae amefoji usia na sahihi juu kupewa Mali ambazo hata hajui zilikotoka!!
 
Anyway. Ninachoamini kulazimisha kumiliki Mali isiyo haki yako hasa URITHI huwa inaambatana na anguko na mikosi. Hasa iwapo ilitolewa USIA.

Pia ninavyojuwa Kule kwetu uchagani linapokuja suala la Mali na Mali hizo zionekane zitakwenda nje ya jamii husika nakuambia hata Mlima Kilimanjaro utaitwa ni ziwa ili mradi Mali ibaki.
Naendelea tu kusoma comment za kina Manka na Bwashee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…